Habari RFI-Ki - Serikali mpya yatangazwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo - a podcast by RFI
from 2021-04-15T08:16:40
::
::
Waziri Mkuu wa DRC, ametangaza baraza jipya la mawaziri Jean-Michel Sama Lukonde Kyenge, alilosema litakuwa na jukumu la kuhakikisha usalama Mashariki mwa Congo, pamoja na kupambana na vitendo vya rushwa.
Je una imani na serikali hii mpya ?
Further episodes of Habari RFI-Ki
Further podcasts by RFI
Website of RFI