Changamoto ya upatikanaji wa chanjo ya Covid 19 barani Afrika - a podcast by RFI
from 2021-08-30T18:32:19
::
::
Kwa mara nyingine viongozi wa Afrika wamezitaka nchi zilizoendelea kuondoa haki miliki katika utengenezaji wa chanjo ya Covid 19 wakati huu wakilalama kutokuwepo na usawa .
Unaamini wito wao utasababisha kupata dozi zaidi ?
Unafikiri kwa nini bara la Afrika limechoma idadi ndogo zaidi ya chanjo na hali ikoje kwenye nchi yako ?
Tutumie maoni yako kwenda namba yetu ya watsapp ukianza na +254 110 000 420
Further episodes of Habari RFI-Ki
Further podcasts by RFI
Website of RFI