Jua Haki Zako - Haki ya dhamana nchini Uganda matatani - a podcast by RFI
from 2021-10-18T13:59:08
::
::
Rais wa Uganda amependekeza dhamana ya kuondolewa kwenye kifungu cha katiba ya taifa hilo, akidai inatumika visivyo.
Makala haya yanaangazia athari ya kuondelewa kwa kifungo hicho kwa katiba ya Uganda.
Further episodes of Jua Haki Zako
Further podcasts by RFI
Website of RFI