Muziki Ijumaa - Mwanamuziki wa Burundi DJ Pro afunguka zaidi kuhusu Muziki wake - a podcast by RFI
from 2017-11-17T09:11:03
::
::
Makala Muzuki Ijumaa Juma hili Ali Bilali anazungumza na mwanamuziki wa Burundi DJ Pro ambae kwa sasa ngoma yake mpya Blaa Blaa inafanya vizuri katika vituo mbalimbali nchini Burundi na nnje ya nchi hiyo. Sikiliza alivyofunguka zaidi kuhusu kazi zake kwa jumla na tuhuma za kuwadisi wasanii wenzie. Unaweza pia kumfollow Mtangazaji Ali Bilali kwa Instagam kwa kugonga hapa @billy_Bilali
Further episodes of Muziki Ijumaa
Further podcasts by RFI
Website of RFI