Podcasts by Habari RFI-Ki

Habari RFI-Ki

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Further podcasts by RFI

Podcast on the topic Nachrichten

All episodes

Habari RFI-Ki
Maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili from 2022-02-11T16:57:02


Kila Ijumaa muskilizaji ni fulsa yako kuchangia mada yoyote kwenye makala haya, na haya hapa baadhi ya maoni yako.

Listen
Habari RFI-Ki
Pembe ya Africa yakubwa na baa la njaa from 2022-02-09T17:20:21


Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limesema takriban watu milioni 13 katika eneo la pembe ya Afrika na Africa nzima wanakabiliwa na njaa kutokana na hali ya ukame inayoendelea kushuhudiw...

Listen
Habari RFI-Ki
Ukeketaji kwa jamii za Kiafrica from 2022-02-08T16:57:02


Mwishoni mwa juma lililopita, dunia iliadhilisha siku ya kimataifa ya kupinga vitendo vya ukeketaji, umoja wa Mataifa ukionya kuhusu mila hizi potofu dhidi ya wanawake na wasichana.

U...

Listen
Habari RFI-Ki
Kupanda kwa bei ya mafuta bidhaa muhimu mahitajio from 2022-02-01T12:58:06


Katika Makala haya tunaangazia kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta katika mataifa ya Afrika mashariki na kati, hatuwa inayosababisha kupanda kwa bei ya bidhaa mbalimbali pamoja na usafiri.

Listen
Habari RFI-Ki
Kitendawili kuhusu mzunguuko wa nane wa michuano ya CAN from 2022-02-01T12:49:31


Nani na nani kuvuga hatuwa ya Robo fainali ya michuano ya mataifa bingwa ya Afrika inayoendelea huko Cameroon?

Listen
Habari RFI-Ki
Kuteketea kwa Soko na magereza latika mataifa ya Afrika masharikina kati from 2022-02-01T12:42:22


Habari Rafiki hii leo tunaangazia hatuwa ya kuteketea kwa moto kwa soko na magereza katika mataifa ya Afrika mashariki na kati. hii imekuja baada ya kuteketea kwa soko la Karume jijini Dar Es ...

Listen
Habari RFI-Ki
Maoni yako kuhusu hukumu ya mauaji ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa nchini DRCongo from 2022-02-01T11:54:45


Makala haya yanaangazia mtazamo wako kuhusu hatuwa ya Mahakama ya kijeshi huko mjini Kananga imewahukumu kifungo cha maisha jela watu 51 waliohusika na mauaji ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa ...

Listen
Habari RFI-Ki
Mada huru kutoka kwa wasikilizaji wa RFI Kiswahili from 2022-01-28T16:35:56


Mada huru kutoka kwa waandishi wa habari kutoka kila kona ya dunia Ijumaa hii

Listen
Habari RFI-Ki
Mataifa ya magharibi yatishia kuichukulia hatua kali urusi from 2022-01-27T17:08:54


Nchi za magharibi zimetishia kuichukulia hatua Urusi,iwapo itaivamia Ukraine wakati huu rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitazamiwa kuzungumza na rais Vladmiri Putin wa Urusi ,ijumaa ijayo. U...

Listen
Habari RFI-Ki
Jeshi la Burkina Faso laipindua serikali ya Roch Marc Christian Kabore from 2022-01-25T16:56:42


Makala ya Habari rafiki jumanne hii january 25 mwaka 2022 imeangazia hatua ya wanajeshi nchini Burkina Faso kuipindua serikali ya Rais Roch Marc Chriastian Kabore wakifunga mipaka ya Nchi na m...

Listen
Habari RFI-Ki
Maoni yako kuhusu maadhimisho ya vifo vya Lumumba na Kabila from 2022-01-21T12:13:35


Habari rafiki hii leo tunazungumzia maadhimisho ya kumbukumbu ya vifo vya Emery Patrice Lumumba na Laurent Desire Kabila.

Listen
Habari RFI-Ki
Nini maoni yako kuhusu kilichojiri duniani wiki hii ? from 2022-01-14T16:59:24


Leo Ijumaamsikilizaji, una nafasi ya kuchagngia mada uipendayo, kuhusu mambo mbalimbali yaliyotokea duniani wiki hii barani Afrika na kwingineko duniani.

Listen
Habari RFI-Ki
Viongozi wa ECOWAS waiwekea Mali vikwazo vya kiuchumi from 2022-01-13T17:08:26


Viongozi wa jumuiya ya nchi za Afrika magharibi ECOWAS wameiwekea vikwazo vikali vya kiuchumi nchi ya Mali, kutokana na kucheleweshwa kwa uchaguzi kuelekea kurejeshwa kwa utawala wa kiraia. Listen

Habari RFI-Ki
Dunia yaendelea kukabiliana na maambukizi ya Omicron from 2022-01-12T17:10:28


Shirika la afya duniani WHO linasema barani Ulaya nusu ya raia wa eneo hilo watakuwa wameambukizwa virusi vya Omicron katika kipindi cha miezi miwili ijayo.

Wewe unaendelea kuchukuwa ...

Listen
Habari RFI-Ki
Shule zafunguliwa tena nchini Uganda baada ya miaka miwili from 2022-01-11T16:46:57


Mamlaka nchini Uganda zinasema, huenda asilimia 30 ya wanafunzi wakashindwa kurejea shuleni, siku moja tangu kufunguliwa kwa shule baada ya karibu miaka miwili kuwa zimefungwa kutokana na jang...

Listen
Habari RFI-Ki
Rais wa Tanzania alifanyia marekebisho madogo Baraza lake la Mawaziri from 2022-01-11T16:43:09


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya marekebisho madogo ya baraza lake la mawaziri, katika kile alichodai ni kuwaondoa wanaotaka kusababisha mgawanyiko kwenye chama pamoja na nia ya ...

Listen
Habari RFI-Ki
Maoni yako siku ya mwisho wa mwaka 2021 from 2021-12-31T17:31:54


Leo ikiwa siku ya mwisho ya mwaka huu wa 2021, Rfi kiswahili imekupa nafasi kuzungumzia mada uitakayo wewe, liwe ni jambo limetokea nchini mwako au masihani mwako.

Listen
Habari RFI-Ki
Hali ya madeni ya taifa nchini Kenya na Tanzania from 2021-12-31T17:29:03


Hivi karibuni nchini Kenya na Tanzania, kumekuwa na mjadala kuhusu hatua za serikali ya nchi hizo kuendelea kukopa kiwango kikubwa cha pesa, hali ambayo inaelezwa imeongeza mzigo kwa raia amba...

Listen
Habari RFI-Ki
Usalama Mashariki mwa DRC utaimarika mwaka 2022 ? from 2021-12-31T17:26:34


Ripoti za kijeshi na zile za masharika ya kiraia, zinasema wiki iliyopita, watu zaidia ya 50 waliuawa Mashariki mwa DRC wakiwemo waasi, wakati huu wanajeshi wa Uganda na DRC yakiendelea kuwasa...

Listen
Habari RFI-Ki
Askofu Mkuu Desmond Tutu afariki dunia from 2021-12-31T17:20:53


Mwanaharakati aliyepinga ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, na pia kuwa Askofu Mkuu wa kanisa Anglikana, Desmond Tutu, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90.Tutu alisifika kutetea haki...

Listen
Habari RFI-Ki
Nini kilikugusa duniani wiki hii kuhusu matukio mbalimbali yaliyotokea ? from 2021-12-17T17:39:45


Kila Ijumaa, tunakupa nafasi ya kutoa maoni yako kuhusu tukio lolote lililotokea duniani wiki hii.

Listen
Habari RFI-Ki
Kirusi cha Omicron chaendelea kusambaa barani Afrika from 2021-12-16T17:26:58


Kirusi kipya cha covid 19 Omicron, kinaenea kwa kasi duniani na sasa kimeripotiwa kwenye mataifa ya Kenya, Uganda, Rwanda na DRC.

Unafanya nini kuepuka kuambukizwa ?

Unataraj...

Listen
Habari RFI-Ki
UNESCO yatambua muziki wa Rumba kama urithi wa dunia from 2021-12-16T17:23:51


Tume ya Umoja wa Mataifa UNESCO imetangaza muziki wa rhumba wenye asili ya DRC na Congo Brazzaville kuwa urithi wa dunia.

Nini maoni yako kuhusu hatua hii?

Musiki wa rhumba u...

Listen
Habari RFI-Ki
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aambukizwa Covid 19 from 2021-12-16T17:17:39


Kwa majuma kadhaa sasa virusi vipya vya Omicron, vimeendelea kuripotiwa katika nchi mbalimbali duniani viongozi wakiwataka raia kuchoma dozi ya tatu ya chanjo, dhidi ya virusi hivyo ili kuonge...

Listen
Habari RFI-Ki
Africa - Msongamano wa wafungwa katika magereza ya Africa from 2021-12-08T22:00:02


Baada ya mkasa wa gereza la Gitega nchini Burundi, ambao umesabisha vifo vya watu 38, magereza mengi barani Afrika yamefurika , kwamba pakitokea mkasa inakuwa vigumu kuendesha shughuli za uoko...

Listen
Habari RFI-Ki
Kenya - Wageni kuonyesha cheti kuthibitisha wamepokea chanjo ya Covid 19. from 2021-12-08T15:09:06


Serikali ya Kenya imetangaza kuwa ni lazima kwa raia yeyote wa kigeni kutoka mataifa ya kigeni kutoa cheti cha covid kuonesha amepokea chanjo ya Covid 19.

Unadhani mataifa mengine ya ...

Listen
Habari RFI-Ki
Ajali za barabarani zinaongezeka Africa Mashariki from 2021-12-06T17:00:03


Ajali za barabarani zimeendelea kuongezeka kwenye nchi za Afrika Mashariki,ambapo mwishoni mwa juma lililopita raia zaidi ya 30 wamethibitisha kufa maji baada ya basi walilokuwa wakisafiria ku...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Lionell Messi ashinda tuzo ya Ballon d'Or 2021 from 2021-12-01T09:00:09


Mchezaji wa soka kutoka Argentina, anayechezea klabu ya Paris Saint Germain Lionell Messi ameshinda tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu, tuzo inayotolewa nchini Ufaransa . Hii ni tuzo yake ya saba.<...

Listen
Habari RFI-Ki
Lionell Messi ashinda tuzo ya Ballon d'Or 2021 from 2021-12-01T09:00:09


Mchezaji wa soka kutoka Argentina, anayechezea klabu ya Paris Saint Germain Lionell Messi ameshinda tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu, tuzo inayotolewa nchini Ufaransa . Hii ni tuzo yake ya saba.<...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Jeshi la Uganda kuingia nchini DRC from 2021-11-30T17:31:33


Rais wa DRC Félix Tshisekedi amekubali kuingia kwa wanajeshi kutoka nchini Uganda kusaidia kupambana na waasi wa ADF.

Je unafikiri jeshi la Uganda linaweza kumaliza waasi wa ADF ?

Listen
Habari RFI-Ki
Jeshi la Uganda kuingia nchini DRC from 2021-11-30T17:31:33


Rais wa DRC Félix Tshisekedi amekubali kuingia kwa wanajeshi kutoka nchini Uganda kusaidia kupambana na waasi wa ADF.

Je unafikiri jeshi la Uganda linaweza kumaliza waasi wa ADF ?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Tanzania - Wasichana waliojifungua kurejea shuleni from 2021-11-25T17:05:22


Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni kurejea masomoni kinyume na mfumo wa awali.

Nini maon...

Listen
Habari RFI-Ki
Tanzania - Wasichana waliojifungua kurejea shuleni from 2021-11-25T17:05:22


Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa kwasababu ya kupata ujauzito wakiwa shuleni kurejea masomoni kinyume na mfumo wa awali.

Nini maon...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Waziri mkuu wa Ethiopia , Abiy Ahmed, ajiunga na jeshi kupambana na waasi. from 2021-11-25T04:00:02


Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amejiunga na  wanajeshi kwenye uwanja wa vita dhidi ya waasi wa Tigray.

Kiongozi wa zamani wa Chad pia alifanya uamuzi kama huo na akauwawa kwenye m...

Listen
Habari RFI-Ki
Waziri mkuu wa Ethiopia , Abiy Ahmed, ajiunga na jeshi kupambana na waasi. from 2021-11-25T04:00:02


Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amejiunga na  wanajeshi kwenye uwanja wa vita dhidi ya waasi wa Tigray.

Kiongozi wa zamani wa Chad pia alifanya uamuzi kama huo na akauwawa kwenye m...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Serikali ya Kenya, kuwanyima huduma raia ambao hawajapata chanjo ya Covid 19. from 2021-11-24T16:42:20


Wakenya ambao hawatachukua chanjo ya Covid 19, kufikia tarehe 21 mwezi ujao hawataweza kupata huduma zozote za serikali na pia za usafiri.

Je, wewe umepokea chanjo?

Haya hapa...

Listen
Habari RFI-Ki
Serikali ya Kenya, kuwanyima huduma raia ambao hawajapata chanjo ya Covid 19. from 2021-11-24T16:42:20


Wakenya ambao hawatachukua chanjo ya Covid 19, kufikia tarehe 21 mwezi ujao hawataweza kupata huduma zozote za serikali na pia za usafiri.

Je, wewe umepokea chanjo?

Haya hapa...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kurejeshwa madarakani kwa Abdalla Hamdock nchini Sudan from 2021-11-23T09:12:23


Waziri mkuu wa Sudan aliyekuwa amepinduliwa , na kuzuiliwa nyumbani ,amerejeshwa kwenye nafasi yake baada ya uongozi wa jeshi kusaini mkataba naye.

Je unazungumziaje hatua hiyo ya uon...

Listen
Habari RFI-Ki
Kurejeshwa madarakani kwa Abdalla Hamdock nchini Sudan from 2021-11-23T09:12:23


Waziri mkuu wa Sudan aliyekuwa amepinduliwa , na kuzuiliwa nyumbani ,amerejeshwa kwenye nafasi yake baada ya uongozi wa jeshi kusaini mkataba naye.

Je unazungumziaje hatua hiyo ya uon...

Listen
Habari RFI-Ki
Mada huru kutoka kwa wasilikzaji wa RFI Kiswahili from 2021-10-08T18:09:35


Makala ya Habari Rafiki kama ilivyo ada ya kila Ijumaa ni mada huru, tumepokea maoni ya wasikilizaji wetu kutoka kila kona ya dunia, kuhusiana na yaliyojiri ulimwenguni.

Ungana na mwa...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mada huru kutoka kwa wasilikzaji wa RFI Kiswahili from 2021-10-08T18:09:35


Makala ya Habari Rafiki kama ilivyo ada ya kila Ijumaa ni mada huru, tumepokea maoni ya wasikilizaji wetu kutoka kila kona ya dunia, kuhusiana na yaliyojiri ulimwenguni.

Ungana na mwa...

Listen
Habari RFI-Ki
Udhalilishaji wa kingono waripotiwa Ufaransa kuanzia mwaka 1950 hadi 2020 from 2021-10-07T18:04:32


Ufaransa imekumbwa na kashfa kubwa baada ya ripoti ya uchunguzi kuonesha kuwa watu zaidi ya laki mbili, 200.000 wengi wakiwa ni watoto kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji wa kingono na mapadri...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Udhalilishaji wa kingono waripotiwa Ufaransa kuanzia mwaka 1950 hadi 2020 from 2021-10-07T18:04:32


Ufaransa imekumbwa na kashfa kubwa baada ya ripoti ya uchunguzi kuonesha kuwa watu zaidi ya laki mbili, 200.000 wengi wakiwa ni watoto kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji wa kingono na mapadri...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Burundi yawataka wafanyakazi wa serikali kuhalalisha ndoa zao from 2021-10-06T18:04:11


Makala hii imeangazia hatua ya serikali ya Burundi kuwataka wafanyikazi wa umma wanaoishi  kwenye maisha ya kimapenzi bila kufunga ama kuhalalisha ndoa, kusimamishwa kazi hadi pale watakapohak...

Listen
Habari RFI-Ki
Burundi yawataka wafanyakazi wa serikali kuhalalisha ndoa zao from 2021-10-06T18:04:11


Makala hii imeangazia hatua ya serikali ya Burundi kuwataka wafanyikazi wa umma wanaoishi  kwenye maisha ya kimapenzi bila kufunga ama kuhalalisha ndoa, kusimamishwa kazi hadi pale watakapohak...

Listen
Habari RFI-Ki
Kashfa ya nyaraka za "Pandora" ya wanahabari za uchunguzi kuhusu viongozi wa dunia from 2021-10-05T18:22:01


Makala hii imezungumzia kashfa ya nyaraka za "Pandora" iliyoibuliwa na wanahabari za uchunguzi, ambayo imeituhumu familia ya Kenyatta kuficha fedha na mali, madai ambayo rais Uhuru Kenyatta am...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kashfa ya nyaraka za "Pandora" ya wanahabari za uchunguzi kuhusu viongozi wa dunia from 2021-10-05T18:22:01


Makala hii imezungumzia kashfa ya nyaraka za "Pandora" iliyoibuliwa na wanahabari za uchunguzi, ambayo imeituhumu familia ya Kenyatta kuficha fedha na mali, madai ambayo rais Uhuru Kenyatta am...

Listen
Habari RFI-Ki
Rais Museveni apendekeza kurejeshwa adhabu ya kifo from 2021-10-04T18:12:01


Wataalamu wa sheria nchini Uganda wamekosoa matamshi ya rais Yoweri Museveni ambaye amependekeza kuondolewa kwa haki ya dhamana na kurejesha kwa adhabu ya Kifo dhidi ya washukiwa wa Mauaji. Sw...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rais Museveni apendekeza kurejeshwa adhabu ya kifo from 2021-10-04T18:12:01


Wataalamu wa sheria nchini Uganda wamekosoa matamshi ya rais Yoweri Museveni ambaye amependekeza kuondolewa kwa haki ya dhamana na kurejesha kwa adhabu ya Kifo dhidi ya washukiwa wa Mauaji. Sw...

Listen
Habari RFI-Ki
Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa watuhumiwa kwa ubakaji DRC from 2021-09-30T17:57:03


Wafanyakazi wa mashariki na tume za umoja wa mataifa, wamendelea kutuhumiwa kwa vitendo vya udhalalishaji wa kingono dhidi ya wanawake, tukio la hivi punde likiwa nchini DRC.

Unazungu...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wafanyakazi wa Umoja wa mataifa watuhumiwa kwa ubakaji DRC from 2021-09-30T17:57:03


Wafanyakazi wa mashariki na tume za umoja wa mataifa, wamendelea kutuhumiwa kwa vitendo vya udhalalishaji wa kingono dhidi ya wanawake, tukio la hivi punde likiwa nchini DRC.

Unazungu...

Listen
Habari RFI-Ki
Je maandamano ni suluhu kwa matatizo ya Africa from 2021-09-29T17:57:03


Raia katika mataifa ya Africa wamekuwa wakishiriki maandamano kushiniza mabadiliko katika mataifa yao, tumeshuhudia hali nchini DRC, Sudan na hata Guinea.

Je unadhani maandamano ni nj...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Je maandamano ni suluhu kwa matatizo ya Africa from 2021-09-29T17:57:03


Raia katika mataifa ya Africa wamekuwa wakishiriki maandamano kushiniza mabadiliko katika mataifa yao, tumeshuhudia hali nchini DRC, Sudan na hata Guinea.

Je unadhani maandamano ni nj...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mzozo wa kisiasa nchini Sudan, nini Maoni yako from 2021-09-28T18:21:19


Baada ya jaribio la mapinduzi nchini Sudan, taifa hilo sasa huenda likatumbukia katika mzozo mwingine wa kisiasa,

baada ya raia kuandamana kupinga bazara la viongozi la sasa.

Listen

Habari RFI-Ki
Mzozo wa kisiasa nchini Sudan, nini Maoni yako from 2021-09-28T18:21:19


Baada ya jaribio la mapinduzi nchini Sudan, taifa hilo sasa huenda likatumbukia katika mzozo mwingine wa kisiasa,

baada ya raia kuandamana kupinga bazara la viongozi la sasa.

Listen

Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili from 2021-09-03T18:06:21


Kila ijumaa ni nafasi ya kuchangia mada uipendayo wewe, liwe ni jambo limetokea nchini mwako au taarifa ulioskia kwenye habari zetu.

Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mafuriko Africa - Sudan Kusini from 2021-09-02T18:43:17


Zaidi ya raia laki tatu wameathirika na mafuriko nchini Sudan Kusini, watu kadhaa wakiripotiwa kufariki kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini humo.

Unadhani nini kinach...

Listen
Habari RFI-Ki
Mafuriko Africa - Sudan Kusini from 2021-09-02T18:43:17


Zaidi ya raia laki tatu wameathirika na mafuriko nchini Sudan Kusini, watu kadhaa wakiripotiwa kufariki kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini humo.

Unadhani nini kinach...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Waasi kuwateka watoto na baadaye kuitisha pesa from 2021-09-01T18:42:10


Makundi ya waasi hapa Afrika yamekuwa yakiwateka watoto na baadaye kuitisha kiasi fulani cha pesa kabla ya kuwaachilia huru , kisa cha hivi punde kikifanyika nchini DRC.

Unadhani nini...

Listen
Habari RFI-Ki
Waasi kuwateka watoto na baadaye kuitisha pesa from 2021-09-01T18:42:10


Makundi ya waasi hapa Afrika yamekuwa yakiwateka watoto na baadaye kuitisha kiasi fulani cha pesa kabla ya kuwaachilia huru , kisa cha hivi punde kikifanyika nchini DRC.

Unadhani nini...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mzozo wa jeshi la Pamoja nchini Sudan Kusini from 2021-08-31T18:00:08


Makamo rais wa kwanza nchini Sudan Kusini, Riek Machar, amekanusha ripoti ya yeye pamoja na rais Salva Kiir kuunda jeshi la pamoja nchini humo, kwa mjibu wa mkataba wa amani wa mwaka 2018.
Listen

Habari RFI-Ki
Mzozo wa jeshi la Pamoja nchini Sudan Kusini from 2021-08-31T18:00:08


Makamo rais wa kwanza nchini Sudan Kusini, Riek Machar, amekanusha ripoti ya yeye pamoja na rais Salva Kiir kuunda jeshi la pamoja nchini humo, kwa mjibu wa mkataba wa amani wa mwaka 2018.
Listen

Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Changamoto ya upatikanaji wa chanjo ya Covid 19 barani Afrika from 2021-08-30T18:32:19


Kwa mara nyingine viongozi wa Afrika wamezitaka nchi zilizoendelea kuondoa haki miliki katika utengenezaji wa chanjo ya Covid 19 wakati huu wakilalama kutokuwepo na usawa .

Unaamini w...

Listen
Habari RFI-Ki
Changamoto ya upatikanaji wa chanjo ya Covid 19 barani Afrika from 2021-08-30T18:32:19


Kwa mara nyingine viongozi wa Afrika wamezitaka nchi zilizoendelea kuondoa haki miliki katika utengenezaji wa chanjo ya Covid 19 wakati huu wakilalama kutokuwepo na usawa .

Unaamini w...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni yako kuhusu kilichotokea duniani wiki hii from 2021-08-20T18:52:57


Leo ikiwa Ijumaa tunakupa fursa ya kuchangia mada uipendayo . Ushauri tu ,utumie muda wako vizuri.

Listen
Habari RFI-Ki
Maoni yako kuhusu kilichotokea duniani wiki hii from 2021-08-20T18:52:57


Leo ikiwa Ijumaa tunakupa fursa ya kuchangia mada uipendayo . Ushauri tu ,utumie muda wako vizuri.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wabunge nchini waongeza muda wa hali ya tahadhari Mashariki DRC from 2021-08-19T18:38:21


Wabunge nchini DRC wameunga mkono utawala wa kijeshi kuendelea kuongoza mikoa miwili ya Ituri na Kivu Kaskazini kupambana na makundi ya waasi, wakati huu mauaji ya raia yakiendelea kushuhuduwa...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Uganda yakubali kuwapokea wakimbizi kutoka Afghanistan from 2021-08-18T18:35:05


Uganda imekubali kuwapa hifadhi wakimbizi elfu mbili kutoka Afghanistan ?

Je unafikiri mataifa mengine ya Afrika yanastahili kuiga mfano huo ?

Unadhani Afrika ina uwezo wa ku...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Taliban wadhibiti Afganistan, raia wajawa na hofu from 2021-08-17T18:16:57


Wapiganaji wa Taliban nchini Afganistan, wameuteka mji mkuu wa Kabul na sehemu zingine za nchi hiyo ndani ya siku kumi.

Unazungumziaje hatua hii ya Taliban?

Je , uamuzi wa Ma...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Upinzani washinda Uchaguzi nchini Zambia from 2021-08-16T18:31:13


Kiongozi wa upinzani nchini Zambia, Hakainde Hichilema ametangazwa mshindi wa uchaguzi uliofanyiwa nchini humo na kumshinda rais Edger Lungu.

Nini maoni yako kuhusiana na ushindi wa H...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Una maoni gani kuhusu kinachotokea duniani na nchi yako ? from 2021-08-06T18:26:48


Leo katika makala ya Habari Rafiki ,tunakupa nafasi kuchangia mada uipendayo. Tumia muda wako vizuri ,ujaribu kurekodi sauti yako mahala hamna kelele ,kisha tutumie sauti yako kwenda namba ya ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Naibu rais wa Kenya William Ruto azuiwa kuzuru Uganda from 2021-08-05T18:16:04


Naibu wa rais nchini Kenya, William Ruto jumatatu alizuiwa kuabiri ndege kwa safari ya kibinafsi nchini Uganda, mamlaka zikisema hakuwa amepata idhini kutoka kwa serikali.

Hata hivyo ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Sintofahamu ya kumpata Mwenyekiti mpya wa Tume ya Uchaguzi nchini DRC from 2021-08-03T18:29:58


Nchini DRC, wakati huu uchaguzi mkuu wa 2023 ukikaribia, uteuzi wa rais wa tume ya kitaifa ya uchaguzi CENI umeibua mgawanyiko hasa miongoni mwa viongozi wa kidini.

Unadhani makanisa ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mapigano nchini Ethiopia serikali imeshindwa ? from 2021-07-31T05:00:09


Mapigano kwenye mikowa ya Tigray, Amhara na Afra nchini Ethiopia, yameripotiwa kuanza kusambaa kwenye maeneo mengine ya taifa hilo, huku raia wakiuawa.

Unahisi mapigano haya ya Ethiop...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kuahirisha kwa uchaguzi nchini Somalia from 2021-07-26T18:00:13


Kwa mara nyingine nchi ya Somalia imetangaza kuahirisha uchaguzi wake ambao ulikuwa umeratibiwa kuanza siku ya Jumapili.

Hatua hii inakuja baada ya juma lililopita, kundi la kiislamu ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kuanza kwa Michezo ya Olimpiki jijini Tokyo nchini Japan from 2021-07-24T12:23:22


Michezo iliyocheleweswa ya Olimpiki kutokana na janga la Covid 19 inafungua milango yake jijini Tokyo nchini Japan, nini thathmini yako na matarajio yako ?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Waislamu waadhimisha Sikukuu ya EID AL ADHA from 2021-07-24T12:16:10


Waislamu kote duniania, wanaadhimisha sikukuu ya Eid Al Adha, katikati ya janga la Covid 19.Sherehe zinaendeleaje hapo ulipo ?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Miaka 10 ya uhuru wa Sudan Kusini from 2021-07-15T10:39:04


Wananchi wa Sudan Kusini wanaadhimisha miaka 10 ya uhuru.Lakini je, wananchi wake wana cha kufurahia ?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Italia mabingwa wa soka barani Ulaya from 2021-07-15T10:25:45


Italia iliishinda Uingereza katika fainali dhidi ya Uingereza kuwania taji la soka barani Ulaya. Maoni yako ni yepi kuhusu ushindi huu na unazungumzia vipi mashindano haya ?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kusitisha kwa mapigano Tigray Ethiopia kutadumu? from 2021-07-02T05:00:11


Jeshi la Ethiopia baada ya kujiondoa kwenye jimbo la Tigray, linasema wapiganaji wa jimbo hilo sasa sio tishio tena, lakini wapiganaji hao wameapa kuendelea kupambana na jeshi la Ethiopia na w...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Burundi ifanye nini kuzuia mashambulizi ya mara kwa mara from 2021-07-01T16:41:46


Burundi imeendelea kushuhudia mashambulizi dhidi ya raia, kama ilivyoshuhudiwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika mkoa wa Muramvya na kusababisha vifo vya watu 15.

Unafikiri nani yupo...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Tutarajie nini baada ya mkutano kati ya rais wa Rwanda na mwenzake wa DRC from 2021-07-01T16:30:43


Mwishoni mwa juma lililopita rais wa Rwanda na mwenzake wa DRC walikutana katika mpaka wa nchi zao na kukubaliana kuimarisha ushirikiano wao ambao kwa miaka kadhaa ulikuwa sio mzuri.

...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Ufaransa na Ureno nje ya michuano Euro 2022 from 2021-06-30T18:13:44


Mabingwa wa Dunia katika mchezo wa soka Ufaransa wameondolewa kwenye michuano ya Euro pamoja na Mabingwa watetezi Ureno.

Unafikiri timu gani itashinda taji hili la Euro?

Una ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Umepokea chanjo ya corona nchini mwako from 2021-06-21T17:57:05


Mataifa mengi barani Afrika, yanakabiliwa na wimbi la tatu la maambukizi ya Covid 19, huku Shirika la afya duniani WHO, likitaka utoaji wa chanjo kuendelea licha ya baadhi ya raia kuonekana ku...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rais wa DRC Felix Tshisekedi atembelea wahanga wa Volkano from 2021-06-14T18:36:19


Makala maalum ya habari rafiki imeangazia matarajio ya raia wa mjini Goma baada ya kumpokea rais wa nchi hiyo katika ziara yake kwenye mji huo mwishoni mwa juma lililopita,

Tumekuuliz...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Usalama mashariki mwa DRC bado ni tete licha ya uongozi wa jeshi from 2021-06-10T17:57:52


 mwezi moja umepita tangu serikali ya DRC ,itangaze hali ya dharura,kwenye majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri ,lakini licha ya tangazo hilo na operesheni za kijeshi ,mamia ya raia wameendelea ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Unajikinga vipi na Covid 19 hapo ulipo from 2021-06-09T17:57:21


Serikali ya Uganda imetangaza siku 42 ya kutekelezwa masharti mapya ya kupambana Corona huku kukiripotiwa uhaba wa chanjo

Je ,wewe raia unajikinga vipi dhidi ya maambukizi hayo mapya?...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wakaazi wa Goma waanza kurejea nyumbani baada ya tishio la mlipuko wa Volkano from 2021-06-08T17:47:28


Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, imetangaza utaratibu kuhakikisha watu waliokimbia mji wa Goma,wanaanza kurejea,watalaam wakidai mji huo uko salama baada ya hofu ya awali kwamba m...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mashirika ya kibinadamu yajibu maswali ya wasikilizaji from 2021-06-07T18:33:58


Wakati waziri mkuu wa DRC Jean Michel Sama Lukonde akitangaza kuwa serikali yake imeruhusu kwamba sasa wakaazi waliokimbia makazi yao wanaweza kurejelea nyumba zao katika mji wa Goma baada ya ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Miaka 100 ya radio umuhimu wa chombo kwa msikilizaji wetu from 2021-06-05T13:34:53


Mwaka 1921, chombo kipya cha Radio kilizaliwa, karne moja baadaye Radio hii haina mfano wake imebaki kuwa ni chombo kinachokuhabarisha, kukuburudisha, na kukupa nafasi ya kujieleza. Fursa ya k...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wasikilizaji wa RFI Kiswahili wazungumzia mada huru from 2021-06-05T10:58:07


Kila ijumaa tunakupa nafasi ya kujieleza katika makala ya Habari rafiki na wengi baadhi yenu mmezungumzia kuhusu kwa nini mauaji yanaendelea mashariki mwa jamhuri a kidemokrasia ya Congo huku ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wakaazi wa Goma warejea bila matumaini from 2021-06-05T10:35:50


Hii leo tunakuletea Sehemu ya Tatu na ya Mwisho ya Makala maalum ya Habari Rafiki Kuhusu Goma, tumekuuliza wewe msikilizaji uko wapi na hali ikoje mahali uliko Baada ya mlipuko wa mlima wa vol...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wakaazi wa Goma waliokimbia volkano warejea mjini nchini DRC from 2021-06-02T07:35:02


Jumanne ya wiki hii tumekuletea mwendelezo wa makala maalum ya habari rafiki kuhusu mlipuko wa mlima wa volkano wa Nyiragongo katika mji wa Goma huku tukikuuliza wewe msikilizaji wetu uko wapi...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wakaazi wa Goma mashariki mwa DRC waukimbia mji kufuatia volkano from 2021-06-01T18:28:35


Msikilizaji katika makala maalum ya Habari Rafiki ni kuhusu Goma mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, tuambie uko wapi na hali ikoje mahali uliko...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni yako kuhusu mada uipendayo wiki hii from 2021-05-29T18:31:39


Hivi leo ikiwa Ijumaa, una fursa ya kuchangia mada uipendayo, hakikisha tu unatumia muda wako vizuri. Karibu sana.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Sudan Kusini yaanza kuandika katiba mpya from 2021-05-28T08:46:50


Sudan Kusini imeanza mchakato wa kurekebisha katiba ,ambayo iwapo raia wataridhia,itakuwa katiba ya kwanza tangu nchi hiyo kupata uhuru Julai 2011.

Je unadhani ,katiba mpya itasaidia ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Jeshi lachukua tena serikali nchini Mali from 2021-05-28T08:39:46


Jeshi limechukua tena madaraka nchini Mali baada ya kukamatwa kwa rais Bah N'daw na Waziri Mkuu Moctar Oune.

Makamu wa rais Assimi Goita afisa wa jeshi anasema hakushirikishwa na rais...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mlipuko wa Volkano Mashairki mwa DRC from 2021-05-28T08:33:59


Idadi ya watu waliopoteza maisha inapozidi kuongezeka Mashariki mwa DRC kufuatia kuropomoka katika kwa Volkano katika mlima Nyiragongo, watalaam wa Jiolojia nchini humo wanasema walishindwa ku...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron nchini Rwanda from 2021-05-28T08:28:40


Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anatarajiwa kuzuru Rwanda wiki hii, ziara inayolenga kuimarisha mahusiano ya mataifa hayo mawili katika masuala ya siasa na uchumi, baada ya mauaji ya kimbari ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mada huru kuhusu kilichotokea duniani from 2021-05-22T17:38:48


Leo makala ya Habari Rafiki ni Mada Huru, ambapo unashiriki kuzungumzia chochote kile ulichokisikia juma zima au hata katika eneo ulipo.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mkutano kati ya Ufaransa na viongozi wa Afrika kuhusu Covid 19 from 2021-05-20T18:43:43


Mkutano wa kimataifa wa Paris kuhusu ufadhili kwa mataifa ya Afrika Kukabiliana na changamoto za Covid 19, umemalizika juma hili nchini Ufaransa.

Rais Emmanuel Macron, akiahidi kusima...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Nini hatima ya mzozo wa Israel na Palestina ? from 2021-05-19T18:21:53


Mataifa yenye nguvu duniani bado yamegawanyika kuhusu hatua za kuchukua kumaliza mapigano yanayoendelea kati ya Israeli na Palestina ambayo kwa zaidi ya wiki mbili sasa yamesababisha vifo vya ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Chanjo za kupambana na Covid 19 zapendekezwa kutumiwa nchini Tanzania from 2021-05-19T12:08:35


Kamati maalumu ya Covid 19 nchini Tanzania, imependekeza kwa Serikali ya nchi hiyo kujiunga katika mpango wa dunia wa usambazaji chanjo, Covax, pamoja na kutangaza tahadhari kama mataifa mengi...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Una maoni gani kuhusu hukumu ya kifo from 2021-05-17T18:22:34


Mwishoni mwa juma lililopita mahakama nchini DRC imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu 29 waliodaiwa kuhusika katika vurugu za ibada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa ramadhani, ambapo polisi ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Una maoni gani kuhusu taarifa za juma hili from 2021-05-15T05:00:08


Msikilizaji, kila siku ya ijumaa , una fursa ya kuchangia mada uipendayo, kupitia makala haya, na haya hapa baadhi ya maoni yako kuhusiana na taarifa zetu za juma hili.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Machafuko ya Isreali na Palestina from 2021-05-14T17:57:47


Machafuko yanayoendelea kati ya Israeli na Palestina sasa yamesababisha vifo vya watu zaiida ya 60 wakati huu ikihofiwa kuwa huenda vita sasa vikashuhudiwa.

Je, machafuko haya yanawez...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kenya yasitisha safari za ndege za kutoka na kuingia nchini Somalia from 2021-05-12T18:00:26


Taifa la kenya limefuta safari za ndege kutoka nchini Somalia, siku chache baada ya mataifa haya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia, kufutia miezi kadhaa ya mvutano.

Je, unadhani hatu...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mvutano wa matumizi ya maji ya mto Nile from 2021-05-12T05:00:10


Mvutano wa matumizi ya maji ya mto Nile, bado ni kizungumkuti kati ya Ethiopia, Sudan na Misri na rais wa DRC Felix Thisekedi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, anazuru nchi hizo kuj...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rais wa Sudan Kusini alivunja bunge from 2021-05-11T16:54:10


Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, amelivunja  bunge la nchi hiyo, kwa kile kinachoelezwa ni kuteua bunge ambalo litajumuisha upinzani.

Je? Unadhani hatua hii itasaidia katika kutekele...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan azuru Kenya from 2021-05-07T18:25:36


Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anazuru Kenya kwa siku mbili, kuimarisha mahusiano kati ya nchi hizo mbili. Nini maoni yako kuhusu ziara hii ?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri nchini DRC sasa chini ya wanajeshi from 2021-05-07T18:09:29


Rais wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi, ametoa wito wa umoja ili kumaliza changamoto za kiusalama kwenye taifa hilo hasa katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

U...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mwanahabari wa Ufaransa Olivier Dubois atekwa nchini Mali from 2021-05-07T18:05:14


Siku chache baada ya dunia kuadhimisha siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari, mwanahabari wa Ufaransa Olivier Dubois ametoa mkanda wa video akisema alitekwa April 8 na kundi linalohu...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni kuhusu yaliyojiri duniani wiki hii from 2021-05-07T17:57:27


Leo ikiwa Ijumaa, una fursa ya kuchangia mada uipendayo, kuhusu matukio yanayotokea au yaliyotokea nchini mwako wiki hii.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Siku ya Uhuru wa vyombo vya Habari Duniani from 2021-05-03T18:17:10


Dunia hivi leo inaadhimisha siku ya kimataifa ya "Uhuru wa Vyombo vya Habari", siku hii inaadhimishwa huku juma lililopita wanahabari wawili Raia wa Hispania wakiuawa nchini Burkina Faso. Bara...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Una maoni gani kuhusu habari zetu za juma hili from 2021-05-01T15:10:41


Kila  Ijumaa una fursa ya kuchangia mada uipendayo, hakikisha tu unatumia muda wako vizuri kwa kutumia ujumbe wako mfupi wa sauti, kwenda namba ya WhatsApp +254 110 000 420.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni ya msikilizaji kuhusu gharama ya mtandao from 2021-04-29T17:57:06


Taifa la Tanzania limeendelea kuongoza kwa mwaka pili sasa kuwa la kwanza Afrika mashariki kwa matumizi ya chini sana ya internet, ikichukuwa nafasi ya Somalia ambayo kwa sasa ni ya 3. Haya ni...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni ya msikilizaji kuhusu muda wa matumizi wa chanjo ya Covid 19 from 2021-04-28T17:57:05


Mataifa kadhaa ya Afrika yameharibu chanjo vya covid 19 kutokana na muda wake wa matumizi kupitwa na wakati, hivi punde DRC, ikitajiwa kupeana baadhi ya chanjo yake, ili kuzuia chanjo hiyo kuh...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Nini kifanyike kuzuia mzozo zaidi wa kisiasa nchini Somalia from 2021-04-27T17:57:04


Kwa majuma kadhaa mapigano yamekuwa yameripotiwa nchini Somalia kati ya wapiganaji wa upinzani wanaopinga kusalia madarakani kwa rais Mohamed Abdullahi Farmaajo baada ya bunge kumuongezea muda...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wasanii wana jukumu gani kwa jamii kipindi hiki cha janga la corona from 2021-04-26T17:57:07


 Tumeshuhudia wakati huu wa janga la Corona, wasanii wengi wanatumiwa kuhamasisha, lakini mbali na hayo wamekuwa wakitumiwa kisiasa na hasa wakati wa huu wa covid 19 hapa barani Africa.
Listen

Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni yako kuhusu matukio yaliyotokea hapo ulipo from 2021-04-23T18:09:20


Leo tunakupa nafasi ya kutoa maoni yako kuhusu kilichotokea katika nchi yako au kwingineko duniani.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Msikilizaji ana maoni gani kuhusu mimba za mapema kwa wasichana wadogo from 2021-04-22T18:33:16


Baadhi ya mataifa barani Afrika yamerekodi ongezeko la wasichana wadogo waliopata mimba za mapema katika kipindi hiki cha janga la corona.

Maelfu ya wasichana hao sasa wameshindwa kur...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Utamkumbuka vipi rais wa Chad Idriss Deby ? from 2021-04-21T18:04:38


Wananchi wa Chad wanaomboleza kifo cha rais wao Idriss Deby ambaye alifariki mapema jana kutokana na majeraha aliyopata wakati wakiongoza wanajeshi wake kupambana na wanajihadi kaskazini mwa t...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Hatima ya wanamichezo wanapostaafu from 2021-04-20T18:12:50


Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia wanamichezo wengi waliostaafu wakikosa uwezo wa kujikimu na hata kuomba msaada kwa jamii inayowazunguka ili waweze kuishi.

Wengi wakikosolewa...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Hali ya utoaji wa chanjo barani Afrika from 2021-04-19T18:03:16


Barani Afrika,ni  asilimia 2 peke ya chanjo ya Covid -19 imetolewa kote duniani, Bara Afrika lingali linasalia nyuma katika kampeni ya utoaji chanjo ya covid 19. Unazungumziaje kasi ndogo ya u...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wabunge nchini Somalia wamwongezea muda wa kutawala rais Farmajo from 2021-04-16T08:01:19


Rais wa Somalia Mohammed Farmajo, ametia saini mswada unaompa uwezo wa kusalia madarakani kwa kipindi cha miaka mingine miwili ikiwa ni baada ya bunge kuidhinisha hatua hiyo, suala ambalo lime...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Serikali mpya yatangazwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo from 2021-04-15T08:16:40


Waziri Mkuu wa DRC, ametangaza baraza  jipya la mawaziri Jean-Michel Sama Lukonde Kyenge, alilosema litakuwa na jukumu la kuhakikisha usalama Mashariki mwa Congo, pamoja na kupambana na vitend...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wakaazi wa Mashariki mwa DRC waandamana kutaka jeshi la MONUSCO kuondoka from 2021-04-15T08:05:32


Maandamano ya kashifu mauaji ya raia huko Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanaonekana kushika kasi wakati huu watu kadhaa wakiripotiwa kufariki.

Unadhani jeshi la DRC ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Uganda na Tanzania zatiliana saini kujenga bomba la mafuta from 2021-04-15T07:58:41


Mataifa ya Tanzania na Uganda,yametiliana saini mkataba wa ujenzi wa bomba la usafirishaji wa mafuta ghafi.

Nini maoni yako kuhusu hatua hii ? Na unadhani ujenzi huo utatengeza ajira ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuunda jopo la kuchunguza hali ya Covid 19 from 2021-04-09T08:37:51


Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ,ametangaza kuundwa jopo kazi kushughulikia swala la Corona nchini humo pamoja na kuondoa vikwazo kwenye baadhi ya vyombo vya habari. Huu ni msimamo tofaut...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Miaka 27 tangu mauaji ya kimbari Rwanda 1994 from 2021-04-07T18:21:23


Makala ya Habari Rafiki hivi leo wasikilizaji wanachangia kuhusu maadhimisho ya miaka 27 tangu kutokea kwa mauji ya Kimbari nchini Rwanda mwaka 1994.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Uingereza yataka vyeti maalum vya chanjo ya Corona from 2021-04-07T10:15:33


Uingereza imetangaza kuwa kufikia mwisho mwaka 2021 ,kadi za kuthibitisha umechomwa chanjo ya kuzuia Corona ,zitakuwa inatumika kama vile passpoti ? Unazungumziaje hatua ya Uingereza na unadha...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wakenya walalamikia hatua ya serikali yao kuomba mkopo from 2021-04-06T10:36:55


Baadhi ya raia wa Kenya,wameamua kutumia mitandao ya kijamii kuonesha gadhabu zao dhidi ya serikali kutokana na hatua yake ya kuomba mkopo mwingine wa zaidi ya dola bilioni 2 kutoka shirika la...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni yako kuhusu yaliyotokea hapo ulipo au duniani wiki from 2021-04-03T20:00:22


Kila Ijumaa, tunakupa fursa ya kutoa maoni yako kuhusu tukio lolote lililotokea nchini kwako au kwingineko duniani.

Karibu sana.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Baadhi ya Wakenya wachoshwa na masharti mapya ya kupambana na Covid 19 from 2021-04-01T20:07:59


Baadhi ya mashirika ya kiraia nchini Kenya, yanatishia kuitisha maandamano kulalamilkia masharti mapya ya kupambana na Covid 19 kwa kile wanachosema maisha yanaendelea kuwa magumu kufuatia kuf...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Hali ya utovu wa usalama mjini Palma nchini Msumbiji from 2021-03-31T19:35:47


Msumbiji inaendelea kukabiliwa na utovu wa salama katika mkoa wa Cabo Delgado unaopakana na Tanzania  baada ya wanajihadi kuvamia mji wa Palma na kuwauwa wenyeji na wageni huku maelfu wakiyaki...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mkutano wa makabila kutoka Kivu Kusini jijini Kinshasa nchini DRC from 2021-03-30T20:03:31


Mazungumzo ya amani kati ya makabila ya watu wanaoishi katika maeneo ya Fizi, Uvira na Mwenga jimboni Kivu Kusini, yanafanyika jijini Kinshasa, kutafuta suluhus ya kusitisha migogoro ambayo im...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Ufaransa ilifahamu mpango wa utekelezwaji wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda from 2021-03-29T20:07:08


Ripoti ya Tume ya wanahistoria nchini Ufaransa, imebaini kuwa nchi hiyo hiyo ilifumbia macho maandalizi ya mauaji ya kimbari yaliyotokea nchini Rwanda mwaka 1994 na hivyo inawajibika kwa kiasi...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mskilizaji ana maoni gani kuhusiana na taarifa za juma hili? from 2021-03-26T17:57:06


Makala Habari Rafiki leo yanakupa nafasi ya kuzungumzia habari ulizoskia juma hili katika taarifa zetu au  chochote kinachofanyika nchini mwako.

Haya hapa baadhi ya maoni yako mskiliz...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mskilizaji ana maoni gani kuhusu kufungwa kwa kambi za Kakuma na Dadaab? from 2021-03-25T17:57:08


Serikali ya Kenya, Kupitia kwa waziri wake wa usalama wa ndani, imetoa makataa ya siku 14 kwa kambi za wakimbizi za Kakuma na Dadaab kufungwa, waziri Fred Matiang'i akisema hilo limechangiwa n...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mskilizaji ana maoni gani kuhusu wanadoa kukosa kutoa haki ya ndoa? from 2021-03-24T17:57:05


Kule ufaransa mwanamke mwenye umri wa miaka 66 ameshtakiwa katika mahakama moja kwa kukosa kumtimizia mumewake tendo la ndoa...Wakili wake ameeleza kuwa mahakama haina haki kutoa uamuzi kama h...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mskilizaji ana maoni gani kuhusu Umoja wa Mataifa Kutaka Somalia kuandaa uchaguzi? from 2021-03-23T17:57:06


Umoja wa mataifa, Marekani na Umoja wa ulaya, yamelitaka taifa la Somalia pamoja na viongozi wake kuafikiana kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini humo yakisema hayataunga mkono uchaguzi u...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mskilizaji ana maoni gani kuhusu Kenya kujiondoa katika kesi ya mpaka kati yake na Somalia? from 2021-03-22T17:57:06


Serikali ya Kenya imejiondoa katika kesi ya mpaka wa baharini kati yake na  taifa la Somalia katika mahakama ya haki ya kimataifa ya ICJ, Kenya ikidai mahakama hiyo inapendelea somalia
Listen

Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni yako kuhusu matukio mbalimbali yaliyotokea duniani wiki hii from 2021-03-19T18:11:22


Kila siku ya Ijumaa, tunatoa nafasi kwako msikilizaji kutoa maoni yako kuhusu matukio mbalimbali yaliyotokea duniani wiki hii.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Utamkumbuka vipi rais wa Tanzania John Magufuli ? from 2021-03-18T18:00:16


Tunakupa nafasi ya kumkumbuka rais wa Tanzania John Magufuli, aliyefariki dunia siku ya Jumatano Machi 17, 2021  baada ya ugonjwa wa moyo akiwa na umri wa miaka 61.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Afrika yaendelea kutumia chanjo ya AstraZeneca iliyositishwa na mataifa kadhaa barani Ulaya from 2021-03-17T18:27:07


Mataifa mbalimbali barani Afrika yanaendelea na kampeni ya kutoa chanjo aina ya AstraZeneca kwa raia wake, licha ya baadhi ya mataifa ya bara Ulaya kuisitisha  kufuatia ripoti kuwa inasababish...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Nani atamaliza mwendelezo wa mauaji ya raia Mashariki mwa DRC ? from 2021-03-16T18:18:38


Mashariki mwa DRC mauaji ya raia yanayodaiwa kutekelezwa na makundi ya waasi hasa Wilayani Beni bado yanaendelea, licha ya hakikisho la mara kwa mara  serikali ya nchi hiyo na jeshi la kulinda...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Nini maoni ya waskilizaji kuhusu idadi ndogo inayojitokeza kupokea chanjo ya corona? from 2021-03-16T12:26:56


 Mataifa kadhaa ya Afrika mashariki yameanza kutoa chanjo dhidi ya virusi vya corona, japo raia wengi hawajajitokeza kupata chanjo hiyo.Nini kinachangia idadi ndogo ya wa ria kujitokeza?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Nini maoni yako kuhusu Patrice Motsepe kuwa rais mpya wa CAF ? from 2021-03-15T18:04:33


Leo kwenye Makala ya Habari Rafiki, tunakuuliza  nini matarajio yako kutoka kwa rais mpya wa CAF Patrice Motsepe ?

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Maoni ya waskilizaji kuhusu matukio yaliojiri juma hili from 2021-03-12T17:57:06


kwenye makala haya, waskilizaji wanachangia mada huru kuhusu yale walioskia katika matangazo yetu au matukio karibu nao.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Waskilizaji wana maoni gani kuhusu kuondolewa masharti ya Covid 19 from 2021-03-11T17:57:05


Ni mwaka moja tangu virusi vya corona kutangazwa kanda ya Africa Mashariki, je waskilizaji wana maoni gani   kuhusu kuondolewa kwa masharti ya kudhibiti Covid 19?

skiza baadhi ya maon...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Waskilizaji wana maoni gani kuhusu Bobi Wine kuitisha maandamano Uganda? from 2021-03-10T18:00:12


Aliyekuwa mgombea urais nchini Uganda Robert Kygulanyi maarafu kama Bobi Wine ameitisha maandamano ya amani nchini humo, Kupinga kile anachosema ni wizi wa kura uliofanywa na tume ya uchaguzi....

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kenya yapiga marufuku uagizaji wa mahindi kutoka Uganda na Tanzania. from 2021-03-10T16:38:24


Msikilizaji nchi ya Kenya imepiga marufuku ununuzi wa mahindi kutoka mataifa jirani ya Tanzania na Uganda. Swala hilo likiwa limeibua mzozo wa kibiashara ambao umekuwa ukishuhudiwa mara kwa ma...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kila Ijumaa ni nafasi kwa waskilizaji kuzungumzia mada waipendayo from 2021-03-09T13:43:01


Ijumaa hii wasikilizaji wa RFI Kiswahili wanazungumzia mada mbalimbalki walizochaguwa wenyewe chini ya muongozaji kipindi Ali Bilali

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mbuga ya wanyama ya Virunga mashariki mwa DRC yavuna kiasi cha Dola za Marekani milioni 81 from 2021-03-09T13:32:16


Makala haya tunazungumzia kuhusu taarifa kwamba Mbuga ya wanyama ya Virunga huko Mashariki mwa DRC imeingiza kiasi cha Dola za Marekani Milioni 81 mwaka 2020 katika zoezi la Utalii na kilimo v...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Utekaji nyara wa wanafunzi nchini Nigeria wakithiri from 2021-03-08T16:47:43


Katika Makala haya tunazungumzia kuhusu utekaji nyara unaondelea kukithiri nchini Nigeria licha ya juhudi za serikali kukomesha utakaji huo bado hali imendelea kuwa tete.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mataifa ya Afrika nayo yaanza kupokea chanjo ya virusi vya Corona from 2021-03-03T11:56:30


Hii leo Makala Habari Rafiki, mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na wasilikizaji kutaka kujuwa hasa ni namna gani wamejiandaa kupokea chanjo ya virusi vya Corona ambayo tayari imeanza kuto...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - DRCongo na Somalia zajadiliwa kujiunga na jumui ya ya Afrika Mashariki EAC from 2021-03-03T11:36:11


Hii leo kwenye Makala ya Habari Rafiki, Ali Bilali anazungumza na wasilikizaji kuhusu hatuwa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC kuyajadili mataifa ya DRCongo na Somalia kujiunga na jumuiya hiy...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Je mashambulizi ya Al shabaab kukomesha uchaguzi Somalia? from 2021-02-04T18:02:10


Nchi ya Somali imetoa wito kwa mazungumzo ya dharura kutokana na mgogoro wa kisiasa uliopo,huku hali tete ya kiusalama ikiendelea kushuhudiwa nchini humo kutokana na mashambulizi ya Al shabaab...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Machafuko yanayoshuhudiwa katika nchi ya Jamuhuri ya Afrika ya Kati from 2021-02-01T17:42:21


Kwa miezi kadhaa sasa nchi ya Jamuhuri ya Afrika ya kati inashuhudia machafuko,waasi wakijaribu kuingia mji mkuu bangii kuipindua serikali ya rais Foustin Archange Toudera aliyechaguliwa tena ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - MADA HURU from 2021-01-18T14:12:09


Makala ya Habari Rafiki hivi leo ni mada huru, ambapo msikilizaji anatoa maoni yake kwa uhuru kulingana na yale aliyoyasikia kwenye matangazo yetu

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rais Kenyatta na mpango wa kutaka kubadilisha katiba from 2020-06-12T16:00:58


Matamshi ya rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, kuhusu uzewekano wa nchi yake kufanyia katiba ya mwaka wa 2010 marekebisho.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Mahakama ya katiba Burundi yabariki ushindi wa Evariste Ndayishimiye kama rais from 2020-06-12T15:31:45


Kiongozi wa upinzani nchini Burundi na Agathon Rwasa akubali uamuzi wa mahakama ya katiba ya kumuidhinisha Evariste Ndayishimiye kama mshindi wa uchaguzi wa urais mwezi Mei.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rwanda na Uganda zabadilishana wafungwa zikilenga kutafuta suluhu ya mzozo wa kidiplomasia baina yao from 2020-02-04T10:02:37


Nchi za Rwanda na Uganda zimekubaliana kubadilishana wafungwa huku viongozi wa mataifa hayo wakitarajia kukutana katika mpaka wa Gatuna, ikiwa na hatua ya karibuni zaidi ya kutafuta suluhu ya ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Hatua ya Uganda kuachilia wanyarwanda tisa inaweza kupunguza joto la uhasama baina ya mataifa hayo mawili? from 2020-01-10T12:39


Serikali ya Uganda imetangaza kuwaachilia huru raia tisa wa Rwanda waliokuwa wakishikiliwa katika kambi za kijeshi nchini humo. Je hatua hii inaweza kupunguza joto la mvutano uliopo baina ya K...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Ni tukio gani unalikumbuka kwa mwaka 2019 from 2020-01-01T15:40:22


Mwaka 2019 unafikia ukingoni leo Disemba 31 na tunakupa fursa msikilizaji kutoa maoni yako kuhusu matukio muhimu yaliyotokea katika jamii yako. Ungana na Fredrick Nwaka aliyekuandalia makala h...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Umoja wa Mataifa washutumu serikali ya Sudani Kusini kwa kuajiri wapiganaji katika vyombo vya usalama na ujasusi from 2019-11-30T14:24:59


Umoja wa mataifa umelaani vikali hatua ya serikali ya rais Salva Kiir kuajiri wapiganaji katika vyombo vya usalama huku pia ukinyooshea kidole Kenya na Uganda kwa kushindwa kusaidia mchakato w...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Jumuiya ya Afrika Mashariki yatimiza miaka 20 tangu ilipoasisiwa kwa mara ya pili from 2019-11-30T14:19:33


Jumuiya ya Afrika mashariki imetimiza miaka 20 tangu ilipoasisiwa kwa mara ya pili mwaka 1999. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza  na wasikilizaji ikiwa jumuiya hiyo imetim...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Watu wenye ulemavu wa ngozi katika mataifa jirani na Tanzania bado wanakabiliwa na hatari ikiwemo mauaji from 2019-11-24T11:20:47


Shirika la Under The Same Sun lenye makao yake makuu nchini Canada linasema Tanzania imepiga hatua katika kukabiliana na madhila yanayowapata watu wenye ulemavu wa ngozi huku likisema mataifa ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Ufaransa na Umoja wa Ulaya utaweza kukomesha mauaji mashariki mwa DRC? from 2019-11-22T13:01:39


Daktari Dennis Mukwege ametoa wito kwa Ufaransa na umoja wa Ulaya kuingilia kijeshi nchini DRC ili kupambana na magaidi wa ADF wanaoendesha mauajio ya raia wilayani Beni na mashariki mwa nchi ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Rais Paul Kagame aonya nchi yoyote itakayochezea amani na usalama wa taifa lake from 2019-11-17T13:38


Rais Paul Kagame wa Rwanda ametoa onyo kali kwa taifa lolote litakalochezea amani na usalam wa Rwanda, onyo linalokuja baada ya kuahirishwa kwa mazungumza baina ya Kigali na Kampala yanayoleng...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Ulimwengu waadhimisha siku ya kisukari huku idadi ya watu wanaougua maradhi hayo ikiongezeka from 2019-11-17T13:31:52


Ulimwengu unaadhimisha siku ya kisukari duniani huku idadi ya watu wanaougua maradhi hayo ikiongezeka kutoka milioni 108 mwaka 1980 hadi milioni 420 mwaka 2014. Mtindo wa maisha unatajwa kuwa ...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Umoja wa Mataifa wasema kuna hali ya hofu nchini Burundi from 2019-09-06T13:01:35


Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Burundi imebaini katika ripoti yake kwamba "hali ya hofu" inatawala katika nchi hiyo, ikiwa imesalia miezi minane kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2020...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Wiki ya unyonyeshaji yaadhimishwa duniani kote from 2019-08-07T12:39:31


Dunia inaadhimisha wiki ya unyonyeshaji huku shirika la umoja wa mataifa la watoto UNICEF likitoa wito kwa familia, jamii na serikali duniani kote kuandaa mazingira wezeshi kwa akina mama kuny...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Nini kifanyike ili kuzuia biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu? from 2019-07-30T19:58:38


Siku ya kimataifa ya kupinga biashara haramu usafirishaji wa binadamu ambayo huadhimishwa duniani kote ifikapo julai 3o kila mwaka. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya kwa kuzungumza na wa...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kauli ya Donald Trump ilivyoleta hisia tofauti duniani from 2019-07-17T17:53:04


Donald Trump, rais wa Marekani ametoa kauli kali ya kuwataka wabunge wanne wa Democrats kurudi waliokotoka, matamshi ambayo yamezua hofu huku wabunge hao wakimshutumu Trump kwa matamshi ya uba...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Jean-Pierre Bemba areje DRC kwa Kishindo from 2019-06-27T13:39:54


Ungana na Steven Mumbi katika Makala haya akizungumza na Wasikilizaji wa Rfi Kiswahili kuhusu kurejea DRC Kwa Makamu wa zamani wa Rais wa nchi hiyo Jean-Pierre Bemba.

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Nchi za Afrika mashariki zinachukua tahadhari baada ya mlipuko wa ebola nchini Uganda from 2019-06-13T20:13:46


Ugonjwa wa ebola umeripotiwa kuingia nchini Uganda katika wilaya ya Kasese, Je mataifa ya Afrika mashariki yanachukua hatua zipi? Fredrick Nwaka amekuandalia makala ya habari rafiki kwa kuzung...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Kampeni ya waandamanaji kutotii sheria nchini Sudan italazimisha jeshi kukabidhi mamlaka kwa raia? from 2019-06-10T19:37:47


Waandamanaji nchini Sudan wameingia siku ya pili ya maandamano ya kutotii sheria ili kushinikiza jeshi kukabidhi madaraka kwa raia. Je hatua hiyo itafanikiwa? Ungana na Fredrick Nwaka aliyekua...

Listen
Habari RFI-Ki
Habari RFI-Ki - Moise Katumbi atafanikiwa kuviunganisha vyama vya upinzani nchini DRC? from 2019-05-27T20:05:23


Mwanasiasa wa upinzani nchini DRC, Moise Katumbi ametangaza kufanya ziara katika majimbo yote nchini humo kwa kile anasema ni kuunganisha vyama vya upinzani. Je atafanikiwa? Fredrick Nwaka ame...

Listen