Mjadala wa Wiki - Hatima ya Uchaguzi Mkuu nchini Msumbiji - a podcast by RFI

from 2019-10-16T10:15:45

:: ::


Wananchi wa Msumbiji, wanasubiri matokeo ya Uchaguzi Mkuu baada ya kupiga kura siku ya Jumanne. Ni uchaguzi ambao wachambuzi wa siasa wanasema ni kipimo cha demokrasia na utekelezwaji wa mkataba wa amani uliotiwa saini kati ya waasi wa Renamo na serikali, miezi miwili iliyopita. Tunajadili suala hili.

Further episodes of Mjadala wa Wiki

Further podcasts by RFI

Website of RFI