Afrika Ya Mashariki - Vitendo viovu vya ulaji nyama ya binadamu nchini Uganda - a podcast by RFI
from 2017-01-11T10:59:47
::
::
Makala ya kwanza kabisa mwaka huu wa 2017 tunaanzia nchini Ugandaambapo tutaangazia vitendo viovu vya ulaji nyama ya binadamu.
Kusini mwa Uganda kwenye wilaya za Rakai, Kyotera na nyinginezo watuwanakamatwa, wanachinjwa na kuliwa nyama na binadamu wenzao.
Further episodes of Afrika Ya Mashariki
Further podcasts by RFI
Website of RFI