Tanzani: Mvutano wa wabunge 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA kuendelea kuwa bungeni - a podcast by RFI

from 2021-05-08T13:06:56

:: ::


Chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, kinaendelea kusisitiza kuwa hakikuidhinisha wabunge 19 wa viti maalum kutoka chama chake kwenda bungeni na kinataka waondolewe bungeni.

Further episodes of Wimbi la Siasa

Further podcasts by RFI

Website of RFI