Podcasts by SBS Swahili - SBS Swahili

SBS Swahili - SBS Swahili

Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Further podcasts by SBS

Podcast on the topic Nachrichten

All episodes

SBS Swahili - SBS Swahili
Mageuzi makubwa ya uhamiaji wa Australia yawalenga wanafunzi wakimataifa from 2023-12-12T13:42:40

Serikali ya shirikisho imewasilisha mageuzi kadhaa viza za wanafunzi wakimataifa, kama sehemu ya mageuzi makubwa ya uhamiaji yaliyo tangazwa Jumatatu 11 Disemba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 12 Disemba 2023 from 2023-12-12T13:24:23

Serikali ya Labor ina tetea mkakati wayo mpya wa uhamiaji, ikisema uta hakikisha raia wa Australia wanapewa kipaumbele kupata kazi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwongozo wako wakubaki salama nakupata baridi wakati wa majira ya joto ya Australia from 2023-12-11T16:55:53

Msimu wa majira ya joto, hu ahidi anga iliyo wazi na hali ya hewa ya joto. Kwa watu wengi, ni geuzi linalo karibishwa baada ya kuvumilia miezi ya baridi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Disemba 2023 from 2023-12-11T16:50:15

Waziri wa mambo ya ndani Clare O'Neil amesema, kupunguzwa kwa mapokezi ya wahamiaji kuta unda sehemu ya mkakati mpya wa uhamiaji wa serikali.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Gilbert afunguka kuhusu mchezo wa handball from 2023-12-08T16:24:38

Watu wenye asili ya Afrika, wana julikana kwa umahiri wao waku cheza, soka, mchezo wavikapu, ndondi na riadha.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Disemba 2023 from 2023-12-08T16:07:58

Majimbo kadhaa yame wekwa katika tahadhari ya juu ya moto wa vichaka, mazingira ya joto kali yakitabiriwa wikendi hii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Disemba 2023 from 2023-12-08T15:54:44

Naibu kiongozi wa chama cha Liberal Sussan Ley ameomba serikali ya Albanese, iwaombe wa Australia msamaha wakati serikali ya Labor inazingatia kuwakamata tena watu ambao si raia walio achiwa hivi k...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Makubaliano ya Uingereza na Rwanda kuhusu waomba hifadhi mashakani from 2023-12-08T14:00:54

Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amewataka wabunge wa chama chake cha Conservative siku ya Alhamisi kuunga mkono mpango wake wa kuwapeleka Rwanda waomba hifadhi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
George afunguka kwa nini alikimbia kutoka Adelaide hadi Melbourne from 2023-12-07T11:09:58

George Chijarira ni mwanachama wa jumuiya ya watanzania wanao ishi Melbourne, Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Disemba 2023 from 2023-12-05T16:16:23

Serikali ya shirikisho inatarajiwa kuwasilisha mageuzi ya muswada wiki hii, kwa ajili yaku kabiliana na utata ambao ume ibuka baada ya uamuzi wa mahakama kuu ambayo ili toa hukumu kuwa kifungo ndan...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia" from 2023-12-05T16:09:29

Wana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Disemba 2023 from 2023-12-05T15:41:45

Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amelaani anacho elezea kuwa ongezeko la mashambulizi dhidi ya wayahudi nchini Australia, tangu mwanzo wa mapigano mapya kati ya Israel na Hamas.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hezron "watu wengi wamepata makaazi, ajira na huduma nyingi kupitia Kokwet" from 2023-12-05T15:16:12

Viongozi wa jumuiya ya Kokwet wali wa andalia wanachama wao hafla maalum, ambako walichangia vyakula, walifanya maonesho ya mitindo nakumaliza sherehe kwa miziki ya asili yao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Disemba 2023 from 2023-12-01T16:18:38

Viongozi wakisiasa wame waomba wa Australia waungane na waoneshe huruma hapa nyumbani, wakati mivutano inaendelea kuongezeka kwa sababu ya hali inayo endelea katika ukanda wa mashariki ya kati.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Brian "nita ongeza juhudi kusaidia jumuiya yangu katika kila hali" from 2023-12-01T16:12:35

Shirika la Kokwet lili andaa mashindano ya wanamitindo mjini Sydney siku chache zilizo pita.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Novemba 2023 from 2023-12-01T15:59:17

Maafisa wa Australia wana endelea kuwasaidia watu 67 wanao taka ondoka Gaza ila, wanasema hali huko ni mbaya katika siku ya mwisho ya kusitishwa kwa muda kwa vita.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia ya Elezewa: Unawezaje tupa nguo ambazo hautaki nchini Australia? from 2023-12-01T15:04:42

Je unajua wa Australia hutupa zaidi ya tani 200,000 ya nguo kila mwaka?

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Novemba 2023 from 2023-11-28T15:43:03

Upinzani wa shirikisho unaendelea kuikosoa serikali baada ya hukumu ya mahakama kuu, kuamuru kuwa kuweka watu ndani ya vizuizi vya uhamiaji kwa muda usiojulikana nchini Australia ni kinyume cha she...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia ya elezewa: Wazazi wanaweza msaidiaje mtoto kupona kiwewe? from 2023-11-28T15:26:25

Ikiwa mtoto wako amepata kiwewe ng'ambo au nchini Australia, ikiwa ilifanyika hivi karibuni au katika siku za nyuma, pakiwa msaada unao faa, mtoto anaweza pona.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Novemba 2023 from 2023-11-27T19:01:30

Mateka 17 wa Israel wame achiwa huru na wafungwa 39 waki Palestina nao pia wame achiwa huru katika siku ya tatu ya kusitishwa kwa vita kati ya Israel na Hamas.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Unahudhuria au ni mwenyeji wa sherehe yaki Australia? Haya ndiyo unahitaji jua from 2023-11-27T18:51:34

Hakuna uhaba wa matukio yaku sherehekewa nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tim "tuna endelea kutumia mbinu tofauti kuwafunza watoto wetu tamaduni zetu" from 2023-11-27T18:34:35

Wanajumuia wa Mulembe wanao ishi mjini Melbourne, wali wakilishwa kwa fahari nakupokewa vyema katika tamasha ya African Music Festival 2023 mjini Melbourne, Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 24 Novemba 2023 from 2023-11-24T17:33:25

Waziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali yake inafanya iwezavyo kupunguza mfumuko wa bei, na kiongozi wa benki kuu ana amini inaendelea kutokea ndani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Somalia yatengeza historia katika fainali ya kombe la Afrika Kusini Australia from 2023-11-24T17:26:48

Timu ya Somalia, imekuwa ikishiriki katika michuano ya kombe la Afrika la Kusini Australia bila mafanikio makubwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Yemba Fashion "nimezaliwa namapenzi yakuvaa vizuri, na tofauti na wengine" from 2023-11-23T18:03:27

Wanaume wengi kutoka DR Congo wanajulikana kwa mavazi yao yanayo vutia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 Novemba 2023 from 2023-11-21T14:10:24

Takwimu mpya zina dokeza kuwa vijana nchini Australia wana punguza matumizi yao zaidi kuliko vikundi vingine, na wanapunguza pia matumizi kwa vitu muhimu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Melbourne yapata kionjo cha Mwomboko from 2023-11-18T12:41

Wakaaji wa mji wa Melbourne wanatazamia kushuhudia maonesho yakitamaduni ya miziki kutoka bara la Afrika kuanzia Ijumaa 17 Novemba hadi Jumapili 20 Novemba 2023.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Novemba 2023 from 2023-11-17T13:02:50

Waziri Mkuu Athony Albanese ashiriki katika mkutano wa APEC ambako mabadiliko ya hali ya hewa na nishati mbadala ni miongoni mwa mada za majadiliano.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Novemba 2023 from 2023-11-14T13:44

Serikali ya shirikisho imesema inapanga kufanya mfumo wa ustawi wa Australia kuwa waki "utu" zaidi, baada ya ripoti mhimu ya tume yakifalme kwa mfumo wa Robodebt kutolewa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sera ya KRA yazua utata ndani na nje ya nchi from 2023-11-14T12:54:42

Shirika la Kenya Revenue Authority (KRA), lime tawala gumzo miongoni mwa wakenya kote duniani baada yakutangazia umma mchakato mpya wa utoaji wa ushuru nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Novemba 2023 from 2023-11-07T15:35:45

Serikali ya Albanese inasema mahusiano na China, yako katika sehemu nzuri kuliko mwaka jana, wakati Waziri Mkuu Anthony Albanese ana endelea na ziara yake nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kupendwa nakuchukiwa kwa rangi na ukatili from 2023-11-07T13:46:48

Melbourne Cup ni moja ya matukio ya michezo maarufu ya kila mwaka nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ni wakati gani unapaswa fikiria kuomba mkopo wakibinafsi from 2023-11-03T14:22:39

Wakati kuna ongezeko la hitaji lakusimamia vizuri gharama zetu za maisha, kuna ongezeko ya idadi ya watu wanao rejea katika mfumo wa mikopo binafsi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Novemba 2023 from 2023-11-03T14:09:11

Waziri Mkuu Anthony Albanese anajiandaa kusafiri kesho Jumamosi 4 Novemba, kuanza ziara ya siku nne nchini China, katika ziara ya kwanza yakidiplomasia ya kiongozi wa Australia katika taifa hilo la...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Somalia yapita mtihani wao dhidi ya Jordan from 2023-11-02T16:18:18

Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sudan Kusini yapiga hatua ya kwanza kutetea kombe lao from 2023-11-02T15:42:51

Timu 32 zinashiriki katika michuano ya kombe la dunia, inayo andaliwa na shirika la African Australia Football Association mjini Sydney, NSW.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 31 Oktoba 2023 from 2023-10-31T15:52:01

Waziri Bill Shorten amesema taarifa ya pamoja iliyo tiwa saini na mawaziri wakuu sita wa zamani wa Australia, kuhusu vita vya Gaza, kimsingi ina mulika msimamo wa serikali ya shirikisho.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ongezeko za kodi zawafungia baadhi yawapangaji nje ya soko la nyumba za upangaji from 2023-10-31T15:36:18

Wapangaji kote nchini wana onywa kuhusu hali ngumu inayo kuja, wakati utoaji mdogo wa nyumba unaongeza hela za kodi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mercy 'Tumekuja huku kupata ujuzi kisha tuurudishe nyumbani Kenya" from 2023-10-31T14:36:57

Wakenya wanaendelea kuwasili nchini Australia kwa viza mbali mbali, baadhi yao wakija kama wahamiaji na wengine kama wanafunzi wakimataifa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Oktoba 2023 from 2023-10-27T15:35:01

Vita vya Israel na Hamas vimezua vita vya maneno kati ya chama cha Greens na serikali ya Labor pamoja na chama cha upinzani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakenya wafunguka kuhusu umuhimu wa siku ya Mashujaa from 2023-10-26T17:19:20

Wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walijumuika katika bustani ya Australia Botanic Garden kwa maadhimisho ya siku ya Mashujaa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 24 Oktoba 2023 from 2023-10-24T15:40:41

Wa Australia ambao wamekwama mjini Gaza, wamesema wameshauriwa mara kwa mara waende katika kivukio cha mpaka wa Rafah na Misri, hata hivyo walipofika huko walipata mpaka huo umefungwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Penina aweka wazi umuhimu wakuzingatia afya yako ya akili from 2023-10-24T14:55:08

Ugonjwa wa afya ya akili una endelea kuwa kero kwa watu na jumuiya nyingi kote duniani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Peter afunguka kuhusu maandalizi ya sherehe ya Mashujaa Day Victoria from 2023-10-21T12:38:22

Wakenya kote duniani wana jumuika katika hafla za siku yaku waenzi Mashujaa wao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Oktoba 2023 from 2023-10-20T15:13:23

Waziri Mkuu Anthony Albanese ametupilia mbali safari yakuenda Israel, kabla ya ziara ya mazungumzo ya pande mbili Marekani wiki ijayo Oktoba 23, wakati chama cha Labor cha Australia kina sisitiza h...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Blaise "Sijawahi ona uchaguzi ambao unaongozwa kwa taarifa za uongo kama huu wa Ndio au La" from 2023-10-20T14:44

Kiwango cha ushindi wa kampeni ya 'La' katika kura ya maoni ya Sauti yawa Australia wakwanza Bungeni, kime zua gumzo kote nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
David afunguka kuhusu manufaa ya kuwa mwanachama wa Men's Cave Forum from 2023-10-20T14:26:09

Wanaume wenye asili ya Kenya katika jimbo la Victoria, wali anzisha kundi kwa jina la Men's Cave Forum, ambalo hutumiwa kushughulikia maswala mbali mbali yanayo wakumba wanachama wake.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Oktoba 2023 from 2023-10-17T13:35:06

Serikali ya shirikisho imesema inaendelea kufuatilia hali inayo endelea kudorora mjini Gaza, wakati Israel ina andaa kufanya mashambulizi ya nchi kavu baada ya hatua yakuzingira mji huo, ambayo mas...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kura ya maoni ya Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni ime isha kwa matokeo ya 'La' from 2023-10-17T12:37:37

Wa Australia wame kataa pendekezo lakuweka sauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, baada ya kampeni ya La kushinda katika majimbo yote sita pamoja na wilaya ya Northern Territory.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Oktoba 2023 from 2023-10-16T16:56:22

Wa Australia wengine 250 wame hamishwa kutoka Israel, wakati hali ya usalama nchini humo inaendelea kudorora.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanaume jimboni Victoria wapata sehemu salama yakujumuika nakuchangia uzoefu wao from 2023-10-13T15:02:15

Ni nadra kupata kundi au shirika linalo wahudumia nakushughulikia maswala yanayo wakumba wanaumi katika jamuia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Oktoba 2023 from 2023-10-13T14:30:48

Jumuiya zawayahudi nawa palestina wa Australia, zaendelea kuhofia usalama wa jamaa wao ambao wame kwama katika vita.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kupiga kura ya Voice: Kile ambacho unaweza na hauwezi fanya katika kituo chakupiga kura from 2023-10-13T14:01:47

Maafisa wa uchaguzi nchini Australia wame toa taarifa ya kina kuhusu utaratibu utakao fuatwa, kwa kura ya maoni ya sauti yawa Australia wa kwanza bungeni itakayo fanywa Jumamosi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Oktoba 2023 from 2023-10-10T15:53:59

Maandamano yakupinga Israel yameshuhudiwa mjini Sydney wakati wa makabiliano kati ya jeshi la Israel na Hamas yakiendelea, wakati huo huo mjini Perth, kundi linalo unga mkono Israel limeshiriki kat...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kelvin Kiptum atikisa dunia from 2023-10-10T15:46:55

Mwanariadha Kelvin Kiptum Cheruiyot amejitengea nafasi yake katika vitabu vya historia kwa kushinda mbio za marathon mjini Chicago kwa muda wa masaa 2:00:34.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ongezeko la ugonjwa wa kisukari: Uchunguzi waangazia mwenendo wakutisha wa afya from 2023-10-10T15:23:23

Serikali kwa sasa inazingatia mawasilisho kwa uchunguzi wa shirikisho, kuhusu ugonjwa wa kisukari, hali ambayo inazidi kuongezeka kote nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Geofrey "mengi yaliyo jadiliwa katika mkutano huu yametufungua mawazo sana sisi wanafunzi" from 2023-10-09T13:18:27

Jumuiya ya wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walikuwa na mkutano ulio toa fursa kwa wanachama wa jumuiya hiyo kuzungumza nama wakala wa uhamiaji pamoja na wataalam wengine.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Irene "kila mtu alirudi nyumbani akijua fasi gani katika familia anastahili tengeneza vizuri" from 2023-10-09T12:37:54

Kwa mara nyingine kongamano la wanawake wa jumuiya yawa Afrika wanao ishi jimboni NSW, lili ongeza idadi ya walio lihudhuria katika kitongoji cha Wollongong.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Bobi Wine awekwa katika kizuizi cha nyumbani muda mfupi baada yakuwasili Uganda from 2023-10-06T15:42:31

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine amesema siku ya Alhamisi amewekwa katika kizuizi cha nyumbani, baada ya kukamatwa na maafisa wa usalama alipokuwa akirejea nyumbani akitokea nje ya nchi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Oktoba 2023 from 2023-10-06T15:11:19

Wataalam wamesema Australia inahitaji makumi yama elfu ya nyumba za ziada zakukodi, wakati viwango vya nyumba zakukodi vinarejea katika viwango vya chini katika rekodi hali ambayo imeongeza kodi sana.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Baadhi ya wahamiaji wafunguka kuhusu kura ya The Voice from 2023-10-06T10:48:59

SBS ina tambua kuwa maoni yanayo wasilishwa katika makala haya, haya wakilishi maoni ya jumuiya pana na si uwakilishi wa takwimu ya umma wa Australia. Kura ya maoni ya The Voice itafanywa Jumamosi ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mgahawa wa Music&Food waleta ladha mpya Sydney, Australia from 2023-10-05T15:43:20

Walio hudhuria tamasha ya Africultures ya 2023, walikabiliawa kwa wakati mgumu wa kipi cha kuonja na kipi cha kupuuzwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wahamiaji wanahitaji taarifa gani kabla waje Australia? from 2023-10-05T15:18:15

Kila mwezi makumi yama elfu ya wahamiaji huwasili katika miji mbali mbali nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Oktoba 2023 from 2023-10-03T19:49:55

Benki kuu ya Australia imeacha kiwango cha hela taslim kwa 4.1% kwa mwezi wa nne mfululizo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hatua zaku uza gari yako nchini Australia from 2023-10-03T19:37:28

Inapofika wakati waku aga gari yako ya zamani, kuna mengi yakufanya zaidi yaku iosha, kutoa kitabu cha ukarabati pamoja nakupokea malipo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Oktoba 2023 from 2023-10-01T23:59:08

Seneta wa chama cha Greens Jordan Steele-John amesema panastahili kuwa waziri washirikisho wa ulemavu, anaye stahili ongoza utekelezwaji wa mapendekezo kutoka tume yakifalme kwa ulemavu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hatimae Martin Fayulu atangaza atawania Urais DRC from 2023-10-01T23:44:40

Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Martin Fayulu, Jumamosi alithibitisha kugombea urais kwenye uchaguzi wa tarehe 20 Disemba 2023.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Septemba 2023 from 2023-09-26T20:22:46

Daniel Andrews ametangaza uamuzi wake wakujiuzulu kama kiongozi wa Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakujiandaa kufanya mtihani wa uraia wa Australia from 2023-09-26T19:41:45

Kuwa raia wa Australia ni uzoefu wa kusisimua na wenye zawadi kwa wahamiaji wengi.  

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wambui azindua kampuni ya mavazi ya Ga-Kenia from 2023-09-07T02:52:15

Tamasha ya Africultures hutoa fursa nyingi kwa wajasiriamali kukutana na kupata wateja wapya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Septemba 2023 from 2023-09-05T19:37:39

Serikali imesema haita piga hatua nyuma kwa pendekezo la sauti yawa Australia wa kwanza bungeni, licha ya matokeo mapya ya kura ya maoni ambayo yanaonesha hali si nzuri kwa kura ya maoni ijayo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wimbo maarufu wa John Farnham watumiwa katika kampeni ya kura ya Ndio from 2023-09-05T19:27:38

Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton amesema atafanya kura nyingine ya maoni, kama kura yakuweka sauti yawa Australia wa kwanza bungeni ndani ya katiba inafeli.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Septemba 2023 from 2023-09-05T00:27:38

Waziri wa mazingira Tanya Plibersek amekosoa msimamo wa kiongozi wa upinzani Peter Dutton kwa Sauti yawa Australia wa kwanza bungeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Septemba 2023 from 2023-09-04T00:13:38

Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amesema uamuzi wa serikali ya Labor kukataa ombi la shirika la ndege la Qatar, kuongeza huduma zaidi nchini Australia kuta wadhuru wa Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Delphine "Jamii imepokea kazi zetu vizuri ila, tunahitaji waje tushirikiane nao zaidi" from 2023-09-04T00:02:04

Jumuiya zawa Afrika wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika viwanja kwa Sydney Olympic Park kwa tamasha ya Africultures 2 Septemba 2023.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Brian "Kita eleweka 16 Septemba ndani ya Melbourne Pavilion" from 2023-08-31T15:18:33

Brian 'Swagga Boy' Agina ni bondia mwenye asili ya Kenya anaye ishi jimboni Victoria, Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kuku ashawishi ushindi katika tamasha ya Tamaduni Day from 2023-08-31T12:11:05

Wanachama wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi jimboni Victoria, hivi karibuni walishiriki katika tamasha ya tamaduni zao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 29 Agosti 2023 from 2023-08-29T19:58:19

Waziri Mkuu Anthony Albanese, ajiaandaa kutangaza tarehe ya kura ya moani kwa Sauti yawa Australia wa Kwanza bungeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yaku saidia wanyamapori walio jeruhiwa nchini Australia from 2023-08-29T19:39:12

Australia ni nyumbani kwa baadhi ya wanyamapori wa aina mbalimbali na wanaovutia duniani, matokeo ya kutengwa kwa Australia kama bara na historia yakipekee ya mageuzi ambayo yametokea kwa ma milion...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Marekani yaweka vikwazo dhidi ya wanajeshi na wanamgambo wa DRC na Rwanda from 2023-08-27T23:47:19

Wanajeshi na wanamgambo 6 kutoka DR Congo na Rwanda wame wekewa vikwazo na Marekani kwa madai yaku chochea mizozo katika mashariki mwa Congo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Historia ya tengezwa katika fainali ya kombe la dunia mjini Sydney from 2023-08-23T16:04:53

Wapenzi wa mchezo wa mpira wa miguu kote duniani, walijumuika mbele ya runinga zao kutazama fainali ya Kombe la Dunia la FIFA kutoka mjini Sydney, Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Oktoba 2023 from 2023-08-22T19:53:39

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema kampeni ya La kwa sauti yawa Australia wa kwanza bungeni, inajaribu kupotosha watu dhidi yakuwatambua wa Australia wa kwanza nakuanzisha tume ya ushauri katika ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Richard Tuta "Nchi inapokumbwa na migogoro, maendeleo husahaulika" from 2023-08-22T19:27:52

Nchi nyingi barani Afrika zina endelea kukabiliana na changamoto za migogoro na uhaba wa maendeleo kila uchao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kudhibiti ugonjwa wa vituo vya malezi ya watoto: Vidokezo kwa wahamiaji wapya na wazazi wa mara ya kwanza from 2023-08-22T16:45:08

Kuanza kupeleka mtoto katika huduma ya malezi ya watoto mapema, inaweza kuwa suluhisho la vitendo kwa kusawazisha matarajio ya kazi na wajibu wa uzazi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Agosti 2023 from 2023-08-21T00:11:07

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema sifa ya Australia duniani, ime imarika serikali inapo wekeza katika ulinzi pamoja na mahusiano yakimkakati.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mchakato wa urithi ni upi nchini Australia from 2023-08-20T23:45:39

Tofauti na nchi zingine, wa Australia huwa hawalipi kodi ya urithi kwa mali wanazo rithi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Styve Derrick "tuna fursa za kazi ila tunakosa wafanyakazi Sweden" from 2023-08-17T16:35:37

Makampuni na biashara nyingi duniani zina, endelea kukabiliana na changamoto yakuwapata wafanyakazi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Justin "Covid ilisaidia watu wengi kujitambulisha katika jamii yawakenya Victoria" from 2023-08-17T15:39:18

Ni kawaida kwa wahamiaji na watu walio wasili Australia kama wakimbizi, kujiunga na vikundi vya jumuiya za asili yao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 15 Agosti 2023 from 2023-08-15T20:01:17

Takwimu mpya kutoka ofisi ya takwimu ya Australia, inaonesha kuwa mishahara imeongezeka sambamba na mfumuko wa bei katika robo ya Juni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ndahiro "kama haumudu sarafu yako hauna uhuru" from 2023-08-15T19:53:54

Mapinduzi ya kijeshi nchini Niger yamezua hali ya wasiwasi, miongoni mwa nchi jirani katika eneo la Sahel.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Agosti 2023 from 2023-08-15T13:34:26

Wazazi wa mwomba hifadhi kutoka Iran aliye uawa wakati wa mgomo katika kisiwa cha Manus mnamo 2014, wamefikia suluhu ya siri na serikali ya shirikisho pamoja na kampuni ya ulinzi ya G4S.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Voice Referendum: What is it and why is Australia having one? - Kura ya Maoni ya Voice: Ni nini na ni kwa nini tunaifanya? from 2023-08-09T14:46:26

Australians will vote in the Indigenous Voice to Parliament referendum on October 14. Here’s what you need to know about the process, including why it’s taking place, and the information that commu...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Agosti 2023 from 2023-08-08T20:52:26

Serikali ya New South Wales inawekeza $5.8 milioni kwa utoaji wa makaazi ya wanawake na watoto kote jimboni NSW wanao kimbia unyanyasaji na vurugu ya nyumbani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dkt Annefrida "Spika Ackson ameshindwa kusimamia demokrasia ndani ya bunge" from 2023-08-08T20:35:59

Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limeitolea mwito serikali ya Tanzania kuacha kuwakandamiza wakosoaji wake baada ya mamlaka za nchi hiyo kuwakamata watu wanaopinga mkataba...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Agosti 2023 from 2023-08-07T14:57:29

Serikali itawasilisha hatua mpya zaku imarisha sheria za kodi, kwa ajili yaku zuia kashfa kama uvujaji wa kampuni ya PriceWaterhouse Coopers.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Agosti 2023 from 2023-08-06T23:49:43

Wana harakati wa kampeni ya Ndio wametupilia mbali matokeo ya hivi karibuni ya kura ya maoni, yanayo dokeza uungwaji mkono wa the Voice unapungua.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Umuhimu wakuwa na marafiki kutoka tamaduni mbali mbali from 2023-08-06T23:30:01

Kupata marafiki ni moja ya changamoto kubwa huwa tunakabili katika nchi mpya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 29 Julai 2023 from 2023-08-06T02:37:45

Juhudi zakutafuta nakuokoa zina endelea kwa wanahewa wanne walio kuwa ndani ya helikopta ya jeshi la ulinzi la Australia, lililo anguka ndani ya bahari karibu ya kisiwa cha Hamilton usiku wakuamkia...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Martin" Urusi haijali maslahi yawa Afrika" from 2023-08-05T12:37:10

Kati ya 27-28 Julai, Rais Putin wa Urusi alikuwa mwenyeji wa kongamano la Urusi na mataifa ya Afrika mjini St Petersburg.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Agosti 2023 from 2023-08-01T20:26:04

Waziri Mkuu Anthony Albanese amejibu shtuma za waziri mkuu wa zamani Scott Morrison, kwa kumshtumu kwa kutokuwa na huruma kwa waathiriwa wa mfumo wa Robodebt.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vikao vya Bunge ya Shirikisho vya anza tena baada ya mapumziko ya majira ya baridi from 2023-08-01T19:52:55

Vikao vya bunge la shirikisho vime anza tena baada ya likizo ya mwezi mzima, kwa kiongozi wa upinzani Peter Dutton na waziri mkuu wa zamani Scott Morrison kuzungumzia shutma zilizo tolewa wakati wa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Julai 2023 from 2023-07-30T23:36:42

Muswada wa nyongeza ya malipo ya Jobseeker, unatarajiwa kuwasilishwa bungeni vikao vitakapo anza tena kesho Jumatatu 31 Julai 2023.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Julai 2023 from 2023-07-30T20:22:43

Serikali ya shirikisho imetangaza ita wasilisha tena muswada wayo mhimu wa nyumba, vikao vya bunge vitakapo anza tena kutoka likizo yake ya majira ya baridi wiki ijayo jumatatu 31 Julai.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mkataba wa DP World na serikali ya Tanzania wazua upinzani mkali from 2023-07-27T14:09:14

Bunge la Tanzania limeridhia mkataba wa uendeshaji wa bandari nchini humo kati ya Serikali ya Tanzania na ya Dubai.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Julai 2023 from 2023-07-25T20:45:26

Waziri Mkuu Anthony Albanese, amesema Australia inahitaji jiandaa kwa msimu wa moto wa vichaka ujao, wakati mioto ya vichaka inaendelea kuchoma maeneo ya Kaskazini ya dunia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Gov Khalif "asilimia 60 ya Mandera iko chini ya udhibiti wa Al Shabaab" from 2023-07-25T20:32:02

Gavana wa Kaunti ya Mandera Mohamed Adan Khalif, amesema asilimia 60 ya kaunti yake iko chini ya udhibiti wa Al Shabaab.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Julai 2023 from 2023-07-23T23:52:02

Mfumo wa sera ya nyumba jimboni Victoria, wapokewa kwa hisia mseto na baadhi ya wadau jimboni humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Julai 2023 from 2023-07-23T20:54:25

Mweka hazina wa taifa Jim Chalmers ametetea mfumo mpya wa ustawi wakitaifa wa serikali, katika jibu kwa ukosoaji kuwa baadhi ya data inayo tumiwa imepitwa na wakati.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Germain "nataka leta aina mpya ya siasa DRC" from 2023-07-20T14:58:21

Kampeni za uchaguzi mkuu zime anza katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Julai 2023 from 2023-07-18T19:19:38

Serikali ya shirikisho leo imetangaza kuanzishwa kwa vituo vyakusomea vya vyuo vikuu, katika vitongoji vya nje ya miji mikubwa. Vituo vipya thelathini na nne, vita anzishwa katika maeneo ambayo hay...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kura ya maoni ya Voice ina husu nini? from 2023-07-18T19:12:44

Baadae mwaka huu, wa Australia watashiriki katika kura ya maoni ambako wata ulizwa kupiga kura ya NDIO au LA kwa swali lifuatalo: Una unga mkono mageuzi kwa katiba kuwatambua wa Australia wa kwanza...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Julai 2023 from 2023-07-18T02:46:51

Watendaji wa kampuni ya ushauri ya Deloitte wafika mbele ya kikao cha Seneti baada ya kuvuja kwa sakala la ushuru la kampuni ya PwC.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rais Ruto "Sitaruhusu maandamano Kenya" from 2023-07-17T18:59:22

Rais wa Kenya Dkt William Ruto ameapa kutoruhusu kufanyika kwa maandamano ya upinzani ambayo yamepangwa kufanyika wiki ijayo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Julai 2023 from 2023-07-16T23:51:13

Mweka hazina wa taifa Jim Chalmers ame ondoka nchini usiku wa leo aki elekea nchini India, ambako atawakilisha Australia katika mikutano ya G-20 mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu mjini Gan...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dr Joel Kimeto afunguka kuhusu safari yake katika sanaa from 2023-07-16T23:44:21

Dr Joel Kimeto ni msanii maarufu wa nyimbo za injili ndani na nje ya Kenya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 15 Julai 2023 from 2023-07-16T15:56:55

Upigaji kura umeanza katika eneo bunge la Fadden ambalo liko Gold Coast, wagombea wakifanya kampeni za dakika za lala salama kwa umma.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Julai 2023 from 2023-07-14T14:07:10

Michele Bullock atakuwa Gavana mpya wa Benki Kuu ya Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii ya wakenya waomboleza kifo cha ghafla cha Lydia Cheptoo from 2023-07-13T12:19:31

Kifo cha ghafla cha Lydia Cheptoo kimezua majonzi na simanzi, katika jumuiya ya wakenya nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ni makaazi gani yanapatikana kwa wanafunzi from 2023-07-12T10:58:04

Australia ni moja ya sehemu zinazo vutia kusomea ng'ambo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Julai 2023 from 2023-07-11T20:11:47

Australia na Ujerumani zatia saini ya biashara huru naku ahidi misaada ya ziada kwa Ukraine.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Balozi Ali Karume afutwa uanachama CCM from 2023-07-10T10:38:12

Chama tawala cha CCM Zanzibar, kimemfuta uanachama kada wake, Balozi Ali Karume na kumtaka arejeshe kadi ya chama hicho.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Julai 2023 from 2023-07-09T23:41:37

Waziri wa Elimu wa shirikisho Jason Clare amesema itabidi waziri mkuu wa zamani Scott Morrison, aishi na madhara ya mfumo wa robodebt katika dhamira yake.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Isaac "Viongozi wengi wa Afrika wanachaguliwa na mataifa ya Magharibi" from 2023-07-06T16:15:35

Wanachama wa Jumuiya ya DR Congo wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika hafla maalum yaku adhimisha miaka 63 ya uhuru wa nchi yao pendwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Unastahili zingatia nini unapo panga kuhamia katika jimbo lingine? from 2023-07-05T14:54:21

Kila mwaka, ma mia ya maelfu yawa Australia huhama kutoka majimbo wanako ishi kwa sababu za kazi, elimu, maisha, familia au msaada bora wa jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Julai 2023 from 2023-07-04T20:31:40

Waziri wa Fedha akaribisha uamuzi wa benki ya hifadhi wakuto ongeza kiwango cha riba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mahakama yasema mipango ya serikali ya Uingereza kwa waomba hifadhi ni kinyume cha sheria from 2023-07-04T19:59:24

Mpango wa serikali ya Uingereza waku wapeleka waomba hifadhi Rwanda, ume patwa kuwa ni kinyume ya sheria na mahakama moja mjini London.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kikosi cha ATMIS cha anza kuondoka Somalia from 2023-07-03T17:26:58

Viongozi wa jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia, wamesema wamekamilisha awamu ya kwanza ya kupunguza idadi ya vikosi vyao nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 2 Julai 2023 from 2023-07-02T23:59:23

Waziri Mkuu Anthony Albanese asema, ziada ya bajeti kuweka Australia katika nafasi imara kiuchumi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kuadhimisha wiki ya NAIDOC from 2023-07-02T23:51:03

Wiki ya sherehe na kutambua historia na mafanikio yawa Aboriginal, inayo julikana kwa jina la NAIDOC ime anza leo Julai 2.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Juni 2023 from 2023-06-27T20:41:34

Waziri Mkuu Anthony Albanese atetea hatua za serikali yake kukabili mgogoro wa utoaji wa nyumba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ongezeko ya gharama ya maisha yawaacha wafanyakazi wa mshahara wa chini bila uwezo wakumudu vitu vya msingi from 2023-06-27T20:17:52

Utafiti mpya ume pata kuwa mfanyakazi nchini Australia wa wakati wote, anaye lipwa mshahara wa chini, huwa ana salia tu na $57 baada ya gharama mhimu za kila wiki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Juni 2023 from 2023-06-25T23:32:32

Waziri wa wa fedha Julie Collins ametetea uwekezaji wa serikali wenye thamani ya bilioni 10 kupitia mradi wa Housing Australia Future Fund, wakati vyama vya Greens na Mseto viki endelea kuzuia musw...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakuomba nyongeza ya mshahara nchini Australia from 2023-06-25T23:27:31

Kuomba uongezewe mshamahara kunaweza kuwa vigumu kwa wafanyakazi wengi ila si lazima iwe hivyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Abang "nilimuona mama baada ya miaka 22 yakutengana naye" from 2023-06-22T12:32:30

Wiki ya wakimbizi huadhimishwa nchini Australia kati ya 18 Juni hadi 24 Juni kila mwaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Unafanyaje mipangilio ya uzazi baada yakuachana na mchumba wako? from 2023-06-19T21:03:56

Chini ya sheria ya Familia, haki za ustawi wa watoto huongoza mazungumzo yote ya uzazi, baada ya wanandoa kutengana au kupata talaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanamgambo wauwa wanafunzi 41 Uganda from 2023-06-19T14:17:15

Wanamgambo wa kundi la ADF wenye uhusiano na kundi la Islamic State waliua wanafunzi 41 na kuteka nyara wengine sita katika shambulio kwenye shule kaskazini mwa Uganda karibu na mpaka na Jamhuri ya...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Juni 2023 from 2023-06-18T23:42:02

Kiongozi wa chama cha Nationals ndani ya Seneti Bridget McKenzie, ame elezea hatua ambazo zimechukuliwa dhidi ya Seneta David Van baada ya madai ya matendo yasiyo faa kuwa yalikuwa ni uamuzi thabiti.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Lidia Thorpe asema alinyanyaswa na Seneta David Van ambaye amekana madai hayo from 2023-06-18T23:34:37

Shutma za unyanyasaji wakijinsia za Seneta Lidia Thorpe za 2021, dhidi ya Seneta mwenza David Van, zime zua dhoruba Bungeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Juni 2023 from 2023-06-13T20:20:24

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema Australia inastahili chukua fursa yakuwa kiongozi wa nishati mbadala.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kuelewa sekta za shule za Australia from 2023-06-13T20:13:42

Wa Australia wana bahati yakuwa na sekta mbali mbali za shule na, uwezo wa kuchagua sekta ipi inawafaa watoto wao pamoja namazingira.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Juni 2023 from 2023-06-11T23:30:35

Waziri wa huduma ya wazee Anika Wells amesema kufanya mageuzi katika mfumo wa huduma ya wazee ni binafsi kwake, Bi Wells amesema aliona matatizo tena, alipo fanya ziara ndani ya vifaa vya huduma ba...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ziara ya kombe la dunia ya anza nchini Australia kabla ya michuano hiyo kuanza from 2023-06-11T21:14:44

Tiketi milioni moja za kombe la dunia, la soka ya wanawake itakayo andaliwa nchini Australia na New Zealand zime uzwa tayari.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Isaac Kisimba "JFSS inawapa watu wetu huduma zinazo stahili" from 2023-06-08T12:27:49

Idadi ya watu kutoka jamii zenye asili ya Afrika Mashariki na Kati , inaendelea kuongezeka nchini kila mwaka kulingana na takwimu za serikali.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Juni 2023 from 2023-06-06T19:56:18

Serikali ya Labor ya Magharibi Australia imekutana kupendekeza rasmi Roger Cook, awe kiongozi mpya wa jimbo hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kutunza Walezi: Jinsi yakupata huduma za usaidizi wa walezi nchini Australia from 2023-06-06T19:42

Takriban mtu mmoja kati yawatu tisa nchini Australia ni walezi, watu ambao huwa hudumia jamaa wao ambao ni wazee, wadhaifu, marafiki, au mtu anaye ishi na hali fulani ya afya au ulemavu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ushoga sasa waweza gharimu hukumu ya kifo Uganda from 2023-06-04T08:37:41

Uganda imepitisha sheria kali dhidi ya kundi la watu wanao jitambua kama LGBTIQ+, hatua ambayo imevutia ukosoaji mkali kutoka mataifa ya magharibi pamoja wana harakati barani Africa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Mei 2023 from 2023-05-30T20:32:26

Kampuni moja iliyopewa kandarasi imesimamishwa kushiriki katika miradi yote kubwa ya reli, baada yaku kumbwa kwa kasha ya utapeli jimboni Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakupata nyumba ya kukodi Australia from 2023-05-30T19:50:32

Sasa hivi, kuna chini ya nyumba 50,000 za kukodisha kote nchini. Miaka mbili iliyopita, idadi ya nyumba hizo ilikuwa karibu mara mbili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Mei 2023 from 2023-05-28T23:43:07

Wiki ya Maridhiano ya Kitaifa imeanza kote nchini na wanaharakati wamesema, tukio la mwaka huu ni mhimu haswa kwa sababu ya kura ya maoni ijayo kwa sauti yawa Australia wa kwanza bungeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wito wa kuunga mkono kura ya Voice waongezwa katika siku ya National Sorry Day from 2023-05-28T23:34:57

Miaka sita baada ya kutangazwa kwa Kauli ya Uluru kutoka moyoni, viongozi wa jamii ya kwanza na serikali kwa mara nyingine wame toa wito kwa kuanzishwa kwa sauti yawa Aboriginal na wanavisa wa Torr...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dj Swazz Damu "wafanya biashara watapata hasara kubwa baada ya Kenya kuchujwa kutoka Rugby7s" from 2023-05-25T10:53:16

Wapenzi wa mchezo wa raga wa wachezaji saba, wanaendelea kukabiliana na taarifa ya timu ya taifa ya Kenya kushuka daraja katika mchezo wakimataifa wa raga.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Mei 2023 from 2023-05-23T19:57:41

Mweka hazina wa shirikisho ametetea afueni yake ya gharama ya maisha kupitia bajeti, wakati viwango vya riba vina ongezeka pamoja na mfumuko wa bei kuongezeka naku waathiri wa australia wengi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jay "kuchujwa kwa Kenya kutoka Rugby 7s yakimataifa, ni pigo na ishara ya ukuaji wa mchezo huo" from 2023-05-23T19:32:17

Taarifa ya timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba ya Kenya, kushushwa daraja imepokewa kwa huzuni kubwa miongoni mwa mashabiki na wadau wa mchezo huo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 2023 from 2023-05-21T23:50:41

Upinzani wa shirikisho waukosoa mpango wa Waziri Mkuu, kufanya ziara China kabla ya vikwazo vyote vya kibiashara kuondolewa dhidi ya Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mahasimu Sudan wakubali kusitisha vita kwa siku 7 from 2023-05-21T23:39:07

Pande hasimu nchini Sudan, zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku saba kuanzia Jumatatu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Mei 2023 from 2023-05-16T19:58:58

Waziri Mkuu ametupilia mbali madai kuwa sera yamakazi ya serikali, ita andikwa tena katika kongamano lakitaifa la chama cha Labor.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kiongozi wa upinzani adai mpango wa uhamiaji katika bajeti utaongeza mzozo wa makazi from 2023-05-16T19:44:16

Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amekosoa bajeti ya serikali ya Labor ya 2023, akisema haifanyi chochote kusaidia Australia ya kati.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je, ni nini athari ya bajeti ya 2023 kwa jumuiya za tamaduni nyingi from 2023-05-15T10:21:49

Mara nyingi huwa tunazungumza kuhusu bajeti, kwa misingi ya washindi na wanao poteza.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Mei 2023 from 2023-05-14T23:53:48

Pendekezo la upinzani wa shirikisho kuruhusu wanao pokea malipo ya ustawi kufanya kazi kwa muda mrefu zaidi, kabla wapoteze malipo yao limekosolewa kama wazo lisilo na mashiko.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Labor yatoa bajeti yenye ziada na afueni kwa gharama ya maisha from 2023-05-14T23:18:30

Kushusha gharama za maisha ya watu nchini Australia, ni lengo kuu la bajeti ya shirikisho ya 2023.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi ya kutatua mizozo na majirani wako nchini Australia from 2023-05-11T13:30:02

Nyumbani ni sehemu ambako tuna hisi starehe zaidi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mercy "hatuhisi faida zakuwa sehemu ya jumuiya yamadola" from 2023-05-11T13:18:24

Sherehe yakutawazwa kwa Mfalme Charles lll ilishuhudiwa na mamilioni yawatu kote duniani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tim "bajeti ya leo itasaidia familia nyingi kukabiliana na gharama ya maisha" from 2023-05-10T10:50:28

Ma milioni yawa Australia kote nchini wanasubiri kwa hamu tangazo la bajeti, kujua kama wata pata afueni kwa gharama ya maisha.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Mei 2023 from 2023-05-09T19:28:32

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema bajeti ya serikali yake inazidi makadirio yakiuchumi, kutoka serikali ya zamani ya mseto na itatoa afueni fanisi kwa gharama ya maisha kwa familia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tunaweza tarajia nini katika bajeti ya taifa ya 2023? from 2023-05-09T16:30:25

Serikali ya shirikisho ita toa bajeti ya 2023-24 hii leo Jumanne 9 Mei 2023.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kutawazwa kwa Mfalme Charles III kwa pokewa kwa hisia mseto from 2023-05-08T12:21:54

Watu kote duniani wame shuhudia kutawazwa kwa Mfalme Charles III.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Mei 2023 from 2023-05-07T23:24:38

Zaidi ya idadi ya nyumba milioni tano nchini pamoja na biashara ndogo milioni moja, zitapata afueni ya $500 kwa bili za nishati katika bajeti ya shirikisho ya Mei 9.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Muundo mpya wasema wadhibiti wanastahili fanya biashara ya umeme iwe rahisi kwa watumiaji from 2023-05-04T14:16:57

Muundo mpya wa data iliyopo, imetoa taswira ya siku zijazo ambako, kila paa ya nyumba itakuwa na kifaa cha solar, hatua ambayo itawaruhusu wa Australia kufanya biashara ya umeme nakupiga jeki bajet...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 2 Mei 2023 from 2023-05-02T19:30:05

Serikali ya shirikisho imedokeza uwezekano wakuongeza kiwango cha malipo ya Jobseeker katika bajeti ya wiki ijayo kwa wanao ipokea ambao wana zaidi ya miaka 55.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Nini hutokea unapo ripoti kesi ya ubakaji kwa polisi nchini Australia? from 2023-05-01T15:07:30

Nchini Australia, ukatili wakijinsia ni kosa la jinai, kama umelazimishwa, umetishwa, au umedanganywa kufanya tendo lakingono dhidi ya hiari yako, unaweza taka ripoti tendo hilo kwa polisi ili aliy...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Aprili 2023 from 2023-04-30T23:15:43

Kutakuwa maboresho mhimu katika bajeti ya Mei, waziri wa fedha aeleza taifa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Maelfu watoa heshima zao kwa walio hudumu katika jeshi from 2023-04-26T22:42:24

Maelfu ya watu wame jumuika kote nchini Australia na ng’ambo kuadhimisha ANZAC Day.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Aprili 2023 from 2023-04-25T20:36:27

Wa Australia wameshiriki katika ibada za alfajiri za Anzac Day, pamoja na gwaride kuwaenzi walio hudumia nchi yao. Mwaka huu ni maadhimisho ya miaka 108 ya kampeni ya Gallipoli, katika vita vya kwa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Aprili 2023 from 2023-04-23T23:58:13

Waziri wa Fedha Katy Gallagher amesema swala la nyumba za bei nafuu kwa wanawake katika umri wa miaka 55 na juu, litashughulikiwa katika bajeti ya shirikisho ijayo

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanajeshi wazamani wa Papua New Guinea, ambao jamaa wao wanataka wakumbwe katika siku ya ANZAC from 2023-04-23T23:25:18

Huduma yawanajeshi wa Australia nchini Papua New Guinea, kama kampeni ya Kokoda Trail, inajulikana vizuri.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ezra "Australia imetupa fursa zakutumia talanta zetu" from 2023-04-20T13:12:38

Wanachama wa shirika la Kitwek wa Perth, Magharibi Australia hivi karibuni, walijumuika katika hafla maalum iliyo andaliwa na viongozi wa shirika hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakujilinda dhidi ya wizi wa utambulisho nchini Australia from 2023-04-19T12:27:56

Uhalifu wa utambulisho ni tisho kubwa nchini Australia, ambako kuna ongezeko ya idadi ya watu wanao endelea kuwa waathiriwa wa uhalifu wa utambulisho kila mwaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Aprili 2023 from 2023-04-18T20:31:12

Waziri wa National Disability Insurance Scheme almaarufu NDIS, ametoa hotuba katika klabu ya waandishi wa habari wa taifa, kuelezea umuhimu wakufanya mageuzi katika mfumo huo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Victor "tuna mipango maalum kwa vijana wa Kitwek" from 2023-04-18T20:07:50

Ni jambo la kawaida kwa jamii nyingi kuanzisha shirika, linalo wawakilisha nakutoa huduma wanazo hitaji nje ya huduma zinazo tolewa na mashirika makubwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Aprili 2023 from 2023-04-16T23:55:50

Sauti yawa Australia wa kwanza ndani ya katiba, itasaidia jamii zawa Australia wa kwanza kuishi maisha kikamilifu seneta wa Labor wa Wilaya ya Kaskazini aeleza vyombo vya habari.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Aprili 2023 from 2023-04-11T19:48:26

Kaimu Waziri Mkuu Penny Wong, na waziri wa biashara Don Farrell, wame thibitisha kuwa serikali ya shirikisho imefikia maafikiano na Beijing, kwa suluhu ya mgogoro wakibiashara wa shayiri.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vikomo vya ongezeko ya kodi ya nyumba vyatupiliwa mbali NSW, wakati kodi zikiendelea kuongezeka Australia from 2023-04-11T19:31:52

Wapangaji jimboni New South Wales hawata hisi maramoja afueni yoyote, kutoka ongezeko ya kodi baada ya kiongozi wa jimbo hilo Chris Minns kutupilia mbali kikomo kwa ongezeko za kodi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Aprili 2023 from 2023-04-09T23:25:57

Maelfu ya watu wameadhimisha ibada ya Pasaka, ndani ya makanisa kote nchini. Waumini wana adhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo, kulingana na maandishi ya Biblia takatifu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ps Ngugi "Siku hizi watu wamekosa muda wakushiriki katika ibada" from 2023-04-09T19:07:15

Nyumba nyingi za ibada kote duniani hufurika wakati wa pasaka, hali ambayo ni tofuati na wakati mwingine wa mwaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Umepata faini? Hivi ndivyo unastahili fanya kuilipa na kuepuka madhara makubwa yakutofuata sheria from 2023-04-09T18:52:15

Watu wengi nchini Australia hawa elewi madhara yakupuuza faini ni gani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Aprili 2023 from 2023-04-04T19:52:48

Maafisa wa ngazi za juu wa Australia wamekutana na washiriki wao kutoka China mjini Beijing, kujadili vikwazo vyaki biashara vinavyo endelea katika ishara mpya yakuboresha diplomasia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Amedee bado tuna safari ndefu kisiasa barani Afrika from 2023-04-03T10:53:19

Wakaazi wa New South Wales walishiriki katika uchaguzi ulio bandua serikali mamlakani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 2 Aprili 2023 from 2023-04-02T23:30:11

Kiongozi wa Victoria amesema kushindwa kwa chama cha Liberal katika chaguzi dogo la Aston, kume onesha wapiga kura wanaendelea kutupilia mbali aina chafu ya siasa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Albanese aunga mkono ongezeko ya mshahara kwa wafanyakazi wa pato la chini from 2023-04-02T21:01:32

Serikali ya shirikisho imependekeza wafanyakazi wenye pato la chini nchini Australia, waongezewe mshahara ila, serikali haija sisitiza kuwa ongezeko hilo la mshahara liwe sambamba na mfumuko wa bei.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
George "Kenya iko katika hatari yakutokomea" from 2023-03-29T12:21:46

Jiji la Nairobi, Kenya kwa mara nyingine lime shuhudia mapambano makali kati ya jeshi la polisi na waandamanaji wanao taka serikali ishughulikie ongezeko la gharama ya maisha.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Machi 2023 from 2023-03-28T19:53:20

Mazungumzo kati ya serikali ya shirikisho ya Labor na chama cha Greens, yanaendelea kuhusu muswada wa mfuko wa uwekezaji wa usoni wa nyumba nchini Australia. Chama cha Greens na wabunge wengine hur...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Labor yashinda uchaguzi wa NSW, nakusitisha miaka 12 katika upinzani from 2023-03-28T11:07:21

Labor imekamilisha kinacho julikana kama ushindi thabiti wakisiasa katika bara zima la Australia, baada ya matokeo ya uchaguzi wa New South Wales.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What are Ramadan and Eid and how are they celebrated in Australia? - Ramadan na Eid ni nini na huwa zina adhimishwa aje nchini Australia? from 2023-03-28T01:10:39

Have you ever wondered about the significance of Ramadan and Eid in Islamic culture? And, how important are these celebrations to your Muslim colleagues, friends, or neighbours? - Je! ushawahi jiul...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Machi 2023 from 2023-03-27T00:08:11

Jimbo la Kusini Australia limekuwa jimbo la kwanza nchini, kutunga sheria kwa uwepo wa sauti yawa Australia wakwanza bungeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Esther "bado tuna kazi ya ziada katika harakati zakutetea haki za wanawake" from 2023-03-15T14:38:22

Harakati zakutetea haki za wanawake zime dumu kwa zaidi ya miaka 112, licha ya mafanikio ambayo wanaharakati wame pata bado wana hisi kuna kazi ya ziada katika kampeni yao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Machi 2023 from 2023-03-14T20:19:44

Mawaziri wa ngazi ya juu katika serikali yamadola, waongeza juhudi kutuliza wasiwasi kandani kuhusu Australia kupata manowari zinazo tumia nguvu ya nyuklia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakupata leseni yakuendesha gari Australia from 2023-03-14T19:20:12

Kuendesha gari hutoa uhuru na huongeza fursa zakupata kazi ila, shughuli hiyo huja pia na wajibu mkubwa waku hakikisha usalama barabarani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 12 Machi 2023 from 2023-03-12T23:34:04

Wapiga kura wa NSW wakabiliwa kwa ahadi za hela kutoka kwa vyama vya siasa vinavyo wania uchaguzi wa 25 Machi 2023.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Leyla "wanawake wameleta maendeleo na utendaji bora katika uongozi" from 2023-03-08T12:01:44

Wanawake kote duniani wana jumuika katika sherehe za siku yakimataifa ya wanawake.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Machi 2023 from 2023-03-07T21:00:05

Waziri Mkuu akataa kutenga gesi kwenye matumizi ya nishati, ili muswada wake uungwe mkono na chama cha Greens bungeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ujuzi wa huduma ya kwanza unaweza okoa maisha, hivi ndivyo nasehemu yakupata mafunzo nchini Australia from 2023-03-07T19:53:59

Watu wengi huwa hawatarajii kuwa katika hali ya dharura, hadi wanapo jipata katika hali hiyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Machi 2023 from 2023-03-05T23:59:05

Waziri Mkuu aikosoa serikali ya NSW katika kampeni ya uchaguzi jimboni humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakupata matibabu kwa bei nafuu nchini Australia from 2023-03-02T15:27:11

Raia wa Australia, wakaazi wakudumu na wakimbizi wanaweza pata matibabu bure au kwa bei nafuu pamoja na madawa, kwa kujisajili katika mfumo wa Medicare, ambao ni mfumo wa huduma ya afya kwa wote.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kifo cha Sharon J Kigen, cha itikisa jamii yawa Kenya kote nchini from 2023-03-01T21:56:30

Taarifa kuhusu kifo cha Sharon J Kigen, ime waacha jamaa na marafiki wake na huzuni isiyo elezeka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Februari 2023 from 2023-02-28T20:15:57

Serikali ya shirikisho imetangaza mageuzi ya ushuru kwenye salio la juu ya malipo ya uzeeni. Kuanzia mwaka wa fedha wa 2025/2026, salio la zaidi ya dola milioni tatu, itatozwa ushuru wa 30% kutoka ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanafunzi wakimataifa nchini kukabiliwa kwa mageuzi ya haki za kazi from 2023-02-28T19:54:14

Idadi ya masaa ambayo wanafunzi wakimataifa nchini Australia wanaweza fanya kazi chini ya masharti ya viza zao itabadilika kuanzia Julai.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Februari 2023 from 2023-02-27T00:30:16

Mweka hazina Jim Chalmers amesema serikali ya Australia haina uwezo wakufanya mengi kudhibiti mfumuko wa bei, ambao kwa sasa ni asilimia 7.8

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 Februari 2023 from 2023-02-21T20:42:36

Serikali ya Queensland inawasilisha sheria mpya tata, yakuchukua hatua kali dhidi ya watoto wahalifu wanao kiuka masharti ya dhamana yao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Allan "napewa heshima sana Bathurst baada ya ushindi wa wakenya" from 2023-02-21T20:03:08

Mji wa Bathurst, NSW kwa mara ya kwanza katika historia ulikuwa mwenyeji wa mbio za nyika za dunia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari from 2023-02-20T00:00:40

Mji wa Melbourne unatarajiwa kufungua hospitali ya kwanza nchini Australia inayotibu magonjwa ya moyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakulinda hazina yako yakustaafu, kupata super yako iliyo potea na chakufanya ukihamia ng'ambo from 2023-02-19T21:28:29

Mfumo wakustaafu wa Australiam unahitaji malipo ya kila wakati ya lazima, ndani ya mfuko wako wa malipo ya uzeeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakupiga kura Australia from 2022-05-04T06:27:39

Wa Australia milioni kumi na saba, wame sajiliwa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa shirikisho ujao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Mei 2022 from 2022-05-03T20:20:22

Waziri Mkuu ajiweka mbali na ongezeko ya riba, hata hivyo upinzani wamtungia kidole cha lawama.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sherehe za Eid za ashiria mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadan from 2022-05-02T20:34:14

Waislamu kote duniani wame sherehekea mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadan, kwa chakula, sala na kujumuika na familia baada ya mwezi mzima wakufunga.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Mei 2022 from 2022-05-01T23:42:11

Chama cha Labor kimezindua kampeni yake ya uchaguzi rasmi katika jimbo la Magharibi Australia, ambako kiongozi wa upinzani Anthony Albanese ametoa ahadi kadhaa za uchaguzi mkuu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wiki ya tatu ya kampeni ya uchaguzi mkuu yatawaliwa na gharama ya maisha from 2022-04-30T09:28:49

Wiki ya tatu ya kampeni ya uchaguzi mkuu ili tawaliwa na shinikizo za gharama za maisha, baada ya mfumuko wa bei kuongezeka kwa 5.1%.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 26 Aprili 2022 from 2022-04-28T17:58:31

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mfungo wakidini ni nini, na unaathiri vipi afya? from 2022-04-27T06:32:17

Unapo ishi katika nchi yenye tamaduni nyingi kama Australia, kuna uwezekano utakutana au kuwa na marafiki kutoka tamaduni au dini mbali mbali.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Aprili 2022 from 2022-04-26T19:42:08

Maswala ya gharama ya maisha, yanaendelea kujitokeza katika kampeni ya uchaguzi mkuu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Baridi yaendelea kuikabili Yanga katika ligi kuu ya Tanzania from 2022-04-25T21:49:53

Young Africans Sports Club, yaendelea kukaribia kutimiza malengo yake yakumaliza ukame wa ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ibada za alfajiri zakumbuka mchango wa waAustralia katika migogoro from 2022-04-25T14:24:54

Maelfu yawa Australia walijumuika kutoa heshima zao kwa wanajeshi katika ibada za alfajiri za siku ya Anzac, ambako viongozi wa nchi walitambua pia vita vya uhuru vya Ukraine.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 19 Aprili 2022 from 2022-04-20T21:48:39

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hoja za afya, na usalama wa mipaka zafungua wiki ya pili ya kampeni ya uchaguzi mkuu from 2022-04-20T08:21:29

Wiki ya pili ya kampeni za uchaguzi mkuu zime tumbukia katika vita vya kampeni zakutisha kati ya vyama viwili vikubwa nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 19 Aprili 2022 from 2022-04-19T20:00:23

Waziri Mkuu ashtumiwa kwa kujaribu kufufua mjadala wa ulinzi wa mipaka dhidi ya chama cha Labor, katika kampeni za uchaguzi mkuu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 17 Aprili 2022 from 2022-04-18T18:01:55

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa nne na saa tano kila usiku wa Jumapili bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! mfumo wa urekebishaji wa watu wazima hutumikaje Australia? from 2022-04-18T08:41:07

Nchini Australia, watuwazima wanao fanya makosa ya jinai, husimamiwa na mfumo wa haki wa jinai wa Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Aprili 2022 from 2022-04-17T23:49:38

Viongozi wakisiasa wasitisha kampeni za uchaguzi mkuu kushiriki katika ibada za Pasaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Waziri Mkuu afanya kampeni katika wikendi ya Pasaka from 2022-04-17T07:02:03

Waziri Mkuu anaendelea kutetea uamuzi wa chagua lake kwa mgombea wa chama cha Liberal, kwa eneo bunge la Warringah ambalo liko mjini Sydney.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Scott Morrison atafaulu kutetea wadhifa wake? from 2022-04-15T07:25:58

Baada yakusubiri kwa muda mrefu hatimae Waziri Mkuu Scott Morrison alitangaza tarehe ya uchaguzi mkuu kwa 21 Mei 2022.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kuingia kwa DRC katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuna manufaa gani kwa raia wake from 2022-04-14T07:30:38

Jumuiya ya Afrika Mashariki ina mwanachama mpya wa 7.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 12 Aprili 2022 from 2022-04-13T17:51:27

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 12 Aprili 2022 from 2022-04-12T19:51

Waziri Mkuu aahidi kuunda ajira milioni 1.3 akishinda uchaguzi mkuu, wakati huo huo upinzani umetuliza wasiwasi wa viongozi wa New Zealand kuwa huenda waka poteza wauguzi wao kwa sekta ya huduma...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Uchaguzi 2022: Utaratibu wa upigaji kura from 2022-04-11T08:10:03

Takriban 96% yawa Australia wanao stahiki, wame andikishwa kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa shirikisho mwaka huu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Aprili 2022 from 2022-04-10T23:32:23

Baada ya wiki kadhaa za uvumi, hatimai waziri mkuu atangaza tarehe ya uchaguzi mkuu wa shirikisho, upinzani wasisitiza uko tayari kwa kampeni ndefu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kiongozi mpya wa Tasmania aahidi kuongoza kwa uadilifu from 2022-04-09T09:28:17

Tasmania ina kiongozi mpya, baada ya tangazo lakushtukiza lakujiuzulu la kiongozi wa zamani Peter Gutwein Jumatatu wiki hii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 3 Aprili 2022 from 2022-04-07T06:45:48

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakujiandikisha kupiga kura from 2022-04-06T06:28:22

Uchaguzi mkuu unatarajiwa kuwa mwisho wa Mei, kuna hatua lazima uchukue kabla upige kura yako kwa mara ya kwanza.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Aprili 2022 from 2022-04-05T19:52:41

Waziri Mkuu aendelea kuhamasisha umma uzingatie kazi ambayo serikali yake imefanya, badala ya shutma zisizo na misingi za ubaguzi wa rangi dhidi yake.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakujiunga na SES Australia from 2022-04-04T06:28:42

Panapo kuwa dharura inayo husiana na mafuriko, dhoruba na matukio mengine ya asili, watu wakujitolea huwa na sehemu mhimu kutoa jibu kote nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Machi2022 from 2022-04-03T23:54:47

Waziri Mkuu aendelea kukanusha madai kuwa alitumia kauli zaubaguzi wa rangi katika kampeni za mchujo wa wagombea wa chama cha Liberal alipochaguliwa mara ya kwanza kuwania ubunge.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Biashara ndogo zakaribisha sherehe za Ramadan bila vizuizi vya UVIKO-19 from 2022-04-02T11:43:21

Kula, kusali na kuchangia upendo ndivyo jamii zawa Islamu wa Australia, wanasherehekea mwezi mtukufu wa Ramadan mwaka huu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 29 Machi 2022 from 2022-03-29T19:31:55

Mweka hazina wa shirikisho Josh Frydenberg ajiandaa kutoa bajeti ya taifa, upinzani uki ishtumu serikali kwa kujaribu kununua kura badala yakuregeza gharama ya maisha ya wananchi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! bajeti ya taifa itatuliza wasiwasi za ongezeko za gharama? from 2022-03-28T06:24:20

Katika siku chache bajeti ya taifa ita tolewa, kabla ya uchaguzi mkuu na serikali ya shirikisho ina nia yakujitetea ili isalie madarakani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Machi 2022 from 2022-03-27T23:24:18

Mweka hazina wa shirikisho Josh Frydenberg athibitisha serikali itachukua hatua, kukabiliana na ongezeko ya bei ya petroli katika bajeti ya Jumanne.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Nini sababu ya serikali ya Kusini Australia kutimuliwa na wapiga kura? from 2022-03-24T07:00:56

Serikali tawala ya Kusini Australia ili ingia katika siku za mwisho za kampeni ikiwa na imani yakusalia mamlakani, baada ya uongozi wake kwa muda wa miaka minne.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 22 Machi 2022 from 2022-03-23T17:42:59

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dalili za mshtuko wa moyo ni gani na unaweza fanya nini ikitokea? from 2022-03-23T06:37:32

Ugonjwa wa moyo ni sababu kubwa ya kifo nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari - 22 Machi 2022 from 2022-03-22T20:04:32

Serikali ya shirikisho yawaalika watalii katika maeneo ya Kaskazini Queensland, baada yakutangaza mfuko wa uwekezaji wakufufua sekta ya utalii katika maeneo hayo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Machi 2022 from 2022-03-20T23:43:51

Wapiga kura waitimua serikali ya Kusini Australia katika uchaguzi, na serikali ya Queensland yataka usawa kutoka serikali ya madola katika ugavi wa msaada kwa waathiriwa wa mafuriko.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dr William S Ruto kupeperusha bendera ya UDA katika uchaguzi mkuu - Mseto wa UDA wamtangaza Dr William S Ruto kuwa kinara wao katika uchaguzi mkuu from 2022-03-17T16:26:15

Mseto wa United Democratic Alliance (UDA) ume mtangaza rasmi Naibu Rais wa Kenya, William Samoei Ruto kuwa kinara wake katika uchaguzi mkuu wa 9 Agosti 2022.

-

Mseto wa United ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 15 Machi 2022 from 2022-03-16T17:10:44

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Unawezaje jilinda dhidi ya utapeli wa UVIKO-19? from 2022-03-16T06:29:28

Watapeli wanachukua fursa za hofu za watu wakati wa janga la UVIKO-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 15 Machi 2022 from 2022-03-15T20:35:49

Australia na Uholanzi zime zindua hatua zakisheria dhidi ya Urusi kwa kuangusha ndege ya M-H-17 ya Malaysia katika mwaka wa 2014.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ongezeko ya bei ya mafuta yazua wito kwa serikali ipunguze kodi ya mafuta- je hatua hiyo itasaidia chochote? from 2022-03-15T11:14:03

Bei za mafuta duniani zina endelea kuongezeka wakati wa vita Ukraine, vikisababisha bei ya kiwango kikubwa zaidi nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 13 Machi 2022 from 2022-03-14T20:00:19

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Uhuru amtangaza Raila kuwa kinara wa mseto wa AZIMIO LA UMOJA katika uchaguzi mkuu from 2022-03-14T15:58:12

Joto la siasa nchini Kenya laendelea kuongezeka baada ya mseto wa Azimio kumuidhinisha Raila Odinga kuwa kinara wao katika uchaguzi mkuu 9 Agosti 2022.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Machi 2022 from 2022-03-13T23:31:48

Kiongozi wa New South Wales Dominic Perrottet, amesema kutakuwa tathmini kuhusu majibu kwa mafuriko katika maeneo ya kaskazini mashariki ya jimbo hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vita vya Urusi vyaiweka Chelsea FC pabaya from 2022-03-13T07:07:21

Vita vya Urusi dhidi ya Ukraine, vime anza kudai majeruhi ambao wako mbali na uwanja wa vita hivyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Giza la zingira Manchester United from 2022-03-10T17:57:45

Mechi chache zinasalia kwa ligi kuu ya Uingereza kuisha, ila tumbo joto linaendelea kusambaa katika timu zinazo wania nafasi zakushiriki katika mechi za klabu bingwa msimu ujao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! nani atarithi nafasi ya Shane Warne katika mchezo wa Cricket? from 2022-03-10T06:57:04

Tangazo la kifo cha ghafla cha gwiji wa mchezo wa Cricket, Shane Warne lime zua mjadala mkubwa katika mchezo huo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara - 8 Machi 2022 from 2022-03-09T17:38:08

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! nini sababu ya kifo cha gwiji wa Cricket? from 2022-03-09T06:09:15

Watu kote duniani wanaendelea kukabaliana na taarifa za kifo cha ghafla, cha gwiji wa mchezo wa cricket Shane Warne.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Machi 2022 from 2022-03-08T19:53:32

Maafisa wa jeshi la ulinzi wa taifa watua katika majimbo ya Queensland na New South Wales, kuwaisaida waathiriwa wa mafuriko.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ni kwa nini ujuzi wakuogelea ni mhimu kwa wa Australia wote? from 2022-03-07T06:07:23

Kujifunza kuogelea huenda haitakuwa kipaumbele unapo anza maisha yako Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 1 Machi 2022 from 2022-03-03T12:14:57

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wahanga wa mafuriko ya Queenslandld wafunguka kuhusu walivyo jinusuru from 2022-03-03T06:25:33

Vitongoji kadhaa vya jimbo la Queensland vimekuwa viki kabiliana na mafuriko katika siku chache zilizo pita ambayo kwa masikitiko yana endelea kudai maisha ya watu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! madhara kwa benki za Urusi kupigwa marufuku kutumia mfumo wa SWIFT ni gani? from 2022-03-02T14:14:35

Urusi imewekewa vikwazo vya kila aina tangu ishambulie Ukraine ila, wachambuzi wengi wanasema vikwazo vipya dhidi ya benki za Urusi kutumia mfumo wa SWIFT, vita umiza taifa hilo zaidi kuliko vik...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi Australia inawapokea wanafunzi wakimataifa from 2022-03-02T06:35:54

Australia imefungua tena milango yake kwa wanafunzi wakimataifa, baada ya takriban miaka mbili ya vizuizi vya mipaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Machi 2022 from 2022-03-01T20:39

Mafuriko yadai maisha ya watu 9 jimboni Queensland na New South Wales, na hasara ya mafuriko hayo yapita maelfu yama milioni kwa mali zawatu binafsi na biashara.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Maeneo ya Queensland na New South Wales, yakabiliana na mafuriko yanayo tishia maisha from 2022-03-01T06:23:13

Mwanaume mmoja kutoka Gold Coast pamoja na mbwa wake, wame zolewa hadi kufa na maji ya mafuriko, wakati janga la mafuriko jimboni Queensland, yana elekea katika maeneo ya kusini ya jimbo hilo na...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Waziri Mkuu asema lazima pawe garama kwa matendo ya Urusi from 2022-02-28T06:37:45

Waziri Mkuu Scott Morrison amekiri kuwa vikwazo ambavyo vime wekwa dhidi ya Urusi, huenda havita kuwa na madhara yoyote ila, Australia inasimama bega kwa bega na Ukraine.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara 27 Februari 2022 from 2022-02-27T23:55:24

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Februari 2022 from 2022-02-27T23:21:56

Serikali ya shirikisho yatoa nafasi zaidi kwa mapokezi yakibinadam, kwa watu wanao kimbia vita nchini Ukraine. Umoja wa ulaya wa wekea baadhi ya benki za Urusi, vizuizi vyakutumia mfumo wakutuma...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili Mubashara - 22 Februari 2022 from 2022-02-24T19:32:55

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! unakabilianaje na changamoto ya kuwafunza watoto lugha na tamaduni za nyumbani? from 2022-02-23T21:13:22

Februari 21 husherehekewa kote duniani kama, siku yakimataifa ya lugha ya mama.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakumsaidia mtoto wako kuhifadhi lugha na tamaduni aki kuwia nchini Australia from 2022-02-23T06:29:51

Faida za elimu ya lugha mbili zime andikwa vyema.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Februari 2022 from 2022-02-22T20:20:48

Serikali ya New South Wales yakutana na viongozi wa chama cha wafanyakazi wa usafiri jimboni humo, kupata suluhu kwa mvutano wa kazi ambao umesababisha usumbufu mkubwa katika mfumo wa usafiri.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Darwin ya adhimisha miaka 80 ya shambulizi katika vita vya pili vya dunia from 2022-02-21T06:54:56

Miaka themanini iliyopita Februari 19, 1942, Japan ilifanya mashambulizi yakushtukiza dhidi ya Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Februari 2022 from 2022-02-20T23:36:05

Maadhimisho ya miaka themanini ya shambulizi la Darwin yalifanyika jana, katika ibada maalum katika wilaya ya Kaskazini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii ya Kitwek yawakaribisha wahitimu wamafunzo yakitamaduni from 2022-02-17T06:35:27

Jamii nyingi za watu wenye asili ya Afrika zina mila, desturi na tamaduni zao, ambazo kwa sehemu kubwa zinatofautiana.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rais wa Togo ajiunga na viongozi wa Afrika ya kati na Mashariki kujadili amani na usalama jimboni from 2022-02-16T18:44:33

Swala la Amani na Usalama, limekuwa mwiba na changamoto kubwa, kwa mataifa mengi barani Afrika hususan katika ukanda wa Afrika ya kati na Mashariki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jukumu la baraza la waamuzi ni nini, na nani anaweza itwa kuhudumu katika baraza la waaamuzi? from 2022-02-16T06:27:14

Kila raia wa Australia ambaye amesajiliwa kupiga kura, anaweza itwa kutoa huduma katika baraza la waamuzi mahakamani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 15 Februari 2022 from 2022-02-15T20:26:29

Kiongozi wa jimbo la New South Wales Dominic Perrottet, amesema anatumai kufukia makubaliano na wafanyakazi wa mstari wa mbele wanao andamana.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali ya NSW yakabiliwa kwa matokeo mabaya katika chaguzi ndongo nne from 2022-02-14T08:50:48

Serikali ya New South Wales inaelekea kupoteza eneo bunge la Bega pamoja nakutumbukia ndani zaidi ya shimo la serikali ya wachache, baada yakupata matokeo mabaya katika chaguzi dogo nne.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Februari 2022 from 2022-02-13T23:49:17

Chama cha Labor cha sherehekea ushindi wakihistoria, wakati serikali ya New South Wales ikiendelea kuhesabu hasara ya matokeo ya chaguzi ndogo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Siku mbaya yamaliza wiki yamichubuko katika bunge la shirikisho from 2022-02-12T09:05:03

Dai lisilo la kawaida kuhusu jaribio laushawishi lakigeni, kwa uchaguzi wa shirikisho ujao lime fichuliwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Viongozi wa Afrika wasisitiza bara lipewe nafasi yakudumu katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa from 2022-02-09T07:50:59

Mada kadhaa zimejadiliwa katika kongamano la 35 la Umoja wa Afrika, moja kati yao ikiwa ni ombi la bara la Afrika lipewe nafasi yakudumu katika baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Februari 2022 from 2022-02-08T19:26:29

Scott Morrison ame muomba msamaha mfanyakazi wa zamani wa chama cha Liberal Brittany Higgins, kwa madai ya ubakaji dhidi yake ndani ya bunge la taifa pamoja na wanawake wengine ambao, wame umizw...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali ya mseto yapambana na vita kutoka pande zote, vikao vya bunge la taifa vikianza from 2022-02-08T08:21:05

Bunge la shirikisho lime anza viako leo Juma nne, 8 Feb ila, haitakuwa kurejea kwa utulivu kwa biashara yakutunga sheria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
ATAR ni nini, na ni kwa nini ni mhimu? from 2022-02-08T06:30:17

Nambari ya usajili katika elimu ya juu Australia maarufu kwa ufupi kama ATAR, huwa na sehemu mhimu kwa wanafunzi wa sekondari wanao panga kufanya elimu ya juu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Februari 2022 from 2022-02-06T23:36:44

Moto wa vichaka waendelea kuwa tisho kwa miji kadhaa katika jimbo la Magharibi Australia, wataalam wakuzima moto kutoka majimbo mengine nchini wame jibu wito wakutoa msaada.

 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Utafiti waonesha mitindo ya kukodi from 2022-02-05T10:19:18

Utafiti mpya unao fanywa na chuo cha Adelaide, unatoa ufahamu wa kwanza halisi kwa nani anakodi nyumba Australia, kwa nini wanakodi nyumba na mazingira gani nyumba wanawazo kodi zimo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Balozi za Ulaya za toa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi Kenya from 2022-02-03T07:24:23

Hali ya tahadhari ina endelea kuzingatiwa katika miji kadhaa nchini Kenya, baada ya balozi za Ulaya kutoa onyo kuhusu uwezekano wa shambulizi lakigaidi nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1 Februari 2022 from 2022-02-01T19:49:39

Waziri Mkuu amekiri kuwa wapiga kura wamekerwa baada ya msimu wa majira ya joto, ulio tawaliwa na usambaaji wa wimbi la virusi vya Omicron vya UVIKO-19, ongezeko ya vifo vya coronavirus pamoja n...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Januari 22 from 2022-01-31T04:26:11

Australia yaaripoti vifo 88 vya COVID-19 huku kulazwa hospitalini kukiendelea kupungua wakati huo huo

Wasiwasi mkubwa wazuka wakati  wanafunzi wanapojiandaa kurejea madarasani

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Angella Okutoyi atengeza historia katika Australian Open from 2022-01-27T08:08:21

Licha ya umaarufu wa mchezo wa Tennis duniani, ni nadra kuona mchezaji mwenye asili ya Afrika Mashariki, akishiriki katika michuano mikubwa ya mchezo wa tennis duniani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 25 Januari 2022 from 2022-01-25T18:53:23

Wito wa kutambuliwa kwa wa Australia wa kwanza ndani ya katiba waongezeka tena masaa machache kabla ya sherehe za siku kuu ya Australia. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Nigeria watupwa nje ya michuano ya kombe la Afrika from 2022-01-24T07:05:44

Mitetemeko ya ardhi ilishuhudiwa katika wikendi ya spoti kote duniani, vichapo vilitolewa ambako havikutarajiwa na ushindi kuwaponyoka walio utarajia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wasiwasi wazingira hatua yakuwarejesha wanafunzi shuleni, maambukizi ya UVIKO-19 yanapo endelea kuongezeka nchini from 2022-01-24T06:52:35

Wiki hii mpango wakurejea salama shuleni kwa wanafunzi na walimu pamoja na pendekezo la waendesha magari ya kazi wachanga ndani ya viwanda, ilikuwa moja yamalengo makuu ya baraza lamawaziri waki...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Januari 2022 from 2022-01-23T23:17:26

Wanafunzi na walimu kupewa vipimo vya rapid antigen jimboni NSW, shule zitakapo funguliwa wiki ijayo, na hatimae tume ya usalama mtandaoni, yapewa mamlaka yakisheria kukabiliana na unyanyasaji w...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Januari 22 from 2022-01-19T03:19:09

Siku mbaya zaidi ya janga hili: Australia ikirekodi vifo 74 vya COVID-19

 Wakati Waziri wa afya Kerry Chant aonya, idadi ya vifo vya virusi hivyo jimbo la NSW kuongezeka

 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Januari 22 from 2022-01-16T22:35:42

Fukwe za jimbo la NSW na Queensland zafungwa kuhofia tsunami wakati

 Australia inaripoti vifo 40 vipya vya COVID-19 na huku Victoria ikipokea 'kundi kubwa' vipimo vya haraka yaani RAT...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Januari 22 from 2022-01-12T22:46:35

'Maafa yanayongoja kutokea': Wafungwa sita wa Villawood wamepatikana na virusi vya COVID-19

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Januari 22 from 2022-01-10T16:08:33

Idadi ya waliolazwa mahospitalini kwa COVID-19 yaongezeka huku Victoria wakirekodi kesi mpya zaidi ya 44,155, wakati NSW ina kesi 30,062

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mkenya ang'ara jukwaani Australia from 2022-01-10T05:23:22

Atumia nyimbo zenye lugha mbalimbali kukonga nyoyo za mashabiki, huku akiburudisha kwa vichekesho, mafunzo na maonyo juu ya siasa, ubaguzi wa rangi na matatizo yanayowakabili wahamiaji.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Janauri 22 from 2022-01-05T17:52:33

Australia inarekodi zaidi ya kesi 37,000 mpya za COVID-19 kwa siku moja huku kulazwa hospitalini kukiongezeka

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Disemba 21 from 2021-12-27T15:33:06

Simanzi yatawala kifo cha Askofu Mkuu Desmond Tutu aliyefariki akiwa na umri wa miaka 90.

 

 Rais Cyril Ramaphosa asema, "Kufariki kwa Askofu huyo ni sura nyingine ya msiba...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Disemba 2021 from 2021-12-07T19:30:18

Walimu wa shule za umma pamoja na walimu wakuu wame andamana kote jimboni NSW, dhidi ya mishahara midogo pamoja na kazi nyingi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vitu ambavyo unaweza au hauwezi leta Australia from 2021-12-06T06:41:05

Wakati mipaka yakimataifa inafunguliwa kwa ajili ya usafiri kuanza tena, ni mhimu kuwatayarisha mafariki na famila watakao kutembelea kutoka ng’ambo, kwa ukaguzi mkali wa mipaka ya Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Disemba 2021 from 2021-12-05T23:44:44

Chama cha shirikisho cha Labor kime ahidi kutoa nafasi 465,000 katika TAFE bure, pamoja nakuwekeza nafasi katika vyuo, chama hicho kikishinda uchaguzi mkuu ujao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Navazu Ozegbe tayari kutengeza historia katika uchaguzi wama diwani wa Fairfield New South Wales from 2021-12-01T14:54:28

Kampeni za uchaguzi wa udiwani katika halmashauri ya jiji la Fairfield, NSW zina endelea kwa kina siku chache zikiwa zinasalia kwa wapiga kura kutoa hukumu yao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ubaguzi katika sehemu za kazi ni nini, na unastahili fanya nini ukiwa mwathirika? from 2021-12-01T06:53:37

Kila miaka mbili, shirika la Diversity Council of Australia, huchapisha vielezo vya ujumuishaji kazini, ambayo ni utafiti unao mulika maswala ya ujumuishaji, unyanyasaji na ubaguzi katika nguvu ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 30 Novemba 2021 from 2021-11-30T19:45:24

Waziri Mkuu Scott Morrison amesema uamuzi waku ahirisha tena, kufunguliwa kwa mipaka yakimataifa ya Australia kwa muda wa wiki mbili, ni hatua tu ya "tahadhari ya muda mfupi".

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Novemba 2021 from 2021-11-28T23:32:15

Kesi mbili za aina mpya ya kirusi cha UVIKO-19 kwa jina la Omicron, zime thibitishwa miongoni mwa wasafiri walio wasili jimboni New South Wales, kutoka Afrika Kusini Jumamosi 27 Novemba 2021.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vijana wa D.R Congo wa wapa vijana wa Misri kichapo cha kihistoria from 2021-11-27T13:40:43

Michuano ya mpira wa miguu ya kombe la Afrika jimboni NSW, yalinusurika kutofanyika kwa sababu ya vizuizi vya UVIKO-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dr Eugen Bacon aweka wazi siri za uandishi wa vitabu from 2021-11-26T06:33:32

Ni nadra kuona vitabu vilivyo andikwa nakuchapishwa na mtu mwenye asili ya Afrika nchini Australia. Ila Dr Eugen anabadilisha hali hiyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wasafiri wengi zaidi na watu wenye viza kutoka ng'ambo wanaweza rejea Australia from 2021-11-24T06:54:28

Mpango wa serikali ya shirikisho wakufungua nchi, unakaribia ingia katika awamu nyingine.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Novemba 2021 from 2021-11-23T21:30:26

Waziri Mkuu kuwasilisha muswada wa ubaguzi wakidini bungeni katika hatua ambayo imezua utata.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Viza ya Jamaa wa Yatima: Nani ana stahiki kuiomba? from 2021-11-22T06:32:44

Visa ya jamaa wa yatima (subclass 117) ni moja ya chaguzi kadhaa za viza kwa wahamiaji ambao wangependa ingia Australia. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 Novemba 2021 from 2021-11-21T22:46:21

Jeshi la Polisi la sema maandamano dhidi ya chanjo mijini Sydney na Melbourne kwa sehemu kubwa ilikuwa ya amani, wakati huo huo Australia yawakaribisha watalii kutoka Singapore asubuhi ya leo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Maelfu waandamana kote nchini Australia dhidi ya amri za chanjo za UVIKO-19 na vizuizi from 2021-11-21T11:18:39

Maelfu ya watu walijumuika katika mitaa ya miji ya Australia, kuandamana dhidi ya masharti ya chanjo na vizuizi vya UVIKO-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Bonfils afunguka kuhusu maandalizi ya Kombe la Afrika Sydney from 2021-11-18T06:08:03

Vijana katika jamii yawatu wenye asili ya Afrika jimboni New South Wales, walivuta pumzi ya afueni baada ya serikali ya jimbo hilo kutoa ruhusa kwa michezo na shughuli zingine kuanza tena ndani ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi unaweza anzisha biashara ndogo Australia from 2021-11-17T06:21:44

Kuanzisha biashara ndogo ni hatua yakusisimua ila, ni hatua ambayo huja na changamoto nyingi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 16 Novemba 2021 from 2021-11-16T20:12:38

Muswada wa janga la Victoria waendelea kukabiliwa kwa upinzani, na Ernie Dingo ajiunga katika juhudi yakuongeza viwango vya chanjo katika jamii zawa Australia wa kwanza Magharibi Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Msimu wa majira ya joto wa hatari watabiriwa wakati watoto wanakosa mafunzo mhimu yakuogelea from 2021-11-15T21:42:03

Wa Australia wanatazamia msimu wa majira ya joto, kuwa nje na ndani ya maji baada ya mwaka ulio husu kuingia nakutoka ndani ya vizuizi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Novemba 2021 from 2021-11-14T22:50:55

Queensland yatimiza lengo mhimu la utoaji wa chanjo ya UVIKO-19 na upinzani waikosoa serikali ya shirikisho kwa juhudi zake zakukabiliana na kupunga uzalishaji wa hewa chafu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tony Shihemi afunguka kuhusu hasara za biashara wakati wa vizuizi vya Uviko-19 from 2021-11-10T07:31:48

Wajasiriamali wengi wana endelea kuhesabu hasara walizo pata, wakati wa vizuizi vya UVIKO-19 nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 9 Novemba 2021 from 2021-11-09T19:00:05

Serikali ya Queensland imetangaza ita ondoa sheria za coronavirus kwa watu ambao wame pata chanjo kamili, na biashara pamoja nakuweka vizuizi kwa matembezi hospitalini kwa watu ambao hawaja chan...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Maelezo kuhusu kanuni za michezo nchini Australia from 2021-11-08T07:02:08

Australia ni nchi yenye tamaduni ya michezo, na moja ya njia zakusisimua zakujumuika katika jamii ya Australia, nikupitia vilabu vya jamii vya...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Novemba 2021 from 2021-11-07T23:34:03

Miji ya Darwin na Katherine yaongezewa vizuizi vya Coronavirus kwa masaa 24 ya ziada, baada ya kesi mpya kutambuliwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hatari za saratani ya ngozi, na jinsi yakuwa salama katika jua Australia from 2021-11-01T06:14:19

Australia ina moja ya viwango vya juu kwa saratani ya ngozi duniani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 31 Oktoba 2021 from 2021-10-31T23:37:31

Kiongozi wa chama cha Nationals ambaye pia ndiye kaimu waziru mkuu Barnaby Joyce, ameweka wazi baadhi ya taarifa ambayo chama chake kili afiki na chama cha Liberal, kuafiki kupunguza uzalishaji ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Maelfu waandamana dhidi ya mapinduzi yakijeshi Sudan from 2021-10-29T08:54:46

Taifa la pembe ya Afrika la Sudan, limekumbwa kwa maandamano dhidi ya mapinduzi yakijeshi ambayo yame waacha watukadhaa majeruhi nawengine wengi kuuawa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! una fahamu mbinu zakujikinga dhidi ya madhara ya mchezo wa kamari? from 2021-10-27T06:36:32

Wiki iliyo pita nchini Australia, ilikuwa wiki yakutoa uelewa wa matatizo ya mchezo wa kamari.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Oktoba 2021 from 2021-10-26T18:56:26

Serikali ya shirikisho yajitetea baada yakushtumiwa kwa uzembe, kwa kufanyia kazi swala lakupunguza uzalishaji wa hewa chafu nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hatimae Melbourne yaibuka kutoka vizuizi vya muda mrefu zaidi duniani from 2021-10-25T06:05:53

Sherehe za krismasi na mwaka mpya nikama ziliwasili mapema mjini Melbourne, ambao ulikuwa umejipa rekodi yakipekee yakuwa na viuzizi vya Uviko-19 vilivyo dumu kwa muda mrefu zaidi duniani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 24 Oktoba 2021 from 2021-10-24T23:49:04

Chama cha The Nationals kimekubali kuunga mkono mchakato, wakufikisha lengo la sufuri kwa uzalishaji wa hewa chafu kufikia mwaka wa 2050.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KISWA ya andaa kongamano la biashara na uwekezaji from 2021-10-21T16:00:45

Janga la Uviko-19 lime athiri kila hali ya maisha ya watu, na wengi wao wame achwa bila kazi baada ya sehemu zao za kazi kufunga milango yao milele.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakupata msaada wakisheria bure Australia from 2021-10-20T06:24:36

Mfumo wa sheria wa Australia unaweza wachanganya watu wa kawaida na, msaada wakitaalam unaweza hitajika kuukabili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 19 Oktoba 2021 from 2021-10-19T21:25:05

Jimbo la NSW lafanya uwekezaji wakihistoria kukabiliana na visa vya unyanyasaji wa nyumbani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Octoba 21 from 2021-10-17T12:49:20

Kiongozi Chama cha Labor, Jodi McKay ajiuzulu

Wakati toka huko Africa Mashariki tunaarifiwa, mitazamo yaibuka kuhusiana na kufungwa Lengai Ole Sabaya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS yaanza tathmini ya huduma za lugha zake from 2021-10-16T00:50:04

SBS imeanza tathmini ya huduma zake za lugha nyingi, wakati shirika hilo la habari linatazamia kuadhimisha miaka yake 50.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! utaendelea kufanyia kazi nyumbani au utarudi ofisini jimboni NSW? from 2021-10-14T02:45:48

Wiki hii wakaaji wa New South Wales ambao wame pata chanjo zote za Uviko-19, walipata fursa zakujumuika pamoja na jamaa namarafiki kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya siku 100 za vizuizi vyakud...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jean D'amour "nikama nimezaliwa upya". from 2021-10-13T09:57:05

Wakaaji jimboni NSW wameishi chini ya amri zakubaki ndani za Uviko-19 kwa zaidi ya siku 100, ila viongozi jimboni humo wali wapunguzia vizuizi baadhi ya wakaaji ambao wame pata chanjo kamili za ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KISWA yakabiliana na Idara ya Uhamiaji ya Australia kuhusu mitihani ya IELTS from 2021-10-12T19:54:15

Viongozi wa shirika linalo wakilisha wakenya wanao ishi Sydney (KISWA), wamefunguka kuhusu kongamano walilo andaa hivi karibuni kwa niaba ya wanachama wao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 12 Oktoba 2021 from 2021-10-12T08:10:07

Kiongozi wa New South Wales Dominic Perrottet amesema uponaji wa biashara, utakuwa lengo kuu la serikali katika miezi ijayo. Jimbo hilo lilirekodi kesi mpya 360 za COVID-19 pamoja na vifo v...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Oktoba 2021 from 2021-10-10T12:57:18

New South Wales yasalia na masaa machache kumaliza miezi minne ya amri yakubaki ndani ya Covid, na Victoria kuanza majaribio ya kufungua jimbo hilo kupitia matamasha nama tukio mengine.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Chanjo ya Uviko-19 ni salama kwako? from 2021-10-05T19:30:14

Wakati takwimu za watu ambao wamepokea chanjo nchini zina endelea kuongezeka, watu wengi wanaendelea kuwa na mashaka kuhusu chanjo za Uviko-19 mashaka hayo yakisababishwa na dhana na taarifa pot...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Oktoba 2021 from 2021-10-05T08:57:28

Jimbo la NSW lapata kiongozi mpya baada ya Gladys Berejeklian kujiuzulu chini ya wingu la uchunguzi wa ufisadi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Nani atarithi kazi ya Gladys Berejiklian Jumma Nne? from 2021-10-03T19:37:36

Kampeni zina endelea ndani ya chama cha Liberal jimboni New South Wales, kwa wadhifa wa kiongozi ambao ume achwa tupu baada yakujiuzulu kwa Gladys Berejiklian.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 3 Oktoba 2021 from 2021-10-03T11:59:17

Mweka hazina wa New South Wales na Naibu kiongozi wa chama cha Liberal Dominic Perrottet, anatarajiwa kuwa kiongozi mpya wa New South Wales. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Habib:"Nijukumu la viongozi wajumuiya na wananchi wengine kuelimishana kuhusu COVID-19" from 2021-09-30T06:40:20

Mamlaka jimboni Victoria wanaendelea kuhamasisha wakaaji jimboni humo, waende kupokea chanjo za COVID-19, wakati idadi ya maambukizi inaendelea kuongezeka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakimbizi wa Afghanistan wazua hisia mseto Uganda from 2021-09-30T00:30:02

Raia wa Afghanistan walio fanikiwa kuondolewa nchini na jeshi la Marekani, wame anza kuwasili katika nchi  mbali mbali duniani kote.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! umuhimu wakuwa na uelewa wa magonjwa ya afya ya akili ni nini? from 2021-09-28T20:00

Oktaba ni mwezi wa afya ya akili nchini Australia, mwezi huo hutumiwa kutoa elimu pamoja na uelewa kwa jamii kuhusu ugonjwa wa Afya ya akili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Septemba 2021 from 2021-09-28T09:05:49

Hali ya wasiwasi yaongezeka jimboni Queensland baada ya dereva wa lori, aliye tembelea nakulala katika hoteli kadhaa kupatwa na COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Uhuru kwa viwango vya asilimia 80 vya chanjo kuwekwa wazi from 2021-09-26T20:26:44

Waziri Mkuu Scott Morrison amesisitiza kuwa viongozi wa majimbo na wilaya, wanastahili fungua mipaka yao wakati 80% ya umma imepokea chanjo kamili, hatua ambayo itaruhusu familia kuwa pamoja wak...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 26 Septemba 2021 from 2021-09-26T13:35:12

Waziri Mkuu Scott Morrison anasisitiza kuwa viongozi wamjimbo, wana wajibu wakufungua mipaka yao, wakati 80% ya umma itakapokuwa ime pata chanjo kamili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kutambua dalili za ugonjwa wa akili from 2021-09-22T07:03:01

Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla. Kuna uwezekano mkubwa watu wenye ugonjwa wa akili, wanaweza kupata magonjwa ya mwili.

 

  Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 21 Septemba 2021 from 2021-09-21T09:45:42

Mvutano wakidiplomasia kati ya Australia na Ufaransa waendelea kuchemka, hata hivyo waziri mkuu asema hana lakujadili na rais wa Ufaransa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Umuhimu waku jumuisha kujitunza katika maisha yako ya kawaida from 2021-09-21T01:18:02

Kujitunza kuna maana tofauti kwa watu tofauti. Utafiti wakimatibabu unaonesha kuwa, kujitunza hufungua njia kwa ustawi bora kabisa baadae.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mji wa Cowra waingia katika amri yakuto toka nje, wakati idadi ya kesi za maambukizi yaendelea kuongezeka Victoria from 2021-09-20T09:20:14

Mji wa kanda wa Cowra jimboni New South Wales, uli ingia katika amri yakufungiwa ndani kuanzia saa kumi na moja jioni ya Jumatatu katika jibu wa ongezeko la idadi ya visa vya COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 19 Septemba 2021 from 2021-09-19T13:59:56

Ukiukaji wa vigezo vya uwaziri vyamlazimisha Christian Porter ajiuzulu, upinzani wadai majibu zaidi kwa uamuzi wake.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Maelfu wanao pinga makatazo, wakamatwa Melbourne baada yakupambana na polisi from 2021-09-19T00:56:03

Zaidi ya idadi ya watu 230 wali kamatwa na maafisa 10 wa jeshi la polisi kujeruhiwa, katika maandamano ya vurugu dhidi ya makatazo mjini Melbourne.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Athari za kuporomoka kwa uchumi from 2021-09-18T20:22:28

Nchi nyingi kwa sasa zinapitia wakati mgumu wa majanga ya Corona ambayo kwa kiasi kikubwa yanachangia kuporomoka kwa uchumi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ubadhilifu wa fedha Tanzania Part 2 from 2021-09-16T05:12:58

Je, nini hatma ya ubadhilifu uliobainishwa na TAKUKURU kuhusiana na fedha zilizoelekezwa kufanya miradi ya maendeleo?

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ubadhilifu wa fedha Tanzania Part 1 from 2021-09-15T07:08:10

Je, nini hatma ya ubadhilifu uliobainishwa na TAKUKURU kuhusiana na fedha zilizoelekezwa kufanya miradi ya maendeleo?

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 14 Septemba 21 from 2021-09-14T10:12:28

Hali ya Corona bado tete jimbo la New South Wales

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 12 Septemba 21 from 2021-09-12T14:40:05

'Kiwango kikubwa cha matumaini kwa familia': Australia yapata kiasi cha ziada cha chanjo za Moderna kutoka Ulaya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Polisi wa Tanzania washtumiwa kwa visa vya ubakaji from 2021-09-09T05:49:08

Polisi Tanzania imesema Ijumaa walikuwa wanachunguza madai dhidi ya baadhi ya maafisa wa polisi, kuhusika na ubakaji na udhalilishaji wa kingono wa wanawake kadhaa katika vilabu vya usiku....

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 7 Septemba 21 from 2021-09-08T11:59:51

Vifo kutokana na Uviko-19 Jimbo la NSW vyaongezeka huku Serikali ikianza harakati za kuweka mpango wa nchi kufunguliwa

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Nini kinatarajiwa kutoka kongamano la kitaifa la usalama wa wanawake? from 2021-09-06T22:57:31

Kongamano la kitaifa kuhusu usalama wa wanawake la wiki ijayo la tarehe 6 hadi 7 Septemba, ni sehemu yaku unda mchakato wa mashauriano kwa mpango mpya wakitaifa kupunguza unyanyasaji wakijinsia ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 5 Septemba 2021 from 2021-09-05T13:36:22

Jimbo la New South Wales limerekodi idadi ya kesi 1485 ya maambukizi mapya ya Covid-19 ndani ya jamii.

 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rahab:"Wasi wasi unanyima jamii zenye walemavu fursa zakupewa msaada" from 2021-09-01T23:05:53

Watu ndani ya jamii wanao ishi na ulemavu wame pewa rasilmali mhimu, yakuchangia uzoefu wao wa maisha ya kila siku kupitia mradi wa "Speak My Language"

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 31 Agosti 2021 from 2021-08-31T10:33:49

Kiongozi wa NSW aelezea malengo yake makubwa yakuruhusu kuungana tena kwa familia, zinazo ishi katika majimbo mengine nakimataifa wakati bunge la Qld lafungwa baada ya maandamano kuibuka nje kwa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 29 Agosti 2021 from 2021-08-29T13:36:22

Viongozi wakiasili katika kanda ya magharibi ya New South Wales, wanaomba msaada wa ziada wakati kesi za COVID-19 zinaendelea kusambaa ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 24 Agosti 21 from 2021-08-25T06:11:41

Jimbo la NSW laendelea kuelemewa na Corona 

Victoria yaanza chanjo

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Agosti 21 from 2021-08-24T11:01:45

Jimbo la NSW laweka rekodi maambizo ya Uviko-19

Huku Waziri Mkuu akatatamaa nchi kutokuwa na maambukizi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kufungiwa ndani kutokana na Uviko 19 kulivyoathiri wafanyabiashara from 2021-08-18T05:56:17

Wakazi wa Jimbo la NSW hasa mji wa Syndey wameendelea kufungiwa ndani kwa kile kilichoelezewa na wananchi hao kuwa ni sheria ngumu ndefu kutokea nchini humu.

SBS ilizungumza na mmoja wa wa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! ni masaibu gani watu wakaribu wa walio patwa na COVID-19 hupitia? from 2021-08-18T04:27:31

Maambukizi ya Coronavirus yana endelea kurekodiwa kote nchini Australia kila siku, na kulazimasha waliopatwa na virusi hivyo pamoja na watu wa karibu yao kujitenga kwa muda wa wiki mbili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 17 Agosti 2021 from 2021-08-17T09:07:50

Jimbo la NSW larekodi visa 452 vya Uviko 19

Huku ikirekodi visa 24, Waziri Victoria ashutumu jamii ya Wayahudi kukiuka sheria za Uviko 19 

Nalo Jimbo la ACT laonywa kuongezeka m...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 15 Agosti 2021 from 2021-08-15T13:39:28

Maafisa wa afya jimboni New South Wales wana wasiwasi kuhusu jamii zawatu wa asili katika eneo la magharibi ya jimbo hilo, ambako kesi mpya 21 zimetambuliwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Claude: "Mashirika ya misaada kuwasaidia wakimbizi kujaza fomu za Sensa 2021" from 2021-08-12T03:44:05

Kila miaka mitano wakaaji wote pamoja na wageni nchini Australia, hushiriki katika zoezi la hesabu ya sensa ambayo ni lazima kwa kila mtu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 10 Agosti 2021 from 2021-08-10T10:05:47

Jimbo la NSW larekodi kesi mpya 356 za maambukizi ya coronavirus ndani ya jamii, wakati chanjo ya Moderna yapewa idhini yakutumiwa nchini katika vita dhidi ya COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sensa 2021: Kwa nini, na jinsi yakushiriki from 2021-08-09T10:39:31

Watu nchini Australia hujibu maswali kadhaa kuhusu umri, tamaduni, dini, ukoo, elimu yao na kadhalika, katika sensa ya taifa kila miaka mitano.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 8 Agosti 2021 from 2021-08-08T12:37:53

Dereva wa texi, ameingiza mji wa Cairns na maeneo yakaribu katika vizuizi vikali vya kudhiti usambaaji wa maambukizi ya COVID-19 ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dr Benedict:"Ukitaka jikinga corona kwa njia zisizo zakitaalam, utaathiri nyanja zingine za maisha yako" from 2021-08-04T09:10:42

Jimbo la NSW lina endelea kukabiliana na changamoto, ya ongezeko ya maambukizi ya virusi vya COVID-19 ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 3 Agosti 2021 from 2021-08-03T10:50:44

Chama kinacho wakilisha walimu jimboni New South Wales, kime ikosoa serikali kwaku warejesha shuleni wanafunzi wa darasa la 12, kwa sababu hatua hiyo ina zua hatari ya afya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mu Italiano atikisa ulimwengu wa riadha katika fainali ya mita 100 ya Olimpiki from 2021-08-02T03:25:31

Fainali ya michuano ya riadha ya mita 100 katika michezo ya Olimpiki mjini Tokyo, Japan ilikuwa yakipekee.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 1 Agosti 2021 from 2021-08-01T13:44:03

Mratibu wa chanjo nchini ame wahamasisha wa Australia wajitokeze kupokea chanjo, wakati jimbo la NSW larekodi kesi mpya 239 za COVID-19 ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Deborah"KASA imeshirikiana na baadhi yamaduka kutoa vyakula kwa wanachama wakati wa makatazo ya COVID-19 from 2021-07-28T00:05:01

Hakuna shaka janga la COVID-19 lime vuruga maisha ya kila mtu pamoja nakusababisha hasara na madhara yasiyo hesabika.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Julai 21 from 2021-07-27T09:34:07

Jimbo la New South Wales limerekodi vifo 10 vinavyotokana na virusi vya corona kupitia mlipuko wa hivi karibuni wa gonjwa hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vyama vya upinzani vyalalamikia kufungwa kwa kiongozi Tanzania from 2021-07-26T04:17:45

Kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe tangu wiki iliyo pita, kume zua sintofahamu nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Julai 2021 from 2021-07-25T13:10:38

Viongozi wa New South Wales na Victoria, wakosoa vikali raia walio shiriki katika maandamano dhidi ya makatazo na vizuizi vya COVID-19 mjini Melbourne na Sydney.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Nava"Hii hasara yote tume pata nani ata lipa? from 2021-07-21T22:31:33

Wakaaji wa maeneo ya jiji ya Sydney, wame ingia katika wiki ya tatu ya makatazo ya kukabiliana na usambaaji wa virusi vya COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Julai 2021 from 2021-07-20T10:05:46

Makatazo ya Victoria yameongezwa hadi usiku wa manane wa Jumanne 27 Julai 2021, wakati mamlaka wa afya wanakabiliana na mlipuko wa aina ya kirusi cha Delta cha COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ni mabadiliko gani yame husika katika marejesho yako ya kodi mwaka huu? from 2021-07-18T23:25:49

Msimu wa kodi ume anza na unaendelea kwa kina. 

 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 18 Julai 2021 from 2021-07-18T12:58:05

Mamlaka jimboni Victoria hawaja tupilia mbali wazo laku ongeza muda wa siku tano za makatazo, baada yakurekodi kesi zingine mpya 17 za coronavirus.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rahab:"Kama unaishi mwenyewe ni vigumu sana, unasikia umelemewa wakati huu wa makatazo ya COVID-19" from 2021-07-14T23:12:26

Janga la COVID-19 lina endelea kusababisha changamoto nyingi kwa jamii na mamlaka wanao jaribu kudhibiti maambukizi ndani ya jamii nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Pasi:"Watu wa Wollongong tuna adhibiwa kwa dhambi za watu wa Sydney." from 2021-07-14T00:40:30

Wakaaji katika kanda ya Wollongong wamejipata chini ya makatazo na vizuizi vyaku kabiliana na usambaaji wa COVID-19, baada ya ongezeko ya kesi hizo katika maeneo ya Sydney jimboni New South Wale...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Julai 2021 from 2021-07-13T09:43:42

Serikali za shirikisho na jimbo la New South Wales, zimetangaza mfuko wa pamoja wa msaada wakiuchumi, kwa watu binafsi na biashara ambazo zime athiriwa na makatazo ya maeneo ya Greater Sydney.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Nancy"Nivizuri kuzuia kuliko kujaribu kutengeneza, wakati janga imeharibu" from 2021-07-12T04:56:10

Wakaaji wamaeneo ya Sydney, wame anza wiki yatatu yamakatazo na vizuizi vya kukabiliana na Coronavirus.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Julai 2021 from 2021-07-11T13:37:01

Kampeni mpya ya matangazo inayowahamasisha wa Australia wachukue chanjo za COVID-19, imezinduliwa na serikali ya shirikisho.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wiki ya NAIDOC- Ponya Nchi! from 2021-07-06T22:50:25

Wiki ya NAIDOC ni tukio maarufu kwenye kalenda ya Australia. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 6 Julai 2021 from 2021-07-06T10:01:32

Kiongozi wa jimbo la New South Wales Gladys Berejiklian, amesema wakaaji wa Sydney na viunga vyake, wata pata taarifa Jumatano iwapo makatazo yao yata ongezwa zaidi ya Ijumaa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Aliye pokea chanjo ya COVID-19 afunguka kuhusu madhara aliyopata from 2021-07-05T07:51:45

Wanachama wengi katika jamii zawa hamiaji wamekuwa wakielezea wasi wasi wao kuhusu chanjo za COVID-19 zinazo tolewa nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 4 Julai 2021 from 2021-07-04T13:27:41

Naibu afisa mkuu wa afya wa Australia ame wahamasisha wafanyakazi wa huduma ya wazee, wachanjwe dhidi ya COVID-19, baada ya mlipuko wa virusi mjini Sydney.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
New South Wales yarekodi ongezeko kubwa zaidi la COVID-19 mwaka huu from 2021-07-03T02:45:56

Waziri wa Afya Greg Hunt amesema kazi inafanywa kuwa weka wa Australia ambao wako ng’ambo, ndani ya ndege zakuwarejesha nchini baada ya idadi ya wasafiri wanao ruhusiwa kurejea nchini kupunguzwa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Calvin Mwita aweka wazi siri za uigizaji nchini Australia from 2021-07-01T04:22:34

Calvin Mwita ni mwigizaji mwenye asili ya Tanzania ambaye nyota yake inaendelea kung'aa katika sekta ya uigizaji ya Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Lazima wafanyakazi katika makaazi ya huduma ya wazee wachanjwe from 2021-06-29T22:53:51

Itakuwa lazima kwa wafanyakazi wa huduma za wazee kupata chanjo za coronavirus, na kundi la wafanyakazi linalo lengwa linatarajiwa kupata dozi yao ya kwanza katikati ya Septemba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 29 Juni 2021 from 2021-06-29T10:33:13

Kiongozi wa jimbo la Magharibi Australia Mark McGowan, ametangaza kufungwa kwa mpaka wa jimbo lake na Queensland, baadae jioni ya leo kwa masaa ya Magharibi Australia, ambako wasafiri watahitaji...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wa Australia kupewa kionjo cha maisha katika kambi za wakimbizi from 2021-06-29T02:16:51

Mashirika yanayo toa huduma kwa wakimbizi na waomba hifadhi mjini Sydney, Australia, yana andaa maonesho yakutoa elimu kwa jamii pana kuhusu uzoefu wa wakimbizi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 27 Juni 2021 from 2021-06-27T12:55:52

Mkutano wa dharura wa kamati ya usalama wa Australia, utafanywa kesho Jumatatu 28 Juni 2021, kujadili milipuko ya COVID-19 nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wiki mbili za vizuizi za anza kwa vitongoji vya Sydney, Blue Mountains, Wollongong na Central Coast from 2021-06-26T01:25:43

Vizuizi vya wiki mbili vime anza kwa maeneo pana ya mji wa Sydney, Blue Mountains, Central Coast na Wollongong. Vizuizi hivyo vili anza jana jumamosi 26 Juni 2021 na vitadumu hadi usiku wa manan...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Theophile:"Siamini matatizo yanayo endelea Congo yatafika hapa Australia" from 2021-06-22T22:50:41

Migogoro yakikabila inayo endelea katika jimbo la Kusini Kivu, Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, ina endelea kuzua wasiwasi katika jamii kadhaa nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 22 Juni 2021 from 2021-06-22T08:56:01

Wakaaji wote wa Sydney kuvaa barakoa kwa wiki ya ziada katika sehemu za ndani zamatukio, baada ya ongezeko la visa vya maambukizi ya COVID-19 ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Moise:"Sisi ni wakongomani na hakuna kabila ambalo lita ondoa kabila lingine Congo" from 2021-06-22T01:24:08

Baadhi ya wanachama wa jamii yawanyamurenge wenye asili ya Kivu Kusini, katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, wanao ishi nchini Australia, waliandamana mbele ya bunge la taifa mjini Canberra....

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Makato ya uwekezaji yalazimisha mashirika yakibinadam kupunguza huduma kwa wakimbizi from 2021-06-21T11:13:45

Moja ya mashirika makubwa yanayo toa huduma ya makazi kwa wakimbizi nchini Australia, inakabiliwa na changamoto yamakato kwa idadi ya wafanyakazi pamoja na uwekezaji, wakati idadi ya wateja wao ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Superannuation ni nini na, ni kwanini ni muhimu kwako? from 2021-06-20T22:51:55

Superannuation ni mpango wa lazima wakuweka akiba, ulio undwa kuwasaidia wa Australia kuokoa hela ambazo wanaweza tumia watakapo staafu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 20 Juni 2021 from 2021-06-20T12:52:16

Chanjo ya Covid-19 inayo undwa jimboni Victoria, itakuwa ya kwanza nchini Australia, kutumia teknolojia ya mRNA kufika hatua ya kwanza yamajaribio ya zahanati.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Waafrika na Wayahudi waimarisha uhusiano jimboni New South Wales from 2021-06-16T05:08:48

Mashirika ya African Australian Advocacy Centre na NSW Jewish Board of Deputies, yali andaa mkutano maalum ambako wanachama wa jamii hizo wali jadili maswala mengi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mvutano waendelea kati ya ofisi ya rais na mahakama Kenya from 2021-06-14T06:47:49

Rais Uhuru Kenyatta ameshtumiwa kwa kukiuka sheria baada ya kukataa kuwateua majaji sita kati ya arobaini, walio kuwa wamependekezwa na tume ya huduma ya mahakama. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Juni 21 from 2021-06-14T04:13:22

Mwili wapatikana kwenye nyumba iliyoharibiwa na moto, huku shinikizo laendelea kuikomboa familia ya Kitamil kutoka kizuizini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wahamiaji waondoka Australia kwa sababu ya sheria za mipaka from 2021-06-08T22:57:26

Uamuzi wa serikali ya madola kutofungua mipaka yakimataifa hadi katikati ya mwaka ujao, umekuwa pigo la mwisho kwa wahamiaji wengi ambao wamesema, hawawezi subiri hadi wakati huo kuwaona jamaa w...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 8 Juni 2021 from 2021-06-08T08:45:54

Serikali ya Magharibi Australia yawaruhusu, watu wenye kati ya miaka 30 hadi 49, kupokea chanjo ya coronavirus kuanzia Alhamisi na mamlaka wa afya wa Victoria, wazingatia kuregeza vizuizi jimbon...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakujifunza Kiingereza bure nchini Australia from 2021-06-07T00:00

Serikali ya Australia inatoa mafunzo ya bure ya kiingereza, pamoja na ujuzi jumuishi wamakazi, ili wahamiaji waweze shiriki katika maisha ya Australia katika hali yenye maana.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 6 Juni 2021 from 2021-06-06T13:19:55

Serikali ya madola itaipa jimbo la Victoria idadi ya chanjo za Pfizer lakimoja za ziada, katika wiki zijazo kwa ajili yaku kabiliana na maombi mengi ya chanjo hiyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mahakama kuamua hatma ya mchakato wa BBI nchini Kenya from 2021-06-02T04:07:52

Mahakama ya rufaa nchini Kenya imeamuru mchakato wakubadili katika wa BBI isikizwe 2 Juni 2021, wahusika wote katika kesi hiyo wakitakiwa kufika mahakamani. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wafanyakazi wa huduma ya uzeeni wapewa kipaumbele kuchanjwa jimboni Victoria from 2021-06-01T09:48:10

Jimbo la Victoria limerekodi kesi mpya tatu za COVID-19, wakati orodha ya maeneo hatari ya maambukizi inaendelea kuongezeka jijini Melbourne.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 1Juni 2021 from 2021-06-01T08:45:02

Mamlaka ya Afya jimboni Victoria, waongeza kasi kutambua walio jumuika na watu wenye virusi vya COVID-19, baada ya vipimo kufichua ongezeko ya visa vipya jimboni humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Matokeo yakuruhusu viza yako kumalizika from 2021-05-31T12:31:19

Je! Nini kinaweza fanyika mtu akiwa nchini Australia na viza yake ina isha? Watu ambao wako nchini na si raia, wanaweza kamatwa nakuondolewa nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 30 Mei 2021 from 2021-05-30T13:27:27

Maelfu waendelea kuuhama mji wa Goma, wakihofia mlipuko wa pili wa volcano.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Ni kwa nini wakaazi wa Goma hawakuonywa kabla ya mlipuko wa volcano? from 2021-05-27T22:28:14

Mlipuko wa volkano katika jimbo la Kaskazani Kivu, Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, ume wauwa watu 15, nakuharibu zaidi ya nyumba 500.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mama Elie afunguka jinsi volcano ya Mlima Nyiragongo iliathiri familia yake from 2021-05-26T21:28:23

Wakaazi wa maeneo ya mji wa Goma, walijipata waki kimbilia usalama wao baada ya volcano kulipuka ghafla katika Mlima Nyiragongo. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi wahamiaji wanaweza chukua hatua katika maridhiano from 2021-05-25T23:01:45

Wiki ya maridhiano yakitaifa, ni wakati wa waAustralia wote kujifunza kuhusu historia zetu tunazo changia, tamaduni, mafanikio pamoja nakuchangia katika maridhiano kwakujenga mahusiano bora na w...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 25 Mei 2021 from 2021-05-25T08:43:35

Juhudi zaendelea kuwatafuta wahanga wa mlipuko wa volcano ya mlima Nyiragongo, wakati wahanga wanasubiri kupokea misaada yakibinadam.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mlipuko wa Volcano wasababisha maafa na uharibifu mkubwa Goma from 2021-05-24T20:26:58

Mlipuko wa volkano katika jimbo la Kaskazani Kivu, Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, ume wauwa watu 15, nakuharibu zaidi ya nyumba 500.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kenya kuishiwa na chanjo ya COVID-19 kufikia misho wa mwezi from 2021-05-24T00:19:08

Hofu yaongekeza kuhusu uwezako wa chanjo za COVID-19 kuisha nchini Kenya, wakati wowote kuanzia sasa na kati ya mwezi ujao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 23 Mei 2021 from 2021-05-23T13:38:35

Maelfu ya watu wameukimbia mji wa Goma ulio mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kuingia Rwanda baada ya kutokea mripuko wa Volcano kwenye mlima Nyiragongo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tishio la janga la Corona awamu ya tatu Tanzania from 2021-05-21T07:15

Kamati maalumu ya Corona Tanzania, yatoa tahadhari baada ya kuwasilisha maoni juu ya mpango wa kujilinda na janga hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 18 Mei 2021 from 2021-05-21T02:47:28

Ubaguzi wa rangi waendelea kuwa tishio Australia

  Na mmkazi mmoja ashambuliwa na kuuawa na papa huku Mfanyabiashara wa pili wa Australia afariki kwa Corona India

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mnyama alishwa nyasi J'burg from 2021-05-17T23:27:06

Simba Sports Club ya Tanzania ili ingia dimbani dhidi ya Kaiser Chiefs ya Afrika kusini, katika mechi yakuwania nafasi katika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mahakama yapiga BBI nyundo from 2021-05-17T01:24:33

Mchakato wa BBI umopekea pigo kubwa baada ya majaji nchini Kenya, kusema rais Uhuru Kenyatta alifanya makosa kadhaa ya kikatiba alipo anzisha mchakato huo wa mabadiliko ya kikatiba.

&...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Bajeti ya 2021-22 yapokewa kwa hisia mseto from 2021-05-16T13:51:03

Bajeti ya taifa iliyo tangazwa na serikali imelakiwa kwa hisia mseto, licha ya lengo layo kuwa ni kusaidia Australia katika mchakao wa uponaji kutoka mtikisiko wa uchumi uliosababishwa na corona...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 16 Mei 2021 from 2021-05-16T13:32:22

Waziri mkuu Scott Morrison amesema kusisitiza vipimo vya watu viwe na matokeo yakutokuwa na COVID-19, kabla yakuja Australia ni tahadhari inayo faa. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tim "Uwekezaji wa serikali kwa huduma ya malezi ya watoto hautoshi!" from 2021-05-15T00:07:13

Mweka hazina wa taifa alitangaza bajeti ya mwaka huu, ambayo ilikuwa yapili kutangazwa chini ya wingu la janga la COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Noah: 'Tunajivunia mafanikio ya kijana wetu Bruce Kamau' from 2021-05-12T22:20:05

Jamii yawakenya imesambaa katika majimbo yote nchini Australia, na inasifa yakuwa na wanachama ambao ni viongozi katika taaluma zao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakupata viza yamakazi yakudumu Australia haraka from 2021-05-11T22:56:29

Kama una ujuzi wakipekee katika sekta ambazo serikali inalenga, unaweza pata viza ya makazi yakudumu nchini Australia ndani ya muda wa miezi michache.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 11 Mei 2021 from 2021-05-11T09:57:42

Uwekezaji kwa wanawake, huduma yamalezi yawatoto, huduma ya uzeeni, ulemavu na afya ya akili watarajiwa kuwa sehemu kubwa ya bajeti ya taifa 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! umeridhishwa na hukumu aliyopewa Dominic Ongwen? from 2021-05-11T01:26:57

Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army nchini Uganda, LRA Dominic Ongwen amekutwa na hatia ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Miundombinu na huduma ya uzeeni vyapewa kipaumbele katika bajeti ya taifa from 2021-05-10T08:34:08

Serikali ya shirikisho imedokeza kuwa miundombinu na huduma ya uzeeni ni sehemu yavipaumbele, kwa matumizi kabla ya bajeti ya taifa rasmi kutolewa Jumanne 11 Mei 2021.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 9 Mei 2021 from 2021-05-09T13:38:22

Wanaharakati wamapenshena wamekaribisha tangazo la serikali, la nyongeza ya uwekezaji katika sekta hiyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Maandamano yamashabiki yana ushawishi kiasi gani kwa wamiliki wa vilabu? from 2021-05-09T00:00

Kwa muda mrefu mashabiki wa soka Uingereza, wame zungumzia kero zao dhidi ya wamiliki wa vilabu vyao bila kupata suluhu. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Cecil "Karibuni tuchangie tamaduni yawarundi katika siku yakina mama" from 2021-05-07T03:11:59

Viongozi wa jamii yawarundi wanao ishi mjini Sydney, Australia wana andaa sherehe maalum kwa niaba yakina mama katika jamii yao, baada ya vizuizi vya COVID-19 kuwazuia kufanya hivyo mwaka jana.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wito waongezeka kufanya udhibiti wa kulazimisha uwekosa la jinai from 2021-05-04T20:20:29

Wanaharakati wakupinga ukatili wa nyumbani, wanataka tabia zakudhibiti ambazo maranyingi hufuatwa na unyanyasaji wakimwili zifanywe kuwa jinai.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 4 Mei 2021 from 2021-05-04T08:54:59

Jimbo la Magharibi Australia kusaidia jamii yawahindi jimboni humo kutuma msaada kwa jamaa wao nchini India, na serikali ya jimbo la NSW, kuwekeza katika teknolojia kuunda chanjo za mRNA

&...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rais wa Somalia atangaza ameachana na nia yakusalia madarakani from 2021-05-03T02:12

Baada ya wiki za maandamano na shinikizo kali kutoka vyama vya upanzani, Rais wa Somalia Mohamed Abdullahi Farmajo ametangaza kuwa ana achana na nia yake yakusalia madarakani kwa miaka mbil...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 2 Mei 2021 from 2021-05-02T12:53:49

Upinzani wakiri kushindwa katika uchaguzi mkuu wa Tasmania na jimbo la magharibi Australia, laeupuka vizuizi vingine vya coronavirus.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Baraza lamawaziri wakitaifa lajadili ndege za dharura kwa wa Australia ambao wako India from 2021-05-01T02:30

Safari za ndege za dharura zina andaliwa kwa niaba yawa Australia ambao wamekwama nchini India baada ya 15 Mei ila, waziri mkuu wa wilaya ya kaskazini amesema, marufuku ya usafiri yanastahili on...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Alfred Koech afunguka kuhusu vizuizi vya ghafla Magharibi Australia from 2021-04-28T05:28:40

Wakazi wa jimbo la Magharibi Australia wameishi, kwa muda mrefu bila vizuizi vyovyote vya Coronavirus tofauti na wenzao kote nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 27 Aprili 2021 from 2021-04-27T09:38:23

Waziri Mkuu Scott Morrison ametetea mfumo wa Australia wa karantini ya hoteli, licha ya wito kwa wasafiri wanao rejea nchini kutoka ng'ambo wajitenge katika vifaa vyakikanda.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 25 Aprili 2021 from 2021-04-25T13:23:41

Ibada zimefanyika hii leo kuadhimisha mwaka wa 106, wa vikosi vya Australia na New Zealand kutua katika eneo la Gallipoli nchini Uturuki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Utofauti wa tamaduni zawa Anzacs wa Australia from 2021-04-25T00:46:32

Kila mwaka tarehe 25 Aprili, huwa tuna adhimisha Anzac Day, ni siku ambapo tunawakumbuka walio hudumu nakufia vitani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Stephen Tongun afunguka kuhusu uigizaji nchini Australia from 2021-04-24T08:49:02

Stephen Tongun ni mwanasheria, mjasiriamali na mwigizaji katika tasnia ambako waigizaji wenye asili ya Afrika ni nadra.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Baraza lamawaziri lakitaifa lakutana, wakati safari za eneo la Trans Tasman zaanza tena from 2021-04-20T22:53:34

Baraza lamawaziri lakitaifa lilikutana jana kwa mara ya kwanza, tangu wakati mikutano ya mara mbili kwa wiki ilipotangazwa, kwa ajili yakurejesha mradi wakitaifa wa chanjo katika mwelekeo unao f...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 20 Aprili 2021 from 2021-04-20T08:59:38

Madaktari wameonya kuwa changamoto kubwa ya chanjo ya coronavirus nchini Australia kwa sasa ni pigo kwa imani ya umma. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii yawatanzania wa Melbourne, yamkumbuka hayati Dkt Magufuli from 2021-04-19T23:00

Jamii yawatanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wame kuwa waki ishi chini ya vizuizi kadhaa wakati huu wa janga la COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakenya wajitokeza kunusuru familia mjini Sydney, Australia from 2021-04-19T08:53:49

Jamii yawakenya wanao ishi mjini Sydney, wanasifa ya ukarimu na mshikamano.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakenya walazimisha shirika la fedha ulimwenguni (IMF) kujitetea from 2021-04-18T23:00

Maelfu yawakenya walijumuika mitandaoni kuonesha ghadhabu yao kwa ongezeko ya madeni, na gharama kubwa ya maisha nchini mwao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 18 Aprili 2021 from 2021-04-18T13:45:16

Wa Australia walio chanjwa kuanza kusafiri kimataifa baadae mwaka huu, na safari kati ya Australia na New Zealand kuanza tena saa sita usiku wa 18 Aprili 2021.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii yawanyarwanda wa New South Wales, wafunguka kuhusu mauaji ya 1994 from 2021-04-14T23:00

Picha na kanda za video zilizokuwa zikitoka nchini Rwanda katika mwezi wa Aprili 1994, zili kera nakutikisa jamii yakimataifa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! unajua jinsi yakutambua visa vya unyanyasaji wa nyumbani? from 2021-04-13T20:23:50

Takwimu zinaendelea kuonesha kuwa wanawake huathiriwa zaidi kwa maswala ya unyanyasaji wa nyumbani, takwimu hizo zimeonesha pia kuwa, wanaume nao huathiriwa kwa unyanyasaji wa nyumbani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 13 Aprili 2021 from 2021-04-13T08:43:22

Mdhibiti wamadawa nchini Australia, ametambua kesi ya pili nadra yakuganda kwa damu, ambayo ime ungwa na chanjo ya AstraZeneca.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wa Australia wakaribisha tena tamaduni za Ramadan, zilizo simamishwa na vizuizi mwakajana from 2021-04-13T04:40:09

Zaidi ya nusu ya milioni yawa Islamu wa Australia, wana adhimisha siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadan ambao ume anza hii leo jumanne 13 Aprili 2021.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali ya toa jibu kwa ripoti muhimu kuhusu heshima kazini from 2021-04-12T04:03:25

Serikali ya shirikisho imetoa jibu kwa ripoti ya tume ya kamishna wa ubaguzi wa jinsia, kuhusu heshima kazini baada ya zaidi ya miaka mbili. Jibu hilo limepokewa kwa hisia mseto.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 11 Aprili 2021 from 2021-04-11T13:51:03

Wakazi katika jimbo la magharibi Australia wanahama nakupata makazi, wakati kimbunga chakitropiki Seroja kina karibia pwani ya kati ya magharibi jimboni humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Eve: "Tuwalinde watoto dhidi ya unyanyasaji wa nyumbani" from 2021-04-10T01:02:21

Shirika la Great Lakes Agency for Peace and Development International (GLAPD), lilishirikiana na chuo cha Western Sydney kufanya utafiti kwa swala la unyanyasaji wa nyumbani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Watanzania wana deni la JPM? from 2021-04-09T03:00

Watanzania wanao ishi nchini Australia wali ungana na watanzania kote duniani, katika ibada maalum yakutoa heshima zao kwa hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Viongozi wa jamii watathmini mwaka mmoja baada ya mwanzo wa COVID-19 from 2021-04-07T02:23:38

Vizuizi vya Coronavirus vinaendelea kuondolewa kote nchini Australia, hatua ambayo imekaribishwa na jamii zote pamoja na viongozi wao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 6 Aprili 2021 from 2021-04-06T08:53:26

Waziri Mkuu Scott Morrison amesema tangazo la New Zealand kuhusu usafiri wa watu kati ya Australia na New Zealand bila mahitaji ya karantini, ni hatua muhimu kwa nchi zote mbili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Askofu Peter:"Hange kombolewa mwanadamu bure" from 2021-04-05T01:00

Shirika la Sing Hosanna International Ministries, lili andaa mkutano maalum kuadhimisha Pasaka mjini Fairfield, New South Wales, Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 4 Aprili 2021 from 2021-04-04T13:20:08

Madaktari nchini Australia wanawahamasisha watu, waendelea kuwa watulivu, nawapokee chanjo wakati mamlaka ya afya, wanapendekeza pasiwe mageuzi kwa utoaji wa chanjo nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakristo kote nchini Australia, wajumuika katika ibada za Pasaka from 2021-04-04T07:26:43

Kwa wa Australia wengi, Ijumaa ya pasaka ni siku ya familia na sherehe, kuchangia vyakula vya baharini na kuenda fukweni. Na kwa wengine ambao ni wakristo, ni siku yaku abudu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dr Tungaraza:"Jinsia ya Rais Samia haijawahi na haitakuwa kikwazo kufanya kazi zake" from 2021-04-02T02:33:13

Mhe Samia Suluhu Hassan alitengeza historia baada yakuapishwa, kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
UNHCR yapewa siku 14 kufunga kambi za Dadaab na Kakuma nchini Kenya from 2021-03-30T19:22:11

Serikali ya Kenya imetoa muda wa siku 14 kwa shirika la umoja wa mataifa kuhusu wakimbizi UNHCR, kuzifunga kambi za wakimbizi za Daadab na Kakuma kufuatia vitisho vya kiusalama vinavyosaba...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 30 Machi 2021 from 2021-03-30T07:59:16

Jimbo la Queensland linakabiliana na milipuko mbili tofauti ya COVID-19, inayo ungwa na wafanyakazi wa afya. 

 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwito mpya wa ibuka kuhusu mageuzi kwa majengo katika maeneo ya mafuriko from 2021-03-29T08:52:45

Wataalam wakubuni miji wanasema maisha yanahatarishwa, kwa sababu ya ukosefu wamipango katika maeneo yamafuriko, na wanaomba mageuzi kwa majengo ambayo yako katika nyanda za mafuriko.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 28 Machi 2021 from 2021-03-28T11:55:59

Takriban idadi yawa Australia lakimoja elfu hamsini hivi karibuni wanaweza poteza ajira, wakati ruzuku yamapato yaserikali ya JobKeeper yameisa hii leo jumapili 28 Machi 2021.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hadija "Afrika si bara la giza, tuna uwezo na rasilimali zakujiendeleza" from 2021-03-25T00:01:11

Bara la Afrika kwa muda mrefu limezingatiwa kama bara la giza, hiyo ni licha ya bara hilo kujawa rasilimali na madini ya kila aina.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi ya kurudi kwako kazini kwenye mazingira ya COVID-salama from 2021-03-23T19:26:47

Utafiti mpya unaonyesha kwamba Waaustralia wawili kati ya watano wana wasiwasi juu ya usafi mahali pao pa kazi, wakati zaidi ya robo wamekuwa na wasiwasi juu ya vijidudu tangu kuanza kwa janga h...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 23 Machi 2021 from 2021-03-23T09:32:56

Mvua na mafuriko ya sababisha shule kufungwa Kusini Mashariki Queensland, na onyo zatolewa katik amaeneo ya Magharibi Sydney, baada ya ongezeko ya mvua nyingi na mafuriko.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Halima "Uongozi wa Magufuli, niwakipekee si wakulinganishwa" from 2021-03-22T19:18:15

Watanzania wanao ishi Australia, wameungana na wenzao barani Afrika kuombeleza kifo cha aliyekuwa rais wa awamu ya tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Louis:"Magufuli alikuwa akiwahamasisha sana wajasiriamali" from 2021-03-22T04:28:15

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli wa Tanzania, alikuwa kipenzi cha watanzania wengi wa pato la chini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 21 Machi 2021 from 2021-03-21T12:55:16

Shirika la uokoaji la dharura jimboni NSW, lakabiliwa kwa simu zaidi ya elfu sita kutoa msaada katika mafuriko yakihostoria jimboni humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
VAR yamkinga mwalimu wa Wanderers dhidi ya hasira yamashabiki from 2021-03-19T02:29:46

Mwalimu wa Western Sydney Wanderers FC, Carl Robinson amejipata chini ya shinikizo zito hivi karibuni, baada ya timu yake kuwa na matokeo mengi mabaya. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kuwa salama wakati wa uvuvi kwenye miamba from 2021-03-16T19:24:53

Uvuvi wa miambani ni shughuli maarufu hapa Australia, na wavuvi zaidi ya milioni wanapanda miamba kuvua samaki wao kila mwaka. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 16 Machi 2021 from 2021-03-16T07:56:52

Serikali ya shirikisho yasema wa Australia wanaweza tarajia makato ya kodi, ya takriban bilioni 12, kati ya sasa na mwezi wa Septemba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je! Raia wana haki yakupewa taarifa kuhusu, hali ya afya ya viongozi wao? from 2021-03-15T03:36:59

Viongozi kadhaa katika chama tawala nchini Tanzania, wakiongozwa na waziri mkuu wamekana madai yanayo endelea kusambaa kuwa, Rais Magufuli anapokea matibabu ya coronavirus nje ya nchi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 14 Machi 2021 from 2021-03-14T12:21:42

Chama cha Labor cha Magharibi Australia, kimeshinda kwa urahisi muhula mwingine kusalia serikalini, naku ondoa sehemu kubwa ya upinzani wa chama cha Liberal ndani ya bunge la jimbo hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mark McGowan aangamiza chama cha Liberal, katika uchaguzi Magharibi Australia from 2021-03-14T04:46:19

Chama cha Labor kimeshinda muhula wa pili serikalini, katika uchaguzi wa jimbo la Magharibi Australia uliofanyika wikendi hii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Shinikizo kwa baadhi yamawaziri wa Morrison, yawa weka kwenye njia panda from 2021-03-11T09:06:08

Uongozi wa Waziri Mkuu Scott Morrison, unaendelea kuyumbishwa kwa kashfa zinazo wakabili baadhi yamawaziri wake muhimu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Pascazie "tunataka vunja mambo yakutengana, natuishi kwa misingi ya umoja" from 2021-03-09T19:16:01

Shirika la African Women Unity, huwakilisha wanawake kutoka kanda ya mashariki ya Afrika, wanao ishi mjini Sydney Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 9 Machi 2021 from 2021-03-09T07:58:51

Waziri Mkuu awaeleza wanao pokea malipo ya JobSeeker watapokea msaada wa ziada, licha ya mfumo huo kuratibiwa kusitishwa mwisho wa mwezi huu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rais Kenyatta "Wahudumu wa afya kupokea chanjo ya COVID-19 kwanza" from 2021-03-08T06:11:50

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, ametupilia mbali uvumi kuwa, wanasiasa watapokea chanjo ya COVID-19 kabla ya wahudumu wa afya ambao wako katika mstari wa mbele ya huduma.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 7 Machi 2021 from 2021-03-07T11:49:28

Waziri Mkuu wa zamani Gillard ahamasisha wa Australia, watafute taarifa sahihi kuhusu chanjo za COVID-19, na shinikizo yakujiuzulu, yamlazimisha waziri wa ulinzi kuongeza muda walikizo ya matiba...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tathmini yatangazwa kwa tamaduni ya kazi katika bunge la taifa from 2021-03-07T05:00:04

Serikali ya taifa imetangaza tathmini kwa tamaduni ya kazi ndani ya bunge la taifa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mh Dkt Luc Mulimbalimba, afunguka kuhusu jaribio kwa maisha yake DRC from 2021-03-05T05:09:34

Siasa sawia na taaluma zingine huwa na changamoto mbali mbali, zinazo wakabili wafanyakazi pamoja na watu wanao shirikiana nao.  

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mabadiliko ya bahari au miti: Makala ya vidokezo vya kuhamia mikoani from 2021-03-02T19:16:02

Mabadiliko ya bahari au miti ni ndoto ya Waaustralia wastaafu wengi, ambao hutafuta maisha ya polepole na yenye utulivu katika jamii ndogo ya pembezoni mwa bahari au jamii ya eneo la bara.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 2 Machi 2021 from 2021-03-02T07:48:09

Kashfa za ubakaji zaendelea kuindama serikali ya Morrison, licha yajuhudi za serikali kuelekeza mtazamo kwa chanjo za COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dozi za kwanza za chanjo ya coronavirus za AstraZeneca zawasili nchini from 2021-03-02T04:20:36

Australia imerekodi siku nyingine bila kuwa na kesi ya maambukizi yoyote ya virusi ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rais Magufuli aonya kuhusu baadhi ya barakoa zinazo uzwa from 2021-03-01T05:56:16

Rais John Magufuli wa Tanzania, amekosolewa kwa muda mrefu kwa muonekano wake wakuto wekea umuhimu mavazi ya barakoa katika vita dhidi ya virusi vya Coronavirus. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya Habari 28 Februari 2021 from 2021-02-28T11:53:37

Matangazo katika jamii kutoa hamasa kuhusu kupokea chanjo, yapigwa jeki ya uwekezaji wama milioni na serikali ya shirikisho.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii yawakenya jimboni Victoria, yawafungulia milango wanafunzi wakimataifa from 2021-02-27T02:48:16

Jamii yawakenya imechukua hatua zakuwanusura, wanachama walio athiriwa na janga la COVID-19 jimboni Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rosemary Kariuki afunguka kuhusu kutengeza historia, katika tuzo zamu Australia wa mwaka 2021 from 2021-02-26T05:56:32

Tuzo zamu Australia wa mwaka zilianza kutolewa katika mwaka wa 1960, ila tangu wakati huo kumekuwa kuwa mchanganyiko wa wanao pokea tuzo hizo kwa upande wa jinsia zao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sharon achangia uzoefu wake wa vizuizi vya COVID-19 from 2021-02-25T04:14

Wanafunzi wakimataifa nchini Australia, hukabiliana na changamoto nyingi katika maisha yao ya kila siku.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mh Dkt Mulimbalimba afunguka kuhusu juhudi, zakukabiliana na COVID-19 Kusini mwa Kivu, DR Congo from 2021-02-23T19:18:05

Chanjo za coronavirus zime anza kutolewa katika nchi nyingi duniani, nayo mataifa mengi barani Afrika yanaendelea kutafuta mbinu zakupata chanjo hizo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 23 Februari 2021 from 2021-02-23T07:52:03

Serikali ya shirikisho yapiga jeki malipo ya JobSeeker, ila yata ambatana na masharti makali yakutimizwa kwa wanao pokea malipo hayo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wa Australia wakaribisha utoaji wa chanjo ya kwanza ya COVID-19 from 2021-02-22T07:09:58

Uzinduzi wa chanjo ya COVID-19 nchini Australia, umepokewa kwa afueni na matumaini na jamii yakimatibabu, pamoja na watu wa kwanza walio pokea chanjo hiyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 21 Februari 2021 from 2021-02-21T12:00:08

Mradi wa utoaji wa chanjo za COVID-19 nchini Australia, umeanza siku moja mapema kuliko ilivyo ratibiwa mjini Sydney.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ujumuishi na utofauti washerehekewa kupitia mradi wa ajira, katika michuano ya wazi ya Australia from 2021-02-18T19:21:22

Kusimamia michuano ya wazi ya tennis ya Astralia wakati wa janga, itakuwa mafanikio makubwa kwa waandalizi wa michuano hiyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 16 Februari 2021 from 2021-02-16T08:13:24

Mdhibiti wa matibabu nchini Australia, imetoa idhini kwa chanjo ya coronavirus ya chuo cha Oxford na kampuni ya AstraZeneca, itumiwe nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi gani michezo ya kubahatisha inavyoweza kukuza uhusiano wenye nguvu na wajukuu zako wakati wa COVID-19? from 2021-02-15T22:11:42

Wakati wa COVID-19, uwezo wetu wa kuonana uso kwa uso na familia ulizidi kuzuiliwa katikati ya vizuizi vya kusafiri. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vizuizi vipya vya Coronavirus vya athiri biashara jimboni Victoria, wakati maambukizi yakiongezeka from 2021-02-14T21:48:04

Wakazi wa jimbo la Victoria wame anza kuishi chini ya masharti makali ya vizuizi kwa muda wa siku tano, wakati mamlaka wanafanya kazi kuzuia usambaaji wa aina ambukizi ya COVID-19 kutoka Uingere...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 14 Februari 2021 from 2021-02-14T12:26:20

Serikali ya taifa yawekeza dola milioni 1.3 kuhakikisha, taarifa kuhusu mradi wa chanjo ya coronavirus, inatafsiriwa kwa jamii zawahamiaji.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je umuhimu wakufunza watoto lugha yako ya asili ni nini? from 2021-02-12T19:26:16

Wahamiaji wengi nchini Australia hukabiliwa na changamoto, yakuwazoweza watoto wao lugha zao za asili katika nchi geni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rosemary Kariuki afunguka kuhusu tuzo yake ya shujaa wa jamii from 2021-02-12T02:47:05

Mwaka wa 2021 umekuwa wenye changamoto, na furaha tele kwa Bi Rosemary Kariuki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakusaidia watoto wako kukabiliana na janga from 2021-02-09T19:23:24

Kurudi kwenye maisha ya kawaida ya shule inaweza kuwa wakati wa kusisimua au wasiwasi kwa watoto baada ya likizo za majira ya joto.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 9 Februari 2021 from 2021-02-09T08:23:10

Mamlaka wasema mpango wa utoaji wa chanjo za COVID-19 nchini Australia, uko shwari kwa utoaji mwezi huu wapili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kusaidia watoto wako kukabiliana na janga from 2021-02-09T07:05:15

Kurudi kwenye maisha ya kawaida ya shule inaweza kuwa wakati wa kusisimua au wasiwasi kwa watoto baada ya likizo za majira ya joto. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kauli potofu kuhusu chanjo za COVID zamulikwa from 2021-02-08T09:22:57

Kundi la kwanza lawa Australia lita anza kupokea chanjo ya COVID-19 baadae mwezi huu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali ya taifa yasema iko tayari kwa utoaji wa chanjo za coronavirus from 2021-02-07T19:29:56

Serikali ya shirikisho imetangaza kuwa vyeti vitatolewa, kwa watu ambao watakuwa wame chanjwa, iwapo thibitisho itahitajika kwa ajili ya safari au kazi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 7 Februari 2021 from 2021-02-07T12:35:52

Wa Australia watakao pokea chanjo ya coronavirus, kupokea cheti cha uthibitisho chini ya mpango maalum wa serikali.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mchungaji David aweka wazi mipango ya mwaka, na huduma kwa waumini from 2021-02-05T01:59:59

Kila shirika na viongozi huanda mipango na vipaumbele vya mashirika na kazi zao, mwaka mpya unapo anza.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rosemary Kariuki afunguka kuhusu changamoto za uanaharakati from 2021-02-04T02:17:57

Rosemary Kariuki ni mwanaharakati maarufu jimboni New South Wales, na watu wengi katika jamii wamefaidi kupitia juhudi zake.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Waziri Gwajima:"Tanzania haina mpango wakupokea chanjo ya COVID-19" from 2021-02-02T19:17:59

Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema Jumatatu haina mpango wa kupokea chanjo ya COVID-19 ambayo imekuwa ikiripotiwa kuwepo na kutumika katika mataifa mengine.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 2 Januari 2021 from 2021-02-02T08:48:08

Moto mubaya wa misitu katika maeneo ya Perth Hills magharibi Australia, waongezeka kwa ukubwa wa hekta elfu saba na, baadhi ya wakazi wana elezwa wamechelewa kuondoka katika maeneo husika.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 31 Januari 2021 from 2021-01-31T12:28:26

Australia kutowekwa kwenye orodha ya nchi, ambazo zitawekewa masharti ya udhibiti wa mauzo ya chanjo ya COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
NSW yaregeza vizuizi kampeni mpya ya chanjo ikizinduliwa from 2021-01-29T23:16:02

Kuanzia Ijumaa tarehe 29 Januari, vizuizi vya COVID-19 viliregezwa katika jimbo la New South Wales, baada ya milipuko kadhaa ya virusi hivyo kudhibitiwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je COVID-19 imeathiri aje biashara za wajasiriamali? from 2021-01-29T06:08:09

Wajasiriamali wengi hukabiliana na changamoto nyingi, kuanza naku hakikisha uwekezaji wao unazaa matunda mema.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Happiness: "Ninafuraha tele kuwa raia mpya" from 2021-01-26T22:10:56

Sherehe nyingi muhimu huadhimishwa katika siku kuu ya Australia tarehe 26 Januari kila mwaka. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 26 Januari 2021 from 2021-01-26T08:58:23

Mtetezi wa wahamiaji miongoni mwa washindi wa tuzo zawa Australia wa mwaka na, zaidi ya idadi yawahamiaji elfu 12, wapokea uraia wa Australia katika sherehe kote nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanawake wapewa heshima katika tuzo zawa Australia wa mwaka from 2021-01-26T01:24:42

Washindi wote wa tuzo ya 2021 yamu Australia wa mwaka, ni wanawake kutoka tamaduni mbali mbali.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je panastahili kuwa na umri wakuanza shule kitaifa? from 2021-01-25T07:52:07

Mwaka mpya wa shule unapo anza, mjadala umeibuka tena kuhusu miaka yakuanza shule kitaifa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 24 Januari 2021 from 2021-01-24T22:04:20

Licha ya matatizo ya  maswala ya usambazaji wa Chanjo duniani, mweka hazina nchini asisitiza Australia haitoathirika kupata chanjo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwenyekiti Diaspora apasua jipu from 2021-01-24T13:37:32

Baada ya sintofahamu kwenye Baraza la Diaspora Watanzania Duniani, hatimaye Mwenyekiti wa mpito aweka bayana kilichotokea na mustakbali wa nini yajayo katika mahojiano maalumu na SBS.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 19 Januari 2021 from 2021-01-24T12:37:17

NSW yatangaza kutokuwa na virusi vya Corona kwa siku ya pili mfululizo

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rais Museveni achaguliwa tena Uganda, ila upinzani wadai uchaguzi ulijawa wizi from 2021-01-18T08:49:07

Kiongozi wa muda mrefu wa Uganda, ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa nchi hiyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 17 Januari 2021 from 2021-01-17T12:39:10

Maafisa jimboni New South Wales wame toa onyo kadhaa, kuhusu hatari za usambaaji wa coronavirus ndani ya nyumba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je Bobi Wine atafanikiwa kumbandua Museveni madarakani? from 2021-01-14T00:01:13

Yoweri Kaguta Museveni ameongoza Uganda kwa zaidi ya miaka 33, ila uongozi wake umekuwa chini ya shinikizo kubwa katika miaka ya hivi karibuni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
John afunguka kuhusu aliyoshuhudia ndani ya karantini ya COVID-19 hotelini from 2021-01-12T23:15:10

Siku hizi kila msafiri anayewasili nchini, lazima aingie katika karantini ya COVID-19 kwa muda wa wiki mbili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 12 Januari 2021 from 2021-01-12T08:26:23

Kaimu waziri mkuu wa Australia Michael McCormack ametupilia mbali ukosoaji kutoka makundi ya watetezi wa haki zabinadam namakundi ya jamii, kwaku rudia madai kuhusu vuguvugu la wanao tetea usawa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Walimu wahamiaji nchini Australia from 2021-01-11T07:15:08

Njia yakuwa mwalimu nchini Australia kama unavyeti kutoka ng'ambo, mara nyingi huwa ngumu na inawafungia njia maelfu yawalimu watarajiwa kuingia katika mfumo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 10 Januari 2021 from 2021-01-10T12:46:57

Wakazi wa eneo pana la Brisbane kupata afueni baada ya vizuizi kuregezwa, na wakazi wa maeneo ya milipuko ya COVID-19 jimboni NSW waombwa kuendelea kufanya tahadhari.

 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 5 Januari 2021 from 2021-01-05T08:36:19

Serikali ya shirikisho yajipata chini ya shinikizo kuhusu utoaji wa chanjo za COVID-19 nchini, wakati maambukizi yanaongezeka jimboni New South Wales.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wito watolewa kwa vipimo vya ziada vifanywe wakati kesi za COVID-19 zikipungua from 2021-01-04T23:43:02

Jimbo la New South Wales halijarekodi visa vipya vya coronavirus katika jamii ila, maambukizi mawili yalirekodiwa baada ya saa mbili za usiku wa jumapili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 3 Januari 2021 from 2021-01-03T12:34:02

Makumi yamaelfu yawatu wameombwa wajitenge, hofu inapo endelea kuongezeka kuhusu mlipuko wa COVID-19 unao ungwa na duka la B-W-S katika eneo la magharibi ya Sydney.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 29 Disemba 2020 from 2020-12-29T09:06:35

Maelfu yawa Australia ambao hawana ajira, wanajiandaa kupoteza sehemu ya mapato yao siku chache kabla ya mwaka mpya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Changamoto za afya duniani, katika mwaka wa 2020 from 2020-12-28T07:16:18

Umekuwa mwaka mgumu kwa upande wa afya ila, wakati dunia ilishuhudia idadi ya visa vya COVID-19 vikiongezeka nakupungua, wanasayansi namadaktari hawaku sahau magonjwa ambayo tulikuwa tukikabilia...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 27 Disemba 2020 from 2020-12-27T12:22:29

Jimbo la NSW limerekodi visa vipya saba vya COVID-19, wakati amri yakubaki nyumbani imerejeshwa kwa wakazi wa maeneo ya fukwe ya kaskazini ya Sydney, baada yakupewa msamaha mfupi wakati wa krism...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 22 Disemba 2020 from 2020-12-22T09:13:56

Waziri wa Afya wa Victoria Martin Foley atangaza kuwa mpaka sasa wa jimbo hilo umefungwa rasmi.

Aonya, kwa mtu yoyte anayejaribu kuingia Victoria kutoka NSW asifanye hivyo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jitayarishe: Vidokezo rahisi ili kujiweka tayari na nyumba yako kwa msimu wa moto wa vichaka from 2020-12-22T08:58:40

Kusimamia hatari ya moto wa vichaka kwa nyumba yako na familia kunamaanisha, kuwa tayari.

Wataalam wanashauri kwamba watu ambao wanaishi katika maene...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Duru la Michezo 20 Disemba 2020 from 2020-12-22T06:40:12

Fainali za michuano ya Afrika NSW zamalizika kwa kishindo

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 20 Disemba 2020 from 2020-12-22T02:46:14

Chama cha Nation chaomboleza kuondokewa na kiongozi wake wa zamani Doug Anthony

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 15 Disemba 2020 from 2020-12-16T03:57:31

Wakazi katika jimbo la New South Wales kitongoji cha Murwillumbah wameamriwa kuhama baada ya Mto Tweed kupasuka kingo zake.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Duru la Michezo 15 Disemba 2020 from 2020-12-16T03:48:22

Mchakato wa mitanange ya klabu bingwa UEFA na ligi ya Ulaya umekamilika, Je timu za Uingereza zitafua dafu?

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 13 Disemba 2020 from 2020-12-16T03:27:34

Chanjo za COVID-19 kuwa kwenye maduka ya dawa huko Marekani hivi karibuni

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SHEREHE ZA KISWA KUUAGA MWAKA from 2020-12-16T02:29:20

Baada ya kuandamwa na janga la Corona kwa mwaka huu 2020, Umoja wa Wanajumuiya ya Wakenya (KISWA), wameandaa sherehe kabambe kushukuru kuufunga mwaka na kuepukana na janga hili la Covid-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je Mungu amewasalliti waumini katika mwaka wa 2020 from 2020-12-11T08:06:05

Mwaka wa 2020 umezua changamoto nyingi kote duniani kupitia janga la COVID-19, na waumini wame kabiliwa na changamoto kubwa zaidi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi yakuzuia visa vyakuzama majini from 2020-12-09T01:34:10

Msimu wa majira ya joto ukiwa umeanza, mamlaka wana wahamasishwa waogeleaji wafanye tahadhari.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 8 Disemba 2020 from 2020-12-08T08:33:57

Ufanisi wa pendekezo la muswada wa serikali ya shirikisho, kubadili mfumo wa baadhi za kazi wahojiwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hatua za polisi kuimarishwa, baada yauvunjaji wa masharti ya karantini from 2020-12-07T09:47:43

Ukaguzi uliofanywa na shirika kubwa la huduma ya makazi ya wahamiaji, umepata kuwa zaidi ya takriban biashara ndogo 300, zilizo anzishwa na wakimbizi mjini Melbourne na Sydney, zime endeleza opa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 6 Disemba 2020 from 2020-12-06T12:55:33

Jeshi la polisi la New South Wales lakubali wajibu, baada yakuwaruhusu wasafiri kukwepa kimakosa karantini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KISWA yaongeza nguvu mpya katika uongozi from 2020-12-02T22:37:23

Shirika la KISWA lili andaa mkutano mkuu kujadili nakueleza wanachama wake, kile ambacho shirika hilo lilifanya katika mwaka wa 2020.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
VIVA: Kusafiri kwa kujitenga from 2020-12-01T19:21:30

Wakati utalii ndani ya nchi ukiwa umeshuka kwa bilioni $21.7, ikilinganishwa na mwaka jana, mwaka wa 2020 si kama mwaka mwingine katika ulimwengu wa utalii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 1 Disemba 2020 from 2020-12-01T08:50:41

Mvutano wakisiasa kati ya Australia na China waendelea kutokota, huku viongozi wajamii wakikutana na viongozi wa serikali ya shirikisho.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Bobi Wine:"Tuta endelea kufuata sheria licha ya dhulma tunayo fanyiwa" from 2020-11-30T06:04:17

Imekuwa wiki nyingine yenye matukio mengi katika ukanda wa Mashariki na Afrika ya Kati.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 29 Novemba 2020 from 2020-11-29T12:26:08

Serikali yashirikisho yahamasishwa ichunguze mradi waujenzi wa nyumba nchini, kwa ajili yakuokoa ajira zawajenzi nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mashabiki wapongeza juhudi za vijana wa Kenya, katika kombe la Afrika NSW, Australia from 2020-11-26T19:29:53

Jamii yawakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW, Australia, katika siku chache zilizo pita wamekuwa wakifika viwanjani kwa kishindo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Bonfils:"tunahitaji watanzania wengi, wajiunge na timu ili tuimarike zaidi" from 2020-11-25T19:21:31

Matumaini ya timu ya mpira wa miguu ya jamii yawatanzania wanao ishi Sydney, katika kombe la Afrika yame gonga mwamba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mpaka kati ya majimbo ya New South Wales na Victoria wafunguliwa baada ya miezi tano from 2020-11-24T19:16:04

Maelfu yawa Australia wame tumia anga au barabara, baada ya mpaka kati ya jimbo la New South Wales na Victoria kufunguliwa tena, baada ya takriban miezi mitano au siku 137.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 24 Novemba 2020 from 2020-11-24T08:47:38

Serikali ya shirikisho kuwapa kipaumbele wafanyakazi wa afya na wazee, katika utoaji wa chanjo ya coronavirus.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mipangilio yaku rahisisha kazi from 2020-11-24T03:22:38

Janga la COVID-19 lime lazimisha biashara nyingi kufanya tathmini, kutengeza upya nakurekebisha jinsi zinavyo fanya kazi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vizuizi vya lugha vya vyunjwa kwa ajili yakukabiliana na COVID from 2020-11-23T09:34:11

App mpya ambayo ime undwa kwa lengo lakuvunja vizuizi vya lugha wakati wa uchunguzi wa COVID nakutoa taarifa, ina zinduliwa nchini Australia kabla itumiwe ng’ambo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 22 Novemba 2020 from 2020-11-22T12:05:41

Hatimae mpaka kati ya majimbo ya New South Wales na Victoria kufunguliwa, na kiongozi wa upinzani wa Magharibi Australia, ajiuzulu kabla ya uchaguzi jimboni humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vikundi vya huduma ya afya ya akili, vyakaribisha ahadi mpya kutoka serikali from 2020-11-18T19:24:24

Makundi yanayo toa misaada ya afya ya akili yamekaribisha ahadi ya serikali ya shirikisho, kuweka kipaumbele kwa jitahada zakuzuia nakuingilia kati mapema visa vya unyogovu na kujiua.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kenya yarejea katika kombe la Afrika, jijini Sydney kwa kishindo from 2020-11-17T19:19:23

Timu ya mpira wa miguu ya jamii ya wakenya wanao ishi Sydney, Australia, imekuwa ikijiandaa kushiriki katika kombe la Afrika kwa muda wa miaka miwili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 17 Novemba 2020 from 2020-11-17T08:16:53

Chama cha upinzani cha elezea wasi wasi, kuhusu serikali kujaribu kukwepa kuwajibika kwa mfumo tata wakudai madeni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia yajiunga katika mkataba mkubwa wa biashara duniani from 2020-11-16T23:18:05

Australia imetia saini mkataba mkubwa sana wa biashara, ambao umechukua miaka minane kuafiki, nakushirikisha nchi 14 kutoka kanda ya Asia-Pacific.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 15 Novemba 2020 from 2020-11-15T12:28:15

Serikali ya Victoria yatengeza historia kupitia uwekezaji mkubwa katika nyumba za jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Douglas: "Usalama wa mitandao ume imarishwa sana kwa uchaguzi wa 2020 wa Marekani" from 2020-11-13T04:31:40

Kampeni za uchaguzi duniani kote zimechukua mifumo tofauti kuwavutia na kuwashawili wapiga kura. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanafunzi wakimataifa wapata ushindi mahakamani dhidi yaku fukuzwa katika nyumba zao from 2020-11-11T21:55:21

Wanafunzi wakimataifa wanao kabiliwa na tisho lakufuzwa wanako ishi, wame pata ushindi wakisheria mjini Melbourne, baada yakuthibitisha changamoto wanazo kabili zakifedha zimesababishwa na COVID...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rosemary Kariuki ashinda tuzo ya shujaa wa jamii jimboni New South Wales from 2020-11-10T22:07:31

Jamii yawa Afrika jimboni New South Wales inasherehekea kutambuliwa kwa mchango wa balozi wao Rosemary Kariuki, katika tuzo za New South Wales Australian of the Year.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 10 Novemba 2020 from 2020-11-10T08:22:58

Kuna uwezekano chanjo ya coronavirus inaweza anza kutolewa, kwa watu ambao wako katika hatari zaidi kuanzia machi 2021.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
D R Congo yawalisha fimbo vijana wa Farao from 2020-11-09T21:57:37

Mechi za kwanza za kombe la Afrika zime anza naku kamilika kwa kishindo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers mjini Rooty Hill, New South Wales, Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tanzania yapata taabu katika kombe la Afrika jijini Sydney from 2020-11-08T21:20:08

Michuano ya kombe ya Afrika jijini Sydney, ilianza kwa kasi na vichapo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 8 Novemba 2020 from 2020-11-08T12:42:06

Biashara jimboni Victoria zakaribisha kuondolewa kwa vizuizi, pamoja nakufutwa kwa kikomo cha kilomita 25 za usafiri.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Clement "Hatumuachi farao salama leo" from 2020-11-07T00:34:22

Vijana kutoka jamii ya D R Congo wanaingia dimbani leo dhidi ya Misri, katika mechi yao ya kwanza ya kombe la Afrika jijini Sydney, Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kenya kushuriki katika kombe la Afrika mjini Sydney kwa mara ya kwanza from 2020-11-06T07:43:14

Jamii zenye asili ya Afrika zimekuwa ziki shiriki katika michuano ya soka, ya kombe la Afrika kwa miaka mingi mjini Sydney, Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sasa Care yakubali kuwa mdhamini wa kombe la Afrika jijini Sydney, New South Wales from 2020-11-05T20:26:54

Janga la COVID-19 lime athiri bajeti ya kampuni nyingi ambazo hudhamini, matukio mbali mbali katika jamii. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Athiei "Timu nyingi zinaogopa kucheza na Sudan Kusini" from 2020-11-04T20:14:41

Kombe la mataifa ya jamii zawana Afrika wanao ishi jijini Sydney, linatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa mwaka huu kuliko miaka ya nyuma.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Viongozi wa upinzani wakamatwa Tanzania baada yakupinga matokeo ya uchaguzi mkuu from 2020-11-04T03:47:12

Hali inaendelea kuwa tata kwa viongozi wa upinzani nchini Tanzania, wengi wao wakijipata chini ya udhibiti wa vyombo vya usalama nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Swahili: The Uluru Statement from the Heart from 2020-11-04T02:10

Mnamo Mei 2017, wajumbe wa Waaboriginal na Torres Strait Islander walikusanyika katika Mkutano wa kwanza Kitaifa wa Katiba ya Kitaifa karibu na Uluru na kupitisha kauli ya Uluru kutoka Moyoni.Ta...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je Biden atambandua Trump mamlakani? from 2020-11-03T19:16:52

Donald Trump amekabiliana na matokeo hasi yakura ya maoni, katika kampeni yake yakusalia madarakani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 3 Novemba 2020 from 2020-11-03T07:55:10

Wanaume kukabiliwa na changamoto zaidi zaukosefu wa ajira kwa sababu ya COVID-19, aonya mbunge wa chama cha Labor

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kiongozi mteule wa Queensland Annastacia Palaszczuk awashukuru wapiga kura kumpa muhula wa tatu from 2020-11-02T07:20:33

Kiongozi mpya mteule wa jimbo la Queensland Annastacia Palaszczuk, ametengeza historia kwakuwa mwanamke wakwanza kushinda awamu yatatu madarakani nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 1 Novemba 2020 from 2020-11-01T11:49:05

Historia yatengezwa katika uchaguzi wa Queensland na serikali ya shirikisho, yazindua kampeni yakusaidia jamii kukabiliana na changamoto za afya ya akili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je COVID-19 imewapa viongozi wakidini mafunzo gani? from 2020-11-01T04:56:51

Vizuizi vya COVID-19 vime sababisha madhara mengi kwa jamii zakidini kote nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Baada ya miongo ya uongozi wa CCM, je upinzani uta tengeza historia Tanzania? from 2020-10-29T03:31:35

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kime ongoza Tanzania, tangu nchi hiyo ya Afrika Mashariki ilipopata uhuru.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Victoria yaibuka kutoka vizuizi vya coronavirus from 2020-10-27T19:20:03

Vizuizi vya COVID-19 jijini Melbourne vina ondolewa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 27 Oktoba 2020 from 2020-10-27T08:18:57

Waziri mkuu Scott Morrison amesema waaustralia wanao pokea mafao yakutokuwa na ajira, wanaweza tarajia msaada wa coronavirus kuendelea hadi baada ya mwisho wa mwaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wamiliki wajadi washerehekea miaka 35, tangu walipo rejeshewa haki zamiliki ya Uluru from 2020-10-26T10:50:03

Wamiliki wa jadi katika wilaya ya kaskazini, wanasherehekea miaka 35 tangu waliporejeshewa haki za ardhi ya Uluru.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Maandamano yaendelea kuitikisa Nigeria from 2020-10-25T19:35:03

Wa Nigeria wana endelea kufanya maandamano dhidi ya ukatili wa jeshi la polisi katika mitaa ya Lagos, wakivunja amri ya serikali yakuto toka nje usiku.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 25 Oktoba 2020 from 2020-10-25T12:31:27

Uamuzi wa serikali ya jimbo la Victoria kusitisha kwa muda, kuregeza vizuizi vya COVID-19 wakosolewa vikali.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vizuizi vya COVID-19 vyaregezwa jimboni Victoria wakati visa vya maambukizi vya pungua from 2020-10-20T19:20:02

Serikali ya Victoria imetoa tangazo muhimu lakuregeza vizuizi vya COVID-19 katika jiji la Melbourne na kanda ya Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 20 Oktoba 2020 from 2020-10-20T08:34:55

Serikali ya shirikisho yahamasisha serikali zamajimbo namikoa, ziwekeze zaidi katika miradi ya makazi ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Cherehani zilizo tolewa kwa hisani, zasaidia wasichana wa Kenya katika elimu from 2020-10-19T19:20:02

Msaada kutoka Australia unawasaidia wanawake wasio jiweza nchini Kenya kukababiliana na janga hili na, msaada huo umechangia pia katika upatikanaji wa matokeo mengine yakushangaza.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Makundi ya waumini yaomba vizuizi vichache kwa ibada from 2020-10-18T19:20:02

Waumini ambao wame zuiwa kujumuika katika sehemu za ibada wakati wa vizuizi jijini Melbourne, wameomba wahudumiwe vizuri zaidi katika hatua ijayo yakuregezwa kwa vizuizi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 18 Oktoba 2020 from 2020-10-18T12:09:50

Wakazi wa jimbo la Victoria waregezewa vizuizi kwa jiji la Melbourne na maeneo yakanda.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Swahili News October 10 - Taarifa ya Habari Octoba 10 from 2020-10-13T00:59:13

The search for the missing person resume while The International Council of Nurses says many nurses are suffering psychological distress

-
Utafutaji wa aliyepotea baharini waendelea huk...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Huduma maalum ya afya ya akili kutolewa katika lugha za wagonjwa from 2020-10-07T21:50:02

Wa Australia kwa sasa wataweza anza kupokea msaada wa afya ya akili, kutoka kwa mtu anaye zungumza lugha yao au anaye changia tamaduni nao au dini chini ya mradi mpya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Biashara ndogo zinazo tafuta msaada, zasubiri tangazo la bajeti kwa hamu from 2020-10-06T19:20:02

Biashara ndogo zinaweza tarajia kupokea msaada wakifedha kutoka bajeti ya shirikisho jumanne ila, wengi wanajiuliza kama msaada huo utakuwa wakutosha.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 6 Oktoba 2020 from 2020-10-06T07:52:24

Waziri Mkuu aeleza bunge kuwa bajeti ya taifa itakayo tangazwa leo usiku, niyakuwapa wa Australia matumaini kwa siku za usoni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Manchester United wala 6 nyumbani from 2020-10-05T04:55:06

Msimu mpya wa ligi kuu ya England unaendelea kuwashangaza mashabiki wa timu zinazo shiriki.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 4 Oktoba 2020 from 2020-10-04T12:58:48

Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg amesema changamoto kubwa inayo kabili uchumi, inahitaji msaada mkubwa, kupiga jeki shughuli pamoja nakukuza ajira.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi gani COVID-19 imetubadilisha tunavyo omboleza from 2020-09-29T20:20:02

Msiba katikati ya shida ya kiafya kidunia inazidisha hali mbaya ya kufiwa pale ambapo hatuwezi kumpa mpendwa wetu maziko mazuri.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 29 Septemba 2020 from 2020-09-29T09:33:33

Serikali ya shirikisho inawekeza mamilioni ya hela katika teknolojia zakidigitali, kuboresha jinsi biashara zimeanza tayari kuhamisha oparesheni za kazi zao mtandaoni kwa sababu ya coronavirus.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wagombea waongoza njia kwa uwakilishi wa wana Afrika from 2020-09-28T22:08:08

Wagombea watatu katika uchaguzi wa halmashauri jimboni Victoria, wanajaribu kutengeza historia kwakuwa madiwani wakwanza jimboni humo walio zaliwa barani Afrika.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Janga la idadi ya watu lakaribia wakati kupungua kwa viwango vyakuzaliwa kwa watoto kwa athiri bajeti ya taifa from 2020-09-27T23:05:02

Serikali ya shirikisho inaonywa kuhusu janga la idadi ya watu, wakati utafiti unaonesha kupungua kwa kasi ya kiwango cha idadi ya watoto wanao zaliwa nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 27 Septemba 2020 from 2020-09-27T13:30:52

Wakazi wa Melburne wata amka kesho asubuhi jumatatu, nakupata baadhi ya vizuizi vya COVID-19 vimeregezwa kabla ya ratiba.   

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanafunzi wengi wakimataifa wamepitia uzoefu wa ubaguzi wa rangi wakati wa janga la COVID-19 from 2020-09-23T21:35:01

Utafiti mpya uliowashirikisha zaidi ya idadi yawanafunzi elfu sita wakimataifa nchini Australia, umepata kuwa wengi wao wanakabiliana na ubaguzi wa rangi kwa sababu ya COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwongozo wa Makazi: Je! Mikopo ya kila siku na janga hili italeta 'tsunami ya madeni'? from 2020-09-22T20:20:02

Kuporomoka kwa uchumi wa kwanza wa Australia katika miaka 29, kumewafanya washauri wa masuala ya fedha kushughulika na kupokea simu kutoka kwa watu ambao, hawajawahi kukabiliwa na matatizo ya ma...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 22 Septemba 2020 from 2020-09-22T09:36:05

Juhudi zakupunguza uzalishaji wa hewa chafu zapigwa jeki kwa uwekezaji wa dola milioni 18, na wakazi wa kaskazini New South Wales kupewa vibali vyakuingia Queensland.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vivutio vyakifedha vyapendekezwa kabla ya bajeti ya taifa kutangazwa from 2020-09-21T09:35:30

Ni takriban wiki mbili kabla ya bajeti ya taifa kutolewa, na uvumi unaendelea kuongezeka kuhusu jinsi serikali inapanga kuongoza nchi hii kutoka mfumuko wa uchumi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali yafanyia mageuzi mtihani wa uraia from 2020-09-20T21:50:02

Mtihani wa uraia wa Australia unafanyiwa mageuzi ya kwanza katika muongo, mtazamo mpya ukiwekwa kwa maadili ya Australia katika mtihani huo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 20 Septemba 2020 from 2020-09-20T13:25:24

Kupungua kwa ukosefu wa ajira kwa mpa moyo waziri mkuu, na polisi wajieleza baada yakumpiga risasi mwanaume mmoja Queensland.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wachezaji wa PSG na Marseille wakunjana, adhabu kali zatarajiwa from 2020-09-16T22:50:02

Mechi kati ya PSG na Marseille zime zua hisia mseto nchini Ufaransa kwa miaka mingi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakazi wa Victoria kupokea huduma ya afya ya akili bila malipo from 2020-09-15T20:20:02

Zahanati 15 zinazo toa huduma maalum ya afya ya akili, zimefunguliwa kwa umma jimboni Victoria kuanzia Jumatatu 14 Septemba, kama sehemu ya mfuko waku wasaidia wakazi wa Victoria wakati huu wa j...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 15 Septemba 2020 from 2020-09-15T11:02:35

Chama cha upinzani kime mhamasisha waziri mkuu, achukue hatua kuwarejesha nyumbani wa Australia ambao wamekwama ng'ambo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Je Mbappe ata tua Old Trafford? from 2020-09-13T22:09:28

Wakati misimu ya ligi mbali mbali imeanza barani ulaya, tetesi za usajili nazo zinaendelea kuwaunga baadhi ya wachezaji na vilabu tofauti na wanako cheza.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 13 Septemba 2020 from 2020-09-13T13:35:29

Waziri wa afya wa taifa Greg Hunt amesema anaendelea kuwa na imani kuwa, chanjo ya coronavirus itatolewa kwa wa Australia katika nusu ya kwanza ya mwaka ujao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Janga la Corona lina athari gani kwa afya ya akili? from 2020-09-11T03:25:27

Janga la Coronavirus limesababisha changamoto nyingi katika maisha ya kila siku ya watu duniani kote.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
VIVA: Jinsi yakuchukua mapema mafao ya uzeeni from 2020-09-08T22:50:02

Uharibifu wa kiuchumi unaosababishwa na vizuizi vya COVID-19 umewaona zaidi ya Waaustralia milioni tatu wakitumbukia kwenye akiba yao ya uzeeni. 

 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 8 Septemba 2020 from 2020-09-08T09:53:30

Uchunguzi kwa mradi wa karantini ya hoteli ya jimbo la Victoria, umesikia ushahidi kuwa mradi huo uliandaliwa kwa kasi na hatimae ulifeli kutekeleza mahitaji ya wasafiri waliorejea.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 6 Septemba from 2020-09-06T16:10:27

Shule mbili jimbo la NSW kufungwa kuanzia Jumatatu kutokana na Corona, huku wazee wanaoshi kwenye vituo vya malezi washerehekea siku ya akina baba kitofauti sana mwaka huu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Joto la kampeni ya uchaguzi wa rais laongezeka Tanzania from 2020-09-03T02:05:02

Kampeni za uchaguzi wa rais zime anza rasmi nchini Tanzania, ambako vyama husika vime anza kuuza sera zao kwa kina.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS SWAHILI NEWS - Taarifa ya habari 01 Septemba 2020 from 2020-09-01T09:53:35

New research shows the majority of Australians will get a COVID-19 vaccine if one becomes available, The postponed New South Wales budget is set to be handed down on the 17th of November and Com...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
VIVA: Kununua biashara wakati wa COVID-19 from 2020-08-30T22:50:01

Janga hili limesababisha tetemeko katika biashara ambazo kawaida huwa zina nawiri katika nyakati zakawaida.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 30 Agosti 2020 from 2020-08-30T15:55:15

Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg asema serikali haita unga mkono pendekezo la mageuzi kutoka upinzani, kwa mfumo wa JobKeeper akisisitiza kuwa mapendekezo hayo yanaweza gharimu ajira.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hofu yaongezeka kuhusu maambukizi ya COVID-19, katika sekta za huduma yawazee na huduma yawalemavu from 2020-08-26T01:05:01

Kuna hofu wafanyakazi wanao jumuika katika sekta ya huduma ya uzeeni na ulemavu, wanaweza kuwa wanasambaza COVID-19 katika jamii yawalemavu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 25 Agosti 2020 from 2020-08-25T11:45:30

Kiongozi wa jimbo la Victoria anaendelea kuwa na matumaini kuwa bunge la jimbo hilo, litaruhusu hali ya dharura jimboni humo iongezwe kupitia Septemba, kama sehemu yaku kabiliana na janga la cor...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Vijana wakabiliwa kwa wimbi lamadeni from 2020-08-25T00:50:02

Utafiti mpya kwa tabia zawatumiaji pamoja na mitazamo wakati wakilele cha janga la coronavirus, imeonesha takwimu zakutisha zinazo wazingira vijana wanao kabiliwa na wimbi la deni.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 23 Agosti 2020 from 2020-08-23T16:12:03

Uchaguzi wa wilaya ya kaskazini waendelea kuto tabirika, na vikao vya bunge la taifa kuanza tena wiki ijayo katika hali yakipekee.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ben Mulwa: "Mwelekeo wa serikali kwa swala la ugatuzi unazua hofu" from 2020-08-21T09:10:59

Swala la ugatuzi nchini Kenya lime zua mvutano mkubwa, katika viwango vyote vyaki siasa nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sen Mutula Kilonzo Jr: "Hauwezi jenga daraja wakati wengine wanachimba kulibomoa" from 2020-08-20T00:50:02

Wiki hii baadhi yamaseneta wa Kenya, walijipata chini ya shinikizo kutoka kwa vyombo vya usalama nchini humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Musoni: Mradi wa GLAPD wakuwasaidia waathiriwa wa COVID-19 unaendelea from 2020-08-19T01:20:02

Shirika la GLAPD International, limewafungulia mlango wanafunzi wakimataifa na wahamiaji, ambao hawafuzu kupokea msaada kutoka serikali ya shirikisho wakati huu wa janga la COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 18 Agosti 2020 from 2020-08-18T11:49:39

Wanawake wawili walionyimwa ruhusa yakuingia katika jimbo la Magharibi Australia, warushwa korokoroni kwaku kimbia hoteli yao ya karantini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Data mpya yamulika magumu yanayo wakabili wahamiaji wa muda nchini Australia from 2020-08-18T00:50:02

Wakati athari za janga la coronavirus zinakaba sehemu za uchumi, taarifa mpya imemulika kiwango cha magumu yanayo wakabili wahamiaji wa muda nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali yashinikizwa ihakikishe tafsiri za ujumbe wa afya nisahihi from 2020-08-17T00:50:02

Shinikizo inaongezeka kwa serikali ya shirikisho, ihakikishe ujumbe wa afya kuhusu coronavirus katika lugha zingine, ukosahihi baada ya baadhi ya tafsiri kupatwa zina kasoro. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 16 Agosti 2020 from 2020-08-16T15:30:04

Jimbo la kusini Australia litakuwa sehemu la jaribio lakuanzisha tena safari zakimataifa, jimbo hilo linapo anza kusafirisha mazao ng'ambo pamoja nakuwakaribisha wanafunzi wakimataifa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi nilikabiliana nakushinda janga la COVID-19 from 2020-08-13T00:50:02

Janga la COVID-19 lina endelea kusababisha maafa makubwa nchini Australia, na jamii yawatu wenye asili ya Afrika hawajapona janga hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS VIVA: Huduma ya wazee wakati wa Corona from 2020-08-12T01:05:02

Sekta ya uangalizi kwa wazee ya Victoria inakumbana na maambukizo ambayo husababisha vifo vya watu zaidi ya 100 wakati wa janga la virusi vya corona.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 11 Agosti 2020 from 2020-08-11T13:33:37

COVID-19 yadai maisha yawavictoria 19 na vita vya maneno vyalipuka kati ya waziri wa huduma ya uzeeni na sekta husika.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali yatangaza mageuzi ya ziada kwa malipo ya JobKeeper from 2020-08-11T01:12:19

Vikundi vya biashara vimesema mageuzi ya hivi karibuni ya serikali ya shirikisho kwa mfumo wa JobKeeper, yanayo lenga jimbo la Victoria ambalo linaendelea kupata pigo toka virusi na mageuzi hayo...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jinsi mipangilio ya COVID yakufanyia kazi nyumbani inaweza wasaidia watu wenye ulemavu from 2020-08-10T00:50:02

Janga la Covid-19 limesababisha wa Australia wengi, kufanya mipangilio yakufanyia kazi nyumbani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 9 Agosti 2020 from 2020-08-09T15:27:54

Serikali yashirikisho yasisitiza haija tupilia mbali wazo lakufanyia mageuzi mfumo wa JobKeeper, na siku mbaya zaidi katika vita dhidi ya coronavirus yashuhudiwa jimboni Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Martin: Asilimia 95 yawatu wanatekeleza wajibu wao kuzuia COVID-19 Melbourne from 2020-08-07T08:12:05

Serikali ya jimbo la Victoria kwa ushirikiano na umma inaongoza kampeni yakuzuia usambaaji wa virusi vya COVID-19 jimboni humo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakazi wa Melbourne wafunguka kuhusu marufuku yakutoka nje from 2020-08-06T00:21:50

Ongezeko ya maambukizi ya virusi vya COVID-19 ime ilazimisha serikali ya jimbo la Victoria kuchukua hatua kali kulinda jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwongozo wa Makazi: Afya ya kiakili ya wanaume na ustawi from 2020-08-04T22:20:02

Wanaume mara nyingi hufundishwa kuwa imara, bila kujali ni shida gani wanazokumbana nazo maishani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 4 Agosti 2020 from 2020-08-04T13:33:07

Serikali ya Victoria imewasilisha adhabu kali zaidi, kwa watu wanao feli kubaki ndani ya karantini, faini za $5000 za papo hapo zitatolewa kwa watakao kiuka amri husika.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Melbourne yawekwa chini ya marufuku yakutoka nje usiku, na masharti makali ya coronavirus from 2020-08-03T12:26:22

Maafisa wa afya jimboni Victoria wanatekeleza vizuizi vikali vya kutangamana chini ya hatua ya nne ya vizuizi mjini Melbourne

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 2 Agosti 2020 from 2020-08-02T15:20:40

Jimbo la Victoria lime ingia katika hali ya janga na hatua ya nne ya vizuizi vya coronavirus, kwa ajili yakupunguza usafiri ndani ya jimbo hilo pamoja nakuzuia maambukizi ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mazungumzo ya kumbukumbu ya hayati Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa from 2020-07-29T01:20:02

Usiku wa kuamkia tarehe 24 Julai 2020, Rais wa Jamahuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa masikitiko makubwa, aliutangazia umma kutokea kwa kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 28 Julai 2020 from 2020-07-28T11:45:36

Jeshi la polisi lawakamata watu sita katika maandamano ya Black Lives Matter mjini Sydney, Australia

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wanaharakati waishinikiza Australia iache kuwafunga watoto wenye miaka 10 from 2020-07-28T01:20:02

Australia bado inawaweka watoto wenye umri wa miaka 10 gerezani, licha ya kampeni ya muda mrefu yakuongeza umri wa uwajibikaji wa uhalifu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Samatta na Villa watanusurika kutimuliwa ligi kuu Uingereza? from 2020-07-27T10:39:51

Umekuwa msimu ulio jawa changamoto nyingi bila kuongeza janga la COVID-19, lililotishia kufuta msimu wa ligi kuu ya Uingereza. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Janga la COVID-19 la leta mageuzi kwa huduma ya ukalimani kupitia video katika mfumo wa Telehealth from 2020-07-27T00:50:01

Janga la COVID-19 lime sababisha changamoto maalum kwa mfumo wa afya wa Australia, baadhi ya changamoto hizo zikijumuisha jinsi yakutoa chaguzi za huduma ya afya kwa simu pamoja najamii zenye ta...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 26 Julai 2020 from 2020-07-26T15:36:09

Serikali yashirikisho yakabiliwa kwa ukosoaji mkali kuhusu inavyo simamia maswala yakudorora kwa uchumi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Nikwanini kuvaa barakoa kumefanywa kuwa lazima katika baadhi ya nchi? from 2020-07-23T00:50:02

Victoria itakuwa jimbo lakwanza nchini Australia kuwasilisha amri yalazima kuvaa barakoa, wakati jimbo hilo linajaribu kudhibiti maambukizi ya COVID-19 ndani ya jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwongozo wa Makazi: Jinsi mawakala wa uhamiaji wanavyo tumika nchini Australia from 2020-07-22T01:05:02

Waombaji viza waliokata tamaa sasa wanawageukia mawakala wa uhamiaji kama tumaini lao la maisha mapya hapa Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 21 Julai 2020 from 2020-07-21T11:56:32

Mpango wa ruzuku ya mshahara wa serikali ya shirikisho, utabadilishwa pamoja nakuendelezwa hadi Machi 2021.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hatua kubwa yapigwa katika uzalishaji wa chanjo ya COVID-19 from 2020-07-20T01:05:02

Majaribio ya chanjo ya COVID-19 kwa binadam yame anza jimboni Queensland, watu wa kwanza walio shiriki katika jaribio hilo walipokea chanjo zao jumatatu.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 19 Julai 2020 from 2020-07-19T15:40:15

Wakaazi wa miji ya Melbourne na Mitchell Shire, watakiwa kuvaa barakoa au kitu kinacho funika uso kuanzia alhamisi wiki ijayo. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dr Benedict "COVID-19 imeleta umasikini nakuvunja familia" from 2020-07-18T02:05:02

Australia hupokea makumi yamaelfu yawanafunzi wakimataifa kila mwaka, kutoka duniani kote. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Grace:"Kufungwa mpaka wa VIC-NSW, kuna usumbufu lakini nikwa maslahi yetu" from 2020-07-17T01:57:01

Hatua yakufunga mpaka kati yajimbo la Victoria na New South Wales, kwa ajili yakudhibiti usambaaji wa Coronavirus imezua hisia mseto miongoni mwa wakazi wamajimbo hayo mbili. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
VIVA: Jinsi yakutumia huduma ya matibabu kwa njia ya mtandao almaarufu telehealth from 2020-07-15T00:50:02

Waaustralia wanazidi kutegemea zaidi huduma ya matibabu kwa njia ya simu maarufu kama telehealth wakati wa janga hili la virusi vya corona.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 14 Julai 2020 from 2020-07-14T12:01:59

Afisa mkuu wa afya wa Victoria aonya kuwa hivi karibuni kutakuwa visa hatari zaidi vya watu wenye COVID-19, jimboni humo ambao watahitaji kulazwa hospitalini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii zawahamiaji katika miji yamipakani zapata taabu kupata taarifa mpya from 2020-07-14T02:14:07

Baadhi yajamii katika maeneo yampaka kati ya New South Wales na Victoria ambao kwa sasa umefungwa, wanapata taabu kupata taarifa kuhusu COVID-19 katika lugha zao. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dhiki yatanda miongoni mwa wakazi wamiji ya mpaka wa Victoria na New South Wales from 2020-07-13T10:41:43

Mamlaka wamechukua hatua kali zakuzuia usambaaji wa virusi vya COVID-19 katika jamii kote nchini Australia. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 12 Julai 2020 from 2020-07-12T15:46:17

Wanafunzi jimboni Victoria kutoka shule za chekechea hadi kidato cha 10, lazima wasomee nyumbani hadi amri yamarufuku yakutotangamana itakapo isha tarehe 19 Agosti.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wakazi wa Victoria wahamasishwa wavae barakoa, baada ya ongezeko yamaambukizi ya coronavirus from 2020-07-11T00:23:29

Afisa mkuu wa afya wa Victoria anawahamasisha watu wavae barakoa wakiwa nje, wakati jimbo hilo limerekodi visa vipya 288 vya COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Idara ya afya ya NSW yahamasisha jamii itii ushauri kuhusu COVID-19 from 2020-07-09T10:43:43

Hali ya tahadhari imeongezeka jimboni New South Wales, baada ya ongezeko ya visa vya COVID-19 katika jimbo jirani la Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ligi kuu yasoka ya Australia yajipata kwenye njiapanda from 2020-07-08T00:50:02

Vilabu 3 vya ligi kuu ya soka ya Australia vyakwama jimboni Victoria, baada ya mpaka wa New South Wales kufungwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 7 Julai 2020 from 2020-07-07T12:20:30

Maelfu waondoka Victoria kabla yampaka wa New South Wales kufungwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mpaka kati yamajimbo ya New South Wales na Victoria kufungwa kuanzia usiku wa Jumanne from 2020-07-07T00:50:02

Mpaka kati ya jimbo la Victoria na New South Wales, utafungwa baada ya ongezeko ya visa vipya 127, vya coronavirsu kutambuliwa katika masaa 24 yaliyo pita jimboni Victoria.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Watu 3000 wawekwa ndani ya karantini ya lazima ya Coronavirus, Victoria from 2020-07-06T00:50:02

Australia imepitia moja yasiku yakiajabu, katika muda huu wa janga la coronavirus.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 5 Julai 2020 from 2020-07-05T15:21:44

Watu ambao wako ndani ya karantani ya lazima mjini Melbourne, kupewa msamaha wa kodi za nyumba, pamoja na misaada mingine toka kwa serikali yajimbo hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KISWA: "Wanafunzi wakimataifa wapewe msamaha wakutolipa karo" from 2020-07-03T00:20:02

Janga la COVID-19 limewaathiri sana wanafunzi wakimataifa kote nchini Australia, janga hilo limesababisha changamoto nyingi pia kwa familia za wanafunzi hao katika nchi zao za asili.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Consumer rights and internet scams - Haki za Watumiaji na wizi mitandaoni from 2020-07-02T03:33:25

COVID-19 has made us more digitally connected than ever. Whether you are a newbie or a seasoned netizen, the internet can be a dangerous place if you don’t kno...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Serikali ya shirikisho yakana inampango wakutoa nyongeza yakudumu yamalipo ya JobSeeker from 2020-06-30T14:10:38

Serikali ya shirikisho inakana ripoti kuwa inazingatia ongekezo lakudumu kwa malipo ya JobSeeker.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 30 Julai 2020 from 2020-06-30T11:52:27

Ongezeko ya maambukizi ya Coronavirus yalazimisha serikali ya jimbo, kuweka vikwazo vikali kwa baadhi ya vitongoji.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dini lina nafasi gani wakati wa janga na maombolezi? from 2020-06-29T11:47:24

Watu wengi wali imarisha imani zao janga la COVID-19, lilipo lipuka nakudai maisha yawatu wengi duniani kote.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 28 Juni 2020 from 2020-06-28T15:40:45

Serikali ya NSW yazindua kampeni mpya yakutoa uelewa kwa umma, dhidi ya ubaguzi wa rangi kuwasaidia waathiriwa wa visa vya ubaguzi wa rangi kuelewa haki zao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mohamed:"Rais Nkurunziza aliwafunza warundi kuwa wazalendo" from 2020-06-27T12:19:14

Tangazo la kifo cha aliyekuwa rais wa Burundi, Peter Nkurunziza lilizua hisia mseto ndani na nje ya taifa hilo la Afrika ya Kati. 

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Rosaria "Serikali mpya ya Burundi ikabiliane na ongezeko la unyanyasaji wa wanawake nchini" from 2020-06-26T04:51:56

Uongozi wa Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, umeanza chini ya wingu la kifo cha ghafla cha rais Peter Nkurunziza, pamoja na wimbi la matarajio mengi kutoka kwa raia wa taifa hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii yawarundi wa Sydney, watoa heshima zao kwa marehemu Rais Nkurunziza from 2020-06-25T01:08:13

Warundi kote duniani wanaendelea kukabiliana na taarifa ya kifo cha ghafla, cha aliye kuwa rais wao Peter Nkurunziza.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwongozo wa Makazi: Nini chakufanya wakati viza yako imefutwa from 2020-06-24T00:50:02

Ikiwa viza yako imepangwa kufutwa wakati wa janga la virusi vya corona, kutotafuta ushauri wa haraka wa kisheria kunaweza kuhatarisha nafasi yako ya kukaa halali hapa Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 23 Juni 2020 from 2020-06-23T12:26:54

Wakati maambukizi ya COVID-19 yaongezeka Victoria, wakazi wa Kusini Australia waregezewa vizuizi vya COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jeki yaufadhili yatolewa kuziba pengo kwa wanafunzi wakiafrika from 2020-06-23T00:20:02

Zaidi ya shule ishirini ambazo zina wanafunzi wengi walio hamia nchini kutoka nchi zakiafrika, zinatarajia kupokea jeki ya uwekezaji yenye thamani yamamilioni ya dola.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Victoria lawajimbo lakwanza kurejesha vizuizi vya COVID-19 from 2020-06-22T04:20:48

Jimbo la Victoria linarejea tena katika vizuizi vikali vyakudhibiti maambukizi ya coronavirus, baada ya ongezeko lingine la visa vya maambukizi kuripotiwa katika jimbo hilo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 21 Juni 2020 from 2020-06-21T15:43:14

Jimbo la Victoria larejesha tena vizuizi vya coronavirus, baada ya ongezeko ya maambukizi katika jamii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Uongozi wa Evariste Ndayishimiye utatofautianaje nawa Nkurunziza? from 2020-06-18T00:50:01

Kifo cha Rais Peter Nkurunziza kime iweka Burundi katika utata wakikatiba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mwongozo wa Makazi: Maisha chini yaviza yampito from 2020-06-17T00:50:02

COVID-19 inavuruga sana maisha ya takribani wamiliki wa viza wapatao 97,000 hapa Australia, ambao hawana huduma ya serikali ya shirikisho kwa janga la COVID-19.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 16 Juni 2020 from 2020-06-16T11:24:03

Serikali ya shirikisho yakiri baadhi ya wafanyakzi wanao pokea ruzuku ya malipo, watatumbukia katika ukosefu wa ajira mfumo wa JobKeeper utakapo isha.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii yapewa uelewa kuhusu unyanyasaji wa wazee from 2020-06-16T07:42:43

Jumatatu tarehe 15 Juni ni siku yakutoa uelewa wa unyanyasaji dhidi ya wazee duniani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mahamakama yakikatiba kuamua hatma ya mrithi wa Rais Nkurunziza from 2020-06-15T10:53:14

Burundi imejipata katika sintofahamu yakikatiba baada ya Rais Peter Nkurunziza, kufariki ghafla tarehe 8 Juni 2020.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
VIVA: Kujipa ujuzi mpya wakati wa COVID-19 from 2020-06-15T00:50:02

Maambukizi ya coronavirus nchini Australia yamepungua ila, baadhi ya vizuizi vinaendelea kusalia, na watu wengi wanaendelea kubaki nyumbani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Taarifa ya habari 14 Juni 2020 from 2020-06-14T15:24:33

Serikali yashirikisho yatupilia mbali madai, inataka regeza masharti ya karantini kwa baadhi ya wasafiri nchini.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Shirika la GLAPD lawafungulia milango walio athiriwa na COVID-19 from 2020-06-14T00:20:02

Janga la Coronavirus limesababisha madhara makubwa, kwa baadhi yawahamiaji na wanafunzi wakimataifa wanao ishi nchini Australia.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Economic outlook after COVID - 19 pandemic - Mtazamo wa uchumi baada ya janga la Corona from 2020-05-29T08:49:39

Many developing countries still fighting COVID - 19 pandemic. Economically, a lot of them will suffer, but the question is, how will they bounce back to normal?

-

Listen

SBS Swahili - SBS Swahili
After the election in Burundi, what next? - Baada ya uchaguzi nchini Burundi, nini kitafuata? from 2020-05-27T09:26:26

Evariste Ndayishimiye wins in Burundi. How will an experienced military leader lead the country?
 Listen to the following analysis focusing on leadership issues in the country.

- <...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tanzanian economic growth part two - Mtazamo wa ukuaji wa uchumi wa Tanzania sehemu ya pili from 2020-01-21T06:47:08

There have been many questions about the growth of the Tanzanian economy. SBS Swahili had the opportunity to speak with some international businessmen about the whole economic trend. ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tanzanian economic growth first part - Mtazamo wa ukuaji wa uchumi wa Tanzania sehemu ya kwanza from 2020-01-09T04:33:11

There have been many questions about the growth of the Tanzanian economy. SBS Swahili had the opportunity to speak with some international businessmen about the whole economic trend.

-

Ku...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Risky Drinkers - Wanywaji pombe hatari from 2019-12-30T05:30:42

The Sax Institute report provides an insight into the worsening effects of dangerous drinking for young Australians and for the first time has assessed the second hand harm of teenagers.

F...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
School mate of Billionaire opens up - Aliyesoma na Bilionea afunguka from 2019-12-16T05:51:40

Ali Mufuruki (1959 ) was a Tanzanian businessman, author, founder and board member of several organisations. He was e founder of Infotech Investment Group, founding chairman of CEO Roundtable of...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
1Oth Anniversary Celebration of Swahili Mass Community - Maadhimisho ya miaka 10 misa za jumuiya ya Kiswahili from 2019-12-03T08:36:04

During 10th anniversary celebration, Fr Njenga and Gitau call for peace, love and unity among the Immigrants from Swahili speaking zone.

-

Wakati wa sherehe za maadhimisho ha...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Mpango wa moto wavichaka ni nini na unawezaje tengeza moja? - Moto wasababisha hali ya dharura jimboni New South Wales from 2019-11-11T21:50:02

Mamlaka inaonya jamii zijiandae kwa mazingira tata yatakayo jiri Jumanne katika sehemu za New South Wales.

-

Mamlaka inaonya jamii zijiandae kwa mazingira tata yatakayo jiri j...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Burundian youth in Queensland embrance leadership responsibilities - Vijana wa jamii yawarundi wa Queensland tayari kuchukua fursa za uongozi from 2019-11-08T22:50:02

Queensland is home to a young growing and vibrant Burundian community.

-

Queensland ni nyumbani kwa jamii yawarundi ambayo ni changa lakini pia ni jamii mahiri.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS National Languages Competition winners embrace linguistic diversity - Washindi wamashindano ya 2019 yakitaifa ya lugha ya SBS wakumbatia utofauti wa lugha from 2019-11-08T07:28:27

The winners of the SBS National Languages Competition for 2019 have been announced in an event that celebrates language learning across Australia.

-

Washindi wa mashindano yakitaifa ya lu...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
'Sport provides endless benefits for our community members' - 'Michezo inamanufaa isiyo na mwisho kwa wanachama wa jamii zetu' from 2019-11-08T06:07:56

GLAPD International recently organised a sports gala for it's members.

-

Shirika la GLAPD International hivi karibuni, lili wa andalia wanachama wake tamasha la michezo.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KISWA leader shares importance of communities working together - Kiongozi wa KISWA aelezea umuhimu wa ushirikiano katika jamii from 2019-11-05T23:05:02

Many community groups seek opportunities to advance their members causes through different methods.

-

Jamii nyingi hutafuta fursa zaku boresha maisha ya wanachama wao, kupitia mbinu mbali...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Senate committee warned against privatising Australian visa-processing - Kamati ya Seneti, yaonywa dhidi yakubinafsisha mfumo wa utoaji wa viza za Australia from 2019-11-05T04:32:25

Migration experts have warned a multi-billion-dollar plan to outsource visa processing threatens the integrity of Australia's migration system.

-

Wataalam wa uhamiaji wameonya kuwa mpango...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Better migrant job matching could boost Australian economy by $6 billion annually - Ulinganishaji bora wa ajira za wahamiaji, unaweza piga jeki uchumi wa Australia kwa bilioni $6 kila mwaka from 2019-11-04T04:48:40

New research has found that addressing the mismatch between the skills of migrants and the jobs they currently work in, could boost the Australian economy by six billion dollars a year.

- Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How are educational institutions retaining students in drought affected areas? - Taasisi za elimu zimewaka mikakati ipi, kutowapoteza wanafunzi katika maeneo ya ukame? from 2019-10-30T20:20:02

As farmers continue battling devastating effects of the ongoing drought in regional Australia, educational institutions in the affected areas have had to come up with strategies which include su...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How can we use sport for community cohesion? - Tunawezaje tumia michezo, kuhimiza mshikamano katika jamii? from 2019-10-29T20:20:02

Many people participate in sports events and activities for different reasons.

-

Watu wengi hushiriki katika matukio ya michezo wakiwa na sababu tofauti.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Patrick Muraguri: It's an honor to be chosen the local hero of the year - Patrick Muraguri: Ni heshima kubwa kuchaguliwa shujaa wa mwaka from 2019-10-28T20:20:02

The Kenyan community in Sydney recently met to celebrate the contribution of heroes who fought for their homeland's freedom.

-

Jamii yawa Kenya ilikutana kuadhimisha michango ya mashujaa,...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
'Super Saturday' sees 600 migrants formally granted citizenship - Wahamiaji 600 wapewa uraia rasmi katika sherehe ya uraia ya 'Super Saturday' from 2019-10-28T03:45:48

More than 600 migrants have been formally granted citizenship at ceremonies in Melbourne's West, on a day many have called Super Saturday.

-

Zaidi ya idadi ya wahamiaji miasita wame pewa ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Annual migration awards honour Scanlon Foundation - Shirika la Scanlon Foundation lapewa tuzo katika sherehe ya kila mwaka ya tuzo za uhamiaji from 2019-10-25T09:08:57

The man who set up the Scanlon Foundation to promote social cohesion is among those honoured at the annual migration and resettlement awards.

-

Mwanaume aliye anzisha shirika la Scanlon F...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: How to prevent drowning - Mwongozo wa makazi: Jinsi yakuzuia visa vyakuzama majini from 2019-10-22T23:20:02

With another scorching summer approaching, authorities are pleading with swimmers to use caution as the number of people drowning has jumped by ten per cent since last year.

-

Wakati msim...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How do you repair family divisions in Australia? - Je unakarabati aje migawanyiko ndani ya familia nchini Australia? from 2019-10-21T06:22:39

Women and girls from various multicultural backgrounds attended a conference organised at the Jesus Family Centre church in Cabramatta, NSW.

-

Wanawake na wasichana kutoka jamii zenye tam...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Canberra: the week in review 18 October 2019 - Canberra: tathmini ya wiki hii 18 Oktoba 2019 from 2019-10-20T05:30

It's been a busy week in politics with Australia's big four banks facing a new inquiry, debate continuing in Canberra over a response to slower global growth and more questions on climate policy...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Cynthia:"My clothes give women of all shapes a chance to exercise in comfort" - Cynthia:"Nguo zangu zinawaruhusu wanawake kufanya mazoezi kwa starehe" from 2019-10-16T20:20:02

The fitness clothes industry is a multi billion dollar industry, dominated by some of the major international sporting brands.

-

Sekta ya mavazi ya mazoezi inathamani yamabilioni ya dola,...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How is drought affecting students in regional towns? - Ukame una waathiri aje wanafunzi katika kanda ya Australia? from 2019-10-15T22:35:02

Many regional towns in Australia have borne the brunt of the devastating effects of drought. 

-

Miji mingi yakikanda nchini Australia, imepata pigo kubwa ya madhara ya ukame.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Experts push for a Royal Commission into gambling in Australia - Wataalam waomba tume yakifalme ianzishwe kuchunguza kamari nchini Australia from 2019-10-15T08:50:08

Concerns are being raised about the link between mental health and problem gambling, with experts calling for extra support to help vulnerable people.

-

Kila unapo tazama runinga wakati w...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: Living in regional Australia - Mwongozo wa Makazi: Maisha katika kanda ya Australia from 2019-10-09T01:05:02

Nearly all newly arrived migrants settled in Melbourne and Sydney last year while regional Australia is struggling to survive with a shrinking population.

-

Karibu wahamiaji wote wapya wa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
VIVA: The benefits of joining a walking group - VIVA: Manufaa yakujiunga na kundi la watembeaji from 2019-10-08T20:20:02

There are many health benefits of walking.

-

Kuna manufaa mengi kiafya unapo tembea.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
More Australians than ever are seeking help over mental health - Wa Australia wengi zaidi, waomba msaada kwa sababu ya afya ya kiakili from 2019-10-08T10:05:09

More Australians than ever before are seeking treatment for a mental health condition.

-

Waaustralia  wengi zaidi kuliko hapo awali, wanatafuta matibabu kwa maswala ya afya ya kiakil...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Morrison's readiness to assist Trump's anti-Mueller investigation a 'bad idea', say analysts - Wachambuzi wasema utayari wa Morrison kusaidia uchunguzi wa Trump, dhidi ya Mueller ni 'wazo baya' from 2019-10-06T12:38:53

Scott Morrison has been dragged into the impeachment scandal unfolding in the United States after revelations he agreed to a request from Donald Trump to help with an investigation aimed at disc...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jamii husaidia vipi kushawishi uongozi madhubuti? from 2019-10-05T00:05:02

Viongozi wapya wa jamii yawarundi wanao ishi Sydney, walipewa vifaa rasmi vya kazi katika hafla maalum na watangulizi wao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: How to get a divorce in Australia - Mwongozo wa makazi: Jinsi yakupata talaka nchini Australia from 2019-10-04T03:17:08

Research by the Australian Institute of Family Studies shows that people in their mid to late 20s are the most likely to divorce followed by couples in their late 40s.

-

Utafiti uliofanyw...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
PM defends Centrelink's controversial robodebt scheme - Waziri mkuu atetea mfumo tata wa Centrelink wakudai madeni wa 'robodebt' from 2019-09-30T23:35:02

Prime Minister Scott Morrison says the government wants to make welfare debt recovery better and says Labor is exaggerating the extent of the complaints against the system.

-

Waziri Mkuu ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
NSW becomes Australia's last state to decriminalise abortion - NSW yawa jimbo la mwisho nchini Australia kuondoa hatia ya yakutoa mimba katika sheria from 2019-09-30T06:25:07

After weeks of political debate and public protests,  New South Wales has become the final state in the country to decriminalise abortion.

-

Baada ya wiki kadhaa ya mijadala za kisia...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Working holidaymaker numbers in regional areas up, government seeking even more - Idadi ya wafanyakazi ambao wako kwenye likizo yaongezeka katika maeneo ya kikanda, na serikali yataka ongeza idadi ya wafanyakazi hao from 2019-09-29T23:35:02

The number of second-year Working Holiday Maker visas granted in Australia has increased by 20 per cent over the past year.

-

Idadi ya visa zinazo tolewa kwa wanao fanya kazi wakiwa katik...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What is the key to succeed in the music industry? - Mbinu yakufanikiwa katika tasnia ya muziki ni gani? from 2019-09-28T09:35:02

The King of Rhumba Titi Nagwalla and the Queen of Bongo flava Mellz Malika, visited SBS Swahili and shared their experiences in the super competitive music and entertainment industry in Africa....

Listen

SBS Swahili - SBS Swahili
Titi na Mellz wachangia siri yakufanikiwa katika tasnia ya muziki from 2019-09-27T10:20:02

Je unahitaji nini, kufanikiwa katika tasnia ya muziki yenye ushindani mkubwa?

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Which skills does one need to be an effective leader? - Je! ni ujuzi upi mtu anahitaji, kuwa kiongozi mzuri? from 2019-09-24T21:35:02

Some leaders are loved and others are loathed in equal measure, hence what skills does one need to become an effective leader and deliver his/her agenda as desired?

-

Baadhi ya viongozi h...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Trump, Morrison tout job creation at Australian-owned US mill - Trump, Morrison wazungumzia uundaji wa ajira katika kiwanda kinacho milikiwa namuAustralia nchini Marekani from 2019-09-24T09:25:09

Scott Morrison and Donald Trump have moved their tour to the United States Midwest.

-

Scott Morrison na Donald Trump wame hamisha ziara yao ya marekani katika ukanda wakatimagharibi ya nc...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Canberra: the week in review 20 September 2019 - Canberra: tathmini ya wiki hii 20 Septemba 2019 from 2019-09-20T10:25:23

A visit from Fiji's Prime Minister, a review into the family law system and more scrutiny of embattled Liberal M-P Gladys Liu were just some of the issues dominating the week in federal politics...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Do students who are bi-lingual perform better in school? - Je wanafunzi wanao jua zaidi ya lugha moja, hufanya vizuri zaidi shuleni? from 2019-09-20T06:50:41

Communication is very important in human interaction, and as a result we all use different methods to get our messages across.    

-

Mawasiliano ni muhimu sana katika uhusi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Disability Abuse Royal Commission finally underway - Hatimae vikao vya tume ya uchunguzi za dhulma dhidi ya walemavu vya anza from 2019-09-17T23:30:27

The Royal Commission into Violence, Abuse, Neglect and Exploitation of People with Disability is now underway.

-

Tume yakifamle inayo chunguza maswala ya unyanyasaji, dhulma, kupuuza na u...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Oilfield attack results in steep fuel price rises - Shambulio kwa uwanja wa mafuta, lasababisha ongezo ya bei ya mafuta from 2019-09-16T04:03:23

Following a weekend attack on Saudi Arabia's oilfields, global markets are recording steep price rises in the commodity.

-

Soko za dunia zina endelea kushuhudia ongezeko la bei ya mafuta,...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: What is bankruptcy and its implications? - Mwongozo wa makazi: Kufilisika ni nini, na athari zake ni zipi? from 2019-09-11T03:05:01

The number of Australians in financial distress is on the rise prompting warnings of more personal bankruptcies as the national economy slows down.

-

Idadi ya Waaustralia walio kwenye shi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Politicians return from their winter break to demands they face drug tests - Wanasiasa warejea bungeni kutoka mapumziko ya majira ya baridi, nakupata ombi wafanyiwe vipimo vya mihadarati from 2019-09-10T10:31:16

The Morrison government is slowly losing its bid to impose random drug tests on welfare recipients after crossbench senator Jacqui Lambie raised new concerns about the lack of rehabilitation ser...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How will history remember Robert Mugabe? - Historia itamkumbukaje Robert Mugabe? from 2019-09-10T00:05:02

Robert Mugabe died aged 95, in Singapore where it is reported he was undergoing treatment.

-

Robert Mugabe alifariki akiwa na miaka 95 nchini Singapore, ambako imeripotiwa alikuwa akipoke...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Welfare reforms on the agenda as parliament resumes - Mageuzi ya malipo ya ustawi, yawekwa kwenye ajenda baada ya vikao vya bunge kuanza from 2019-09-09T10:33

Parliament resumes this week, and Prime Minister Scott Morrison is pushing for a national roll-out of the cashless debit card.

-

Bunge lime anza vikao tena wiki hii na waziri mkuu Scott M...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
African newcomers turning ordinary backyards into food baskets - Wahamiaji wakiafrika, wageuza makazi yao kuwa vikapu vya vyakula from 2019-09-09T05:22:07

For many migrants and refugees, staying connected to traditional ways of growing and eating food is important to building a new life in Australia.

-

Kwa wahamiaji wengi na wakimbizi, kuen...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What do you consider before learning a new language? - Je unastahili zingatia nini, kabla yakujifunza lugha mpya? from 2019-09-05T00:05:01

Many people in Australia speak more than one language.

-

Watu wengi nchini Australia huzungumza zaidi ya lugha moja.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
A mixed response to government's draft religious discrimination bill - Rasimu ya muswada waubaguzi wakidini ya serikali yazua hisia mseto from 2019-09-04T00:05:01

The federal government has unveiled its draft religious discrimination bill, aimed at protecting Australians' rights to express their religious beliefs.

-

Serikali ya shirikisho imetoa ra...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
PM says exception for Tamil family 'an invitation to people smugglers' - Waziri Mkuu asema msamaha kwa familia yaki Tamil, 'itakuwa mwaliko kwa wasafirishaji haramu wa watu' from 2019-09-03T09:49:53

The federal government is resisting national calls to intervene and prevent a Tamil family from being deported.

-

Serikali ya shirikisho inaendelea kupinga wito wakitaifa, wakuingilia kat...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What's the significance of marking fathers day? - Umuhimu wakuadhimisha siku ya kina baba ni nini? from 2019-09-01T12:21:55

Many families in Australia mark fathers day every 1st of September.

-

Familia nyingi nchini Australia, huadhimisha siku kuu ya kina baba kila tarehe 1 Septemba.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Is it time to rethink Australia's paid parental leave scheme? - Je muda umewadia kutathmini mfumo wa malipo ya likizo ya walezi wa Australia? from 2019-08-31T00:20:02

It's been almost a decade since Australia introduced its paid parental leave scheme, labelled a 'landmark' social reform at the time.

-

It's been almost a decade since Australia introduce...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: Children's rights in Australia - Mwongozo wa Makazi: Haki za watoto nchini Australia from 2019-08-28T00:20:02

Over five million children are aged under 18 in Australia.

-

Zaidi ya idadi ya watoto milioni tano nchini Australia, wana umri wa chini ya miaka 18.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
A few surprises but little consensus at G7 - Kongamano la G7 la shuhudia mishangao michache, na makubaliano kidogo from 2019-08-27T10:24:24

Scott Morrison has been busy on the sidelines of the G7 in France after being invited to the summit as an observer.

-

Scott Morrison amekuwa katika shughuli katika mkutano wa G7 nchini Uf...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Viva: Sustainable shopping isn’t just good for the environment - Viva: ununuzi endelevu ni bora kwa mazingira from 2019-08-15T00:05:01

Around hundred billion new garments are being made each year to meet the demands of global consumers.

-

Takribani mavazi mapya bilioni mia moja yanatengenezwa kila mwaka kukidhi mahitaji ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Government tightens visa character test - Serikali yakaza masharti ya viza kupitia mtihani wa tabia from 2019-08-13T23:50:02

Tens of thousands of migrants could have their visas cancelled under proposed laws to tighten the character test.

-

Makumi yama elfu yawa hamiaji wanaweza poteza viza zao, chini ya pendek...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Wallabies tame All Blacks - Wallabies waadhibu All Blacks from 2019-08-12T04:11:56

Matches between the Australian Wallabies and New Zealand All Blacks, often cause friction among friends, family members and even colleagues. 

-

Mechi kati ya Wallabies wa Australia n...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS Swahili News - Taarifa ya Habari from 2019-08-11T13:40:34

Click above to hear the latest news stories from SBS Swahili

-

Bofya hapo juu usikie taarifa mpya za habari kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Bill to decriminalise abortions passes NSW lower house from 2019-08-09T11:16:23

A bill to decriminalise abortions in New South Wales has been passed in the lower house of the state parliament.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide What can parents do about bullying? - Mwongozo wa makazi: Wazazi wanaweza fanya nini kuhusu unyanyasaji? from 2019-08-06T09:40:24

Around one in four Australian children are affected by bullying at school.

-

Imekadiriwa kuwa mtoto mmoja kati ya watoto wanne nchini Australia, huathiriwa kwa vitendo vya un...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Canberra: the week in review 2 August 2019 - Canberra: tathmini ya wiki hii 2 Agosti 2019 from 2019-08-04T07:38:05

The final sitting week of parliament before the mid-winter break was dominated by claims of impropriety and corruption.

-

Vikao vya wiki ya mwisho vya bunge kabla ya mapumziko ya kati ya ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
It is a year since a deadly Ebola outbreak was declared - Mwaka mmoja watimia tangu mlipuko wa Ebola ulipotangazwa from 2019-08-02T23:20:02

A second person has died of Ebola on the Democratic Republic of Congo's border with Rwanda.

-

Mtu wa pili ame uawa na Ebola katika mpaka wa Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo na Rwanda.
Listen

SBS Swahili - SBS Swahili
What are the challenges of moving to regional Australia? - Changamoto zaku hamia katika maeneo yakikanda ya Australia ni gani? from 2019-08-01T23:35:02

As the cost of living continues to rise in major cities, some parents are starting to consider possibilities of relocating their families to regional towns of Australia.

-

Gharama ya mais...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Newstart debate:"It's a shame for people to go hungry in Australia" - Mjadala wa Newstart:"Ni aibu kwa watu kulala njaa nchini Australia" from 2019-07-31T23:50:02

As pressure increases on the government to raise the rate of the unemployment benefit, many new and emerging communities are wondering how people can go hungry in a rich country like Australia.<...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Are Manchester United about to lose Pogba? - Je Paul Pogba anakaribia kuondoka Manchester United? from 2019-07-31T02:05:02

As the rumors continue to mount, Manchester United fans around the world are wondering if they are about to lose their star player. Frank Mtao broke down some of the major transfer stories.

...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kenya rocked by deaths of political leaders - Kenya yatikiswa kwa vifo vya wanasiasa from 2019-07-31T00:20:02

Kenya has been rocked by the deaths of two influential political leaders in the space of a few days.

-

Kenya imetikiswa kwa vifo vya wanasiasa maarufu katika muda wa siku chache, baada ya...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: Keeping childfren safe online - Mwongozo wa makazi: Usalama wa watoto mtandaoni from 2019-07-30T09:17:33

With young people being more tech-savvy than ever, it's important for the adults around them to do the right things to keep them safe.

-

Pamoja na vijana kuwa na uwezo wa teknolojia zaidi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Many Newstart recipients are going hungry to survive on $40 a day - Wapokeaji wengi wa Newstart wana lala njaa, kwa ajili yaku okoa $40 kila siku from 2019-07-29T10:41:02

A new survey has revealed many Newstart recipients are sacrificing food and utilities to survive on $40 a day.

-

Utafiti mpya umepata kuwa watu wengi wanao pokea malipo ya Newstart, wanac...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Canberra: the week in review 26 July 2019 - Canberra: tathmini ya wiki hii 26 Julai 2019 from 2019-07-27T00:20:02

As Parliament returned for the first full sitting fortnight since the election, the week was a win for the government after Labor backed a number of the Coalition’s laws.

-

Bunge lilipore...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Facebook fined over privacy breaches - Facebook yatozwa faini kwa ukiukwaji wa faragha from 2019-07-26T11:30:11

Social media giant Facebook has been fined a massive penalty for breaching the privacy of its users.

-

Gwiji wa mtandao wakijamii Facebook imepigwa faini kubwa, kwaku kiuka faragha ya wat...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Are regional towns welcoming to migrants and refugees? - Je wahamiaji na wakimbizi wanahisi wanakaribishwa katika miji yakikanda? from 2019-07-24T23:50:02

A new toolkit has been developed to help attract more migrant workers to regional areas.

-

Kifaa kipya kime undwa kwa ajili yakusaidia kuwavutia wafanyakazi ambao ni wahamiaji katika maen...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Migrant workers don't harm jobs or wages of local workers - Wafanyakazi wahamiaji hawa athiri ajira au mapato, ya wafanyakazi wenyeji from 2019-07-24T02:05:01

There are an estimated two-million temporary migrants in Australia at the moment, and as the economy slows and wages stagnate, their presence has increasingly become a political issue.

-

...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Toolkit helps regional towns attract migrants - Miji ya kandani na vijijini, yapata msaada kuwavutia wahamiaji from 2019-07-23T04:55:52

A new toolkit has been developed to help attract more migrant workers to regional areas.

-

Kifaa kipya kime undwa kwa ajili yakusaidia kuwavutia wafanyakazi ambao ni wahamiaji katika mae...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Canberra: the week in review 19 July 2019 - Canberra: tathmini ya wiki hii 19 Julai 2019 from 2019-07-19T08:33:26

Earlier this month the Federal Government passed its tax cuts for millions of Australian workers, promised in the first sitting week since May election.

-

Mapema mwezi huu, serikali ya sh...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
WWII drug could prevent flu deaths - Dawa iliyo tumiwa katika vita vya pili vya dunia, yaweza zuia vifo vya mafua from 2019-07-16T22:20:02

Researchers have found a drug that dates back to the second World War could help prevent flu deaths.

 

-

Watafiti wamegundua dawa iliyotumika enzi za Vita Kuu ya pili ya Dunia ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What are the requirements when moving interstate? - Je mahitaji yapi yanahitajika wakati wa kuhamia mikoani? from 2019-07-16T09:40:58

Each year almost four hundred thousand Australians relocate for work, education, lifestyle, family or better community support.

As laws, regulations and service providers may differ from a...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Have you upskilled for the workforce? - Je umepata ujuzi mpya kwa ajili yakupata kazi? from 2019-07-11T01:05:01

It's often said older members of the community struggle to find suitable employment.

-

Mara nyingi watu wenye umri mkuu katika jamii, hukabiliana na changamoto nyingi kupata ajira wanazo ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What is NAIDOC? - Je NAIDOC ni nini? from 2019-07-09T10:12:08

The longstanding desire of Aboriginal and Torres Strait Islanders to have an enhanced role in decision-making in Australia underpins this year's NAIDOC week, that runs from July 7th to the 14th....

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia's 46th Parliament gets down to business - Bunge la 46 la Australia lamaliza wiki ya kwanza ya vikao from 2019-07-07T08:16:48

Australia's 46th Parliament has ended its first week at work.

-

Bunge la 46 la Australia lime maliza vikao vyake vya kwanza wiki hii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Labor agrees to support government's tax-cut package - Chama cha Labor chakubali kupitisha muswada wa serikali wa makato ya kodi from 2019-07-05T09:55:29

Labor has conceded defeat on the Coalition's tax-cut plan, vowing to review stage three of the 158 billion-dollar plan at the next election.

-

Chama cha Labor kime kiri kimeshindwa kuzuia...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
The impact of Online dating - Athari za utafutaji wachumba mitandaoni from 2019-06-28T02:03:59

Some daily activities often make us fail to find time to search for a partner, especially for older people.

That is one reason why many seen plunged into a wave of looking for love through...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How much sex are older people having? - Je! Watu wazima wanafanya ngono mara ngapi? from 2019-06-25T22:20:02

Sexual intimacy is a natural part of human existence.
Yet, as our physiology changes with ageing, our desires and abilities may also be impacted.
So, how do we maintain intimacy as w...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Getting married again - Kujiingiza kwenye ndoa tena from 2019-06-25T13:05:02

It’s a common portrait of modern family life with the last census showing that about a fifth of Australians had been married before. 

Whether you feel ready or not to try the knot aga...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Swahili News - Taarifa ya Habari from 2019-06-25T10:48:47

The Australian Christian Lobby's fundraising campaign for Israel Folau approaches half-a-million dollars;
The City of Sydney has formally decLared a "climate emergency",
Sweden through...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Designers use hair to send messages of love and confidence - Wabunifu watumia nywele kupeleka ujumbe wa upendo na kujiamini from 2019-06-24T09:20:02

What does the hair mean for an African mother or girl? Is there any discrimination against sisters about their hair?

Two creative designers known as 2 Sydney Stylists have informed us thro...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Labor party confirm failure - Chama cha Labor chakiri kushindwa from 2019-06-24T06:20:02

Tax proposals and mixed messages on the coal industry were key reasons for Labor's loss in last month's federal election in Queensland.

-

Mapendekezo ya kodi na mchanganyiko wa ujumbe juu...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
The government warns on identity theft - Serikali yaonya kuhusu wizi wa utambulisho mitandaoni from 2019-06-24T02:11:54

So far this year, Australians have been fleeced of one point seven five million dollars because of identity theft.

-

Hadi sasa mwaka huu, Waustralia kwa wakati fulani wameshaibiwa dola mi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
A cyclist has been left to die on the road - Mwendesha baiskeli afariki baada ya kutelekezwa barabarani from 2019-06-23T14:08:21

He was struck in a hit-and-run accident in New South Wales' north.

-

Alipata ajali ya kugongwa na kukimbiwa kaskazini mwa jimbo la New South Wales.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
The search for missing backpacker has been suspended - Utafutaji wa mtalii aliyepotea wasimamishwa from 2019-06-23T13:50:37

The physical search for missing Belgian backpacker Theo Hayez has been suspended.

-

Utafutaji wa mtalii Mbeligiji Theo Hayez umesimamishwa.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
I couldn't be able to pick my girlfriend from the Airport beacuse of alcohol - Sikuweza kumpokea mpenzi wangu Uwanja wa ndege kwa sababu ya pombe from 2019-06-21T06:05:12

Alcohol can reduce your inhibitions and lead you to behave in a way you normally wouldn’t. You may commit a crime, behave in an antisocial way or do something embarrassing.

Your behaviour ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What are the minor offences in Australia? - Ni makosa gani madogo madogo hapa Australia? from 2019-06-20T04:24:26

There are several minor offences in Australia that could get you in trouble that you might not know about.

And the consequences can be severe.

-

Kuna makosa kadhaa madogo madogo hap...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
I witnessed my friend stabbed because of alcohol - Nilishuhudia rafiki yangu akichomwa kisu kwa sababu ya pombe from 2019-06-19T00:51:16

I can't believe what happened to my friend, in front of my eyes, all these because of alcohol.
Immigrants continue to open up about alcohol effects.

-

Siwezi kuamini kile kilichotoke...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Immigrants start to open about drinking alcohol - Wahamiaji waanza kufunguka kuhusu unywaji pombe from 2019-06-17T06:46:01

There are roughly 6,000 alcohol-related deaths each year in Australia - one in every 22 overall deaths.

Now immigrants in Australia start to open about the issue related to alcohol behavio...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Cultural differences cause many migrants to be unaware of alcohol effects - Tofauti za kitamaduni husababisha wahamiaji wengi kutokujua madhara ya pombe from 2019-06-16T13:55:34

A new educational campaign is aiming to teach multicultural communities about the potential dangers of alcohol consumption.

-

Kampeni mpya ya uelimishaji inalenga kufundisha jumuiya za ki...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Discussion:China and US communication trade tensions rise - Majadiliano: Mvutano wa Biashara baina ya China na Marekani waongezeka from 2019-06-12T08:05:02

The US crackdown on Huawei has made the Chinese telecommunications giant the flashpoint in a monumental economic and technological showdown between the two superpowers that is testing allies of ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Family origins can impact academic performance in Australian schools - Asili za familia zaweza kuathiri utendaji wa kitaaluma katika shule za Australia from 2019-06-11T09:46:18

New research has found gender stereotypes associated with a child’s family heritage impacts their academic performance in Australian schools Listen

SBS Swahili - SBS Swahili
Eid El-Fitr debate continues for 1.6 billion Muslims - Mjadala wa Eid El-Fitr unaendelea kwa Waislam 1.6 bilioni from 2019-06-11T02:06:23

A debate of tradition versus technology is simmering in Au...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
South Sudanese Australians speak out - Waustralia wenye asili ya Sudan Kusini wavunja ukimya from 2019-06-09T16:18:49

Depression is a taboo in South Sudanese culture.

But a group of people living in Melbourne is determined to change that.

Devasted by a string of suicides in their community, they say...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
It's 'do or die' Women World Cup France 2019 - Ni 'kufa au kupona' Kombe la Dunia Wanawake nchini Ufaransa 2019 from 2019-06-07T07:05:03

The 2019 FIFA Women's World Cup, expected to be the richest and most-watched ever, is about to kick off in France.

There are 24 coun...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How vocational training help Immigrants - Jinsi mafunzo stadi yanavyosaidia Wahamiaji from 2019-06-07T03:22:27

Settling in a foreign country require special attention when it comes on using your skills to sustain life.

In Australia, there is vocational training that help many immigrants.

[[{"...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What is TAFE? - TAFE ni nini? from 2019-06-06T04:14:18

If you are looking to start your career in Australia or are already working and want to upskill or change path, TAFE might be a good option for you.

It provides vocational education and tr...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
DISABILITY ACCOMMODATION - Makazi kwa walemavu from 2019-06-04T02:44:47

While the creation of the National Disability Insurance Scheme has helped improve the car...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Migrants Discrimination - Ubaguzi kwa Wahamiaji from 2019-06-03T03:34:26

An investigation has found over 15 migrant families living in Australia face deportation each year, because a family member has a disability which does not align with immigration requirements. Listen

SBS Swahili - SBS Swahili
WOMEN VIOLENCE - UNYANYASI DHIDI YA WANAWAKE from 2019-05-30T10:58:54

A new report has found young Australians are confused about consent and control in relationships.

The National Community Attitudes towards  Listen

SBS Swahili - SBS Swahili
Challenges facing workers working with disabilities centres - Changamoto wanazokumbana nazo wafanyakazi wa vituo vya walemavu from 2019-05-28T10:53:42

A disability is any continuing condition that restricts everyday activities.

With the assistance of appropriate aids and services, th...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
TFF congratulates Mbwana Samatta - TFF yampongeza Mbwana Samatta from 2019-05-26T14:35

West Ham are among the clubs being linked with Genk striker Mbwana Samatta.

A number of Premier League sides are said to be tracking Samatta, who has enjoyed a prolific start to the season...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
RECONCILIATION WEEK - WIKI YA UPATANISHO from 2019-05-26T13:39:16

It's a week dedicated to reconciliation between Indigenous and non-Indigenous Australians.

National Reconciliation Week is celebrated across Australia each year between 27 May and 3 June.<...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Uganda boat accident kills 17 - Mashua yazama maji na kuua takribani watu 17 Uganda from 2019-05-22T02:57:45

A boat carrying football players and fans has capsized on a Ugandan lake, killing around 17 people.

-

Mashua hiyo iliyokuwa imewabeba wachezaji mpira pamoja na mashabi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Spanish soccer team Sevilla FC to land in Tanzania today - Timu ya soka ya Uhispania Sevilla FC itawasili nchini Tanzania leo from 2019-05-21T11:49:18

According to the Tanzanian Football Federation's Spokesman Cliford Mario Ndimbo, the players are set to arrive in today evening at the Julius Nyerere International Airport in Dar Es Salaam.

<...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Why it's important to learn CPR - Kwa nini ni muhimu kujifunza CPR from 2019-05-21T11:00:47

Every passing moment can mean life or death when accident strikes and your loved ones unexpectedly become unconscious. 

Would you know what to do in the event of emergency?

-

K...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
BOB HAWKE LEGACY - Mema ya BOB HAWKE from 2019-05-21T09:39:09

The tributes are rolling in from around the world for Australia's former prime minister Bob Hawke, who has died at the age of 89.

The beer skulling, sports loving Rhodes Scholar achieved t...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Morrison leads the coalition to victory - Morrison aongoza chama cha mseto kupata ushindi wa uchaguzi mkuu from 2019-05-19T14:36:39

Experts had given the coalition no chance of winning the federal election in favor of the Labor party.

-

Wataalam wengi, walikuwa hawakupa chama cha mseto matumaini yoyote, yakushinda uch...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How are you preparing for automation in your job? - Unajiandaaje kukabiliana na mitambo yakujiendesha katika kazi yako? from 2019-05-15T23:50:02

Nearly half of Australian jobs will be replaced by machines in less than twenty years. 

-

Takribani nusu ya ajira za Waustralia, zitabadilishwa na mashine katika kipindi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Viva: How to survive automation - Viva: Jinsi ya kujiadhari na mitambo ya kujiendesha from 2019-05-14T23:50:02

Nearly half of Australian jobs will be replaced by machines in less than twenty years.

-

Takribani nusu ya ajira za Waustralia, zitabadilishwa na mashine katika kipindi cha ch...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Culturally diverse electorates could play key role - Jamii kutoka tamaduni tofauti kuamua matokeo ya uchaguzi mkuu from 2019-05-14T00:05:02

Electorates which are culturally diverse are poised to play a key role in determining the outcome of the election.

-

Maeneo bunge yenye wakazi kutoka tamaduni tofauti, yatakuwa na jukumu ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How do you break your fast during Ramadan? - Huwa unafuturu vipi wakati wa Ramadhani? from 2019-05-13T10:59:38

Muslims in Australia and around the world are observing the holy month of Ramadan.

-

Waislamu nchini Tanzania na duniani kote, wanashiriki katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Tanzania mourns Reginald Mengi - Tanzania yaomboleza kifo cha Reginald Mengi from 2019-05-10T05:41:36

The death of Reginald Abraham Mengi, shocked many Tanzanians including those who live in Australia.

-

Kifo cha Reginald Abraham Mengi, kiliwashangaza watanzania wengi duniani kote, Austra...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: Bill Shorten - Uchaguzi 2019: Bill Shorten from 2019-05-07T23:35:02

Opposition leader Bill Shorten's rise to leader of the Labor Party in 2013 fulfilled a long-held ambition for the former union leader.

-

Bill Shorten alichaguliwa kuwa kiongoz...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ramadan begins - but security is beefed up - Ramadan yaanza- na ulinzi waimarishwa from 2019-05-07T09:42:19

Muslims around the world are currently observing Ramadan, a holy month in the Muslim calendar.

-

Waislamu duniani kote wame anza mafungo, katika mwezi mtukufu wa Ramadan ambao ni mwezi mu...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: What happened this week - Uchaguzi mkuu 2019: Yaliyo jiri wiki hii from 2019-05-05T13:27:25

Week three of the federal election campaign began with the opening of the early voting period and the first of three leaders debates.

-

Wiki ya tatu ya kampeni za uchaguzi mkuu wa shiriki...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: Profile of the Nationals party - Uchaguzi Mkuu 2019: Taarifa kuhusu chama cha Nationals from 2019-05-03T11:13:27

The Nationals take pride in representing the interests of people in regional and rural Australia and have done so for almost 100 years.

-

Chama cha Nationals huwa na fahari yakuwakilisha ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Shorten tastes victory in first leaders debate - Shorten aonja ushindi wa kwanza, katika mjadala wa kwanza wa viongozi from 2019-04-30T22:50:02

Prime Minister Scott Morrison and Opposition Leader Bill Shorten have clashed on a number of issues in the first leader's debate of the 2019 federal election debate.

 

-

Wazir...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Voters give first debate to Shorten - Wapiga kura wampa Shorten ushindi wa mjadala wa kwanza from 2019-04-30T10:30:04

Prime Minister Scott Morrison and Opposition Leader Bill Shorten have [[Mon 29/4]]  clashed on a number of issues in the first leader's debate of the 2019 federal election debate.

-

...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia's private rental market is 'failing' - Soko binafsi la Australia lakukodisha 'linafeli' from 2019-04-29T09:39:21

New housing analysis has described Australia's private rental market as "failing" people earning the minimum wage and receiving income-assessed government support payments.

-

Uchunguzi mp...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Six marginal seats up for grabs in WA - Maeneo bunge sita Magharibi Australia, tayari kunyakuliwa katika uchaguzi mkuu from 2019-04-27T00:00

The Prime Minister and Opposition Leader will hold the first debate of the election campaign in Perth next week, where as many as six marginal seats are up for grabs.

-

Waziri Mkuu na kio...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
An Anzac peacekeeping mission that used guitars, not guns - Wajumbe wa ulinzi wa amani wa ANZAC, walio tumia gitaa badala ya bunduki from 2019-04-25T01:30

It's not widely known that a peacekeeping mission to a war-ravaged Pacific island brought an end to civil war using guitars and culture - not weapons.

-

Haijulikani sana kuwa, kikosi chak...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Pastor Ngugi Ngotho talks about Easter - Mchungaji Ngugi Ngotho aongelea Pasaka from 2019-04-23T11:38:45

Christians around the world have celebrated the Easter festival.
Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kenyans youth celebrate Easter day - Vijana Wakenya waadhimisha sikukuu ya Pasaka from 2019-04-23T11:07:12

Easter is a festival and holiday commemorating the resurrection of Jesus from the dead, described in the New Testament as having occurred on the third day after his burial following hi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Spreading hope during Easter - Umuhimu wakusambaza ujumbe wa matumaini wakati wa Pasaka from 2019-04-22T06:03:07

Christians around Australia have gone to church to celebrate Easter.

-

Wakristo kote nchini Australia wamejumuika makanisani kuadhimisha pasaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia's new parent visa 'absolutely unfair' say migrant communities - Jamii zawa hamiaji za dai kuwa, viza mpya ya wazazi ya Australia haiko sawa from 2019-04-22T05:34:42

Applications are open for the long-awaited new temporary parent visa, designed to provide an alternative to the existing permanent visa options for parents of migrants.

-

Jumatano tarehe ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Pastor David on the meaning of Easter and spreading hope - Mchungaji David afunguka kuhusu maana ya Pasaka na umuhimu wakusambaza ujumbe wa matumaini from 2019-04-21T07:36:28

Christians around Australia have gone to church to celebrate Easter.

-

Wakristo kote nchini Australia wamejumuika makanisani kuadhimisha pasaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: Scott Morrison - Uchaguzi mkuu 2019: Scott Morrison from 2019-04-16T09:53:48

Scott Morrison became Australia's 30th prime minister in August last year when the Liberal Party voted him in as leader after a very public and acrimonious leadership spill.

-

Scott Morri...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: Australia's Political System - Mwongozo wa makazi: Mfumo wa siasa ya Australia from 2019-04-15T09:17:50

The 2019 Australian federal election is just around the corner when we will elect members of the 46th Parliament of Australia.

-

Uchaguzi mkuu wa Australia wa 2019 unakaribia,...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Jobs and healthcare dominate Sunday election campaigning - Ajira na huduma ya afya, vya tawala kampeni za uchaguzi Jumapili from 2019-04-14T09:26:27

A day of intense campaigning has seen the Coalition promise to deliver jobs and a strong economy.

-

Leo jumapili ilikuwa siku nyingine ya kampeni kali, ambako chama cha mseto kili ahadi k...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Election 2019: The PM names the day - Uchaguzi 2019: Waziri Mkuu achagua tarehe ya uchaguzi mkuu wa shirikisho from 2019-04-12T13:07:04

This year's federal election finally has a date: May the 18th 2019.

-

Hatimae tarehe ya uchaguzi wa shirikisho ya mwaka huu imetangazwa, uchaguzi huo utakuwa tarehe 18 Mei 2019.

Listen

SBS Swahili - SBS Swahili
Sudan's president ousted and arrested - Rais wa Sudan aondolewa madarakani nakufungwa from 2019-04-12T05:35:32

The reign of Omar al-Bashir as Sudan's seventh president is over.

-

Utawala wa Omar al-Bashir, kama rais wa saba wa Sudan uli malizika wiki hii.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Facebook takes action ahead of federal election - Facebook yachukua hatua kabla ya uchaguzi mkuu wa shirikisho from 2019-04-09T23:35:01

Facebook will ban foreign political advertising and introduce fact checking during the federal election.

-

Shirika la Facebook litapiga marufuku matangazo yakisiasa, nakuwasilisha mchakat...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
How will the budget influence the federal election? - Bajeti ya shirikisho itashawishije uchaguzi wa shirikisho? from 2019-04-09T10:01:03

The federal government and federal Labor party have both released their respective budgets for the nation. How will the two budgets shape the outcome of the upcoming federal election?

-

S...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kwibuka25:"What happened in Rwanda should be a lesson to the world" - Kwibuka25:"Yaliyo fanyika Rwanda yanastahili kuwa funzo kwa dunia nzima" from 2019-04-08T04:04:42

Rwandans around the world have begun marking 25 years of the genocide which claimed over 8000,000 lives and displaced many more.

 

-

Wanyarwanda duniani kote, wanashiriki katik...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Kwibuka25: "We must learn to accept our differences and live together peacefully" - Kwibuka25:"Lazima tujifunze kukubali tofauti zetu, nakuishi pamoja kwa amani" from 2019-04-07T10:07:07

Rwandans around the world are gathering to begin a solemn commemoration of the lives of 800,000 Tutsis and moderate Hutus, who were murdered during the Rwandan genocide.

-

Rwanda na raia ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Budget criticised for neglecting needy - Bajeti yashtumiwa kwa kutojali maslahi ya wasio jiweza from 2019-04-05T01:13:55

Treasurer Josh Frydenberg has handed down the 2019-2020 Budget.

-

Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg, alitoa bajeti yake ya kwanza ya mwaka wa biashara wa 2019-2020.
<...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia's political system - Mfumo wa kisiasa wa Australia from 2019-04-02T09:29:49

The federal election is just around the corner with the 46th Parliament of Australia set to be formed after election.

This election determines the 151 members in the House of Representativ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Should community organisations have high expectations from the Federal budget? - Mashirika ya jamii yanastahili kuwa na matarajio gani kutoka bajeti ya shirikisho? from 2019-04-02T05:35:01

As the federal budget draws closer, many community are wondering what has the federal government set aside for them? SBS SWahili spoke with the chairman of GLAPD Int, who told us about his expec...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Ethnic Communities' Councils excluded from budget lock-up - Halmashauri zajamii zatamaduni tofauti, za zuiwa kushiriki katika tathmini ya bajeti ya 2019 from 2019-04-01T23:20:02

Australia's peak multicultural body has been excluded from next Tuesday's budget lock up, as migrant groups call for more funding for anti-racism campaigns and settlement services.

-

Shir...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Pledges and pitches by politicians ahead of Budget 2019 - Ahadi namatangazo ya wanasiasa kabla yakutangazwa kwa Bajeti ya 2019 from 2019-04-01T07:09:25

Reducing power bills for almost four million low income Australians has emerged as one of Federal Treasurer Josh Frydenberg's key pitches to voters ahead of Tuesday's Budget.

-

Kupunguza ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What do older Australians want from this year's federal budget? - Je wazee nchini Australia wanataka nini kutoka bajeti ya shirikisho ya mwaka huu? from 2019-03-26T22:35:01

The federal budget ((April 2, 7:30pm AEDT)) is almost upon us.

-

Siku chache zinasalia kwa bajeti ya shirikisho kutangazwa, tarehe 2 Aprili mida ya saa moja unusu usiku.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
What influences your vote on election day? - Nini hushawishi uamuzi wako, siku yakupiga kura? from 2019-03-25T06:42:38

Many people guard tightly the name of the candidate/party they vote for in an election.

 

-

Watu wengi huweka siri jina la mgombea/chama ambacho wata pigia kura katika uchaguzi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Gladys Berejiklian re-elected as New South Wales Premier - Gladys Berejiklian achaguliwa kuwa kiongozi wa New South Wales from 2019-03-24T05:24:32

The Berejiklian government has held on to power in New South Wales, making Gladys Berejiklian the state's first elected female premier.

-

Serikali ya Berejiklian imesalia mamlakani jimbon...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
A tight finish expected in the race for government in NSW - Kampeni za uchaguzi wa NSW zaingia katika dakika za lala salama from 2019-03-22T09:52:22

New South Wales residents will go to the polls on Saturday to decide who will lead their state for the next four years.

-

Wakazi wa NSW wata ingia katika vituo vyakupiga kura jumamosi 23m...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Pressure grows for 'living wage' - Shinikizo laongezeka kuhusu 'mshahara wakumudu gharama yakuishi' from 2019-03-21T01:05:01

Momentum is growing for the minimum wage to be replaced by a so-called “living wage” to ensure no workers are living in poverty, but opinion is split about how to deliver the increase. 

...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Three new visa categories announced - Aina tatu za viza zatangazwa from 2019-03-19T23:35:02

The federal government has announced three new visa categories to meet various demands of Australian migrant groups.

-

Serikali ya shirikisho imetangaza makundi matatu mapya kwa viza, kwa...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: Should you build or buy your house? - Mwongozo wa Makazi: Je! Unapaswa jenga au nunua nyumba yako? from 2019-03-19T09:02:37

While home ownership has been on the decrease in recent years, it’s still considered to be an integral part of Australian life.

-

Wakati umiliki wa nyumbani umepungua katika miaka ya hivi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sheila pens a prayer for Kenya - Sheila achapisha kitabu cha kuiombea Kenya from 2019-03-18T22:20:02

It's been a long spiritual journey for Sheila Matete-Owiti, which culminated in her publishing her new book: Kenya A Royal Priesthood.

-

Imekuwa safari ndefu yakiroho kwa Sheila Matete-Ow...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Are men ready to share leadership roles with women in church? - Je wanaume wako tayari kuchangia uongozi na wanawake kanisani? from 2019-03-18T02:17:08

It's rare for African women to write books on religious topics, SBS Swahili attended the launch of Sheila Matete-Owiti's book: A Royal Priesthood. Here's what some of those who attended the laun...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Sheila inspires a new generation of writers - Sheila ahamasisha kizazi kipya cha waandishi wa vitabu wafuate ndoto zao from 2019-03-17T05:38:18

It's rare for African women to write books on religious topics, SBS Swahili attended the launch of Sheila Matete-Owiti's book: A Royal Priesthood. Here's what some of those who attended the laun...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
'One of New Zealand's darkest days' as Christchurch mosques attacked - 'Moja ya siku mbaya ya New Zealand' baada ya misikiti kushambuliwa mjini Christchurch from 2019-03-15T08:38:57

New Zealand's Prime Minister has described multiple shootings in Christchurch as causing "one of New Zealand's darkest days."

-

Waziri Mkuu wa New Ze...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
WBF champion Bruno Tarimo shares secrets to his success - Bingwa wa ndondi za WBF Bruno Tarimo afunguka kuhusu mafanikio yake from 2019-03-12T23:20:02

Many doubted Bruno Tarimo's chances of becoming successful, when he left Tanzania to pursue his boxing dreams in Australia.

-

Wengi walikuwa na mashaka kuhusu uwezekano wa bondia Bruno Ta...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
New Boeing plane design under scrutiny after fatal crash - Muundo wa Ndege mpya ya Boeing wachunguzwa baada ya ajali kubwa iliyogharimu maisha from 2019-03-11T10:05:46

An Ethiopian Airlines plane has crashed six minutes after an early-morning takeoff in the country's capital, killing everyone on board.

-

Ndege ya shirika la ndege la Ethiopia, ilipata aj...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Africultures gives us a sense of belonging in Australia - Tamasha la Africultures linatupa hisia yaku jumuishwa nchini Australia from 2019-03-10T05:25:17

SBS Swahili attend the 11th edition of Africultures festival, at Wyatt Park, Lidcombe, NSW where we spoke with members of the Swahili speaking communities about their experiences at the festival...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Celebrating the women who are 'left behind' - Kuwaenzi wanawake wanao 'achwa nyuma' from 2019-03-08T08:49:38

People across the globe will be gathering  this Friday ((March 8)) to celebrate another International Women's Day.

-

Watu duniani kote wame jumuika Ijumaa tarehe nane Machi, kuadhimi...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Always pay attention to your visa obligations - Usipuuze masharti ya viza yako from 2019-03-08T07:52:04

SBS Swahili attended KISWA's Orientation day in Auburn, NSW where members of the organisation spoke about the advice they received on visa matters and other obligations they need to fulfill whil...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Dowry abuse survivors call for action as Labor pledges response - Wahanga wa unyanyasaji wa mahari, waomba hatua zichukuliwe wakati chama cha Labor cha ahidi jibu from 2019-03-07T00:20:02

Experts and survivors alike say dowry abuse is a problem in Australia.

-

Wataaalam na wahanga wame sema kwa sauti moja kuwa, unyanyasaji wa mahari ni tatizo nchini Australia.

...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KISWA Orientation day - Siku ya Maelekezo ya shirika la KISWA from 2019-03-06T01:05:01

SBS Swahili attended KISWA's Orientation day in Auburn, NSW where members of the leadership group told us about the sessions which were organised for members.

-

Idhaa ya Kiswahili ya SBS ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
PM promotes Linda Reynolds as two senior ministers confirm departure - Waziri Mkuu ampa Linda Reynolds uwaziri, baada ya mawaziri wawili kujiuzulu from 2019-03-05T07:20:02

Two federal ministers have announced their retirement ahead of the next election.

-

Mawaziri wawili wa shirikisho wame tangaza wata staafu kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: How does the youth justice system work in Australia? - Mwongozo wa Makazi:Jinsi mfumo wa haki kwa vijana unavyo fanya kazi Australia from 2019-03-03T05:31:01

No parent wants to receive a call from the police saying their child has been arrested.

-

Hakuna mzazi anayetaka kupokea simu kutoka kwa polisi ikisema mtoto wao amekamatwa. ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Security concerns raised about NSW online voting - Wasiwasi waibuka kuhusu mfumo wakupiga kura mtandaoni NSW from 2019-02-27T23:35:02

At next month's New South Wales state election half a million people are expected to skip the queues and miss the sausage sizzle and vote online instead.

-

Mwezi ujao katika uchaguzi mkuu...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Children with disabilities left out of schools - Watoto wenye ulemavu watengwa shuleni from 2019-02-26T14:35:01

The academic year is in full swing, but some students are struggling to be included.

-

Mwaka wa elimu una endelea kwa kasi ila, baadhi ya wanafunzi wanakabiliana na changamoto zaku jumuis...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Octopizzo: A lack of government funding is stiffling development of the arts in Kenya - Octopizzo: Ukosefu wa uwekezaji wa serikali, una athiri maendeleo ya sanaa Kenya from 2019-02-26T09:20:02

Henry Ohanga aka 'Octopizzo' is widely known for his chart topping hip hop hits. 

-

Henry Ohanga aka 'Octopizzo' anajulikana kwa nyimbo zanazo ongoza kwa umaarufu nchini Kenya nakim...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Unity, joy, jobs: a football league that's growing futures - Umoja, furaha, ajira: ligi ya soka inayokuza siku za usoni from 2019-02-25T00:30:08

A group of community leaders in Melbourne is offering mentorship and guidance for a new generation of South Sudanese Australians through the medium of football.

-

Kundi la viongozi wa jam...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Julie Bishop to retire from parliament at upcoming federal election - Julie Bishop atastaafu uchaguzi mkuu ujao utakapo tangazwa from 2019-02-22T00:21:16

Former Deputy Prime Minister and high-profile Liberal M-P Julie Bishop has announced she's retiring from politics.

-

Naibu waziri mkuu wa zamani na mbunge maarufu wa chama cha Liberal, Ju...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
NAB bosses resign, criminal proceedings to follow? - Viongozi wa benki ya NAB wajiuzulu, je kesi za uhalifu zitafuata? from 2019-02-14T00:20:02

Two of National Australia Bank's (NAB) most senior figures, CEO Andrew Thorburn and Chairman Ken Henry, have announced their departures from the bank.

-

Viongozi wawili maarufu wa benki y...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Politicians meet to manage growing population - Wanasiasa wakutana kujadili ongezeko la watu nchini from 2019-02-12T08:24:10

The federal government has met with state and territory treasurers to try to help solve the problem of managing Australia's burgeoning population.

-

Serikali ya shirikisho imekutana na we...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Heed warnings when issued during natural disasters - Tii onyo zinazo tolewa wakati wa maafa ya asili from 2019-02-07T00:20:02

As residents of flood affected parts of Townsville estimate the potential costs to their properties and businesses, SBS Swahili spoke with members of the Swahili speaking community who live in n...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Townsville floods have made us feel like refugees once again - Tunajihisi kama wakimbizi tena, baada ya mafuriko ya Townsville from 2019-02-06T01:05:02

In Australia, natural disasters are a year-round threat.

-

Nchini Australia, majanga ya asili ni tishio la kila mwaka.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Will history repeat itself for Liverpool? - Je historia kujirudia kwa Liverpool? from 2019-02-05T08:49:37

Catch up with Gode Migerano as he give us his analysis in Sports Round Up which focus on Rugby Seven and English Premier League

-

Ungana na Gode Migerano akikupa dondoo za Duru la michezo...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
It's disappointing but we still believe in our team - Shujaa yawa sikitisha mashabiki mjini Sydney, Australia from 2019-02-03T07:24:10

It was a tough weekend for Kenya rugby 7s fans, who descended on Sydney for the annual 7s rugby tournament. SBS Swahili caught up with some of them, who shared their thoughts on their national t...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
A new dawn for DR Congo - Mwanzo mpya wa DR Congo from 2019-02-01T05:11:16

DR Congo experienced it's first peaceful hand over of power in the Central African nations history since Independence. Members of the NSW DR Congo community shared their thoughts with SBS Swahil...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
More than a thousand Australians have been recognised in the Australia Day Honours - Zaidi yawa Australia elfu moja, watambuliwa katika tuzo za siku kuu ya Australia from 2019-01-26T00:42:39

More than a thousand Australians have been recognised for their outstanding contributions to their communities.

-

Zaidi ya idadi yawa Australia takriban elfu moja, wame tambu...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Fight racism with education - Tumia elimu kukabiliana na ubaguzi wa rangi from 2019-01-24T01:05:02

Melbourne is a city which has often been hailed for being the hub and example of successful multiculturalism in the world.

-

Mji wa Melbourne, kwa muda mrefu umejulikana, kwa kuwa mfano w...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Australia may be nearly 120 years old-but Australian citizenship is a newer concept - Australia inakaribia kutimiza miaka 120, ila uraia wa Australia ni dhana mpya from 2019-01-23T04:20:02

Australia has been an independent nation for more than 118 years, but citizenship in this country is a much newer concept.

-

Australia imekuwa nchi huru kwa zaidi ya miaka 118, ila uraia ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
New report shows women more likely to experience financial stress than men - Ripoti mpya ya baini wanawake wanaweza kabiliwa kwa matatizo yaki fedha kuliko wanaume from 2019-01-22T08:45:16

A survey of 2,000 Australian employees has revealed women are more likely to experience financial stress than men with single parents particularly affected.

-

Utafiti wa waaustralia elfu ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Deadly attack on Nairobi luxury hotel and office precinct - Hoteli lakifahari nama ofisi yashambuliwa mjini Nairobi, Kenya from 2019-01-16T04:37:46

Gunmen have blasted their way into a luxury hotel and office complex in Nairobi, Kenya.

-

Magaidi wame vamia hoteli yaki fahari, pamoja na jengo lenye maofisi mjini Nairobi, Kenya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Is the DRC headed for a vote recount? - Je kura za urais wa DR Congo, zaelekea kuhesabiwa upya? from 2019-01-16T02:05:02

As one opposition candidate awaits to be sworn as the new president of DR Congo, the other candidate has lodged a case with the constitutional court demanding it orders a recount of the presiden...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Prolonged heatwave forecast for South Australia - Kusini Australia, kukabiliwa kwa wimbi la joto kali from 2019-01-14T04:53:50

As South Australia prepares to swelter through another heatwave ((from Jan 11)), authorities are warning people to stay alert.

-

Wakati jimbo la kusini Australia lina jiandaa kukabiliana ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KASA: Building bridges between Australia and Kenya - KASA: Yakuza uhusiano kati ya Australia na Kenya from 2019-01-11T08:12:05

As the name suggests the Kenyan Association of South Australia (KASA), represents and provides a range of support services for Kenyans living in South Australia. KASA's chairman Mr John Kamau Ng...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Doubts expressed as opposition leader wins DRC presidential vote - Mashaka yazingira tangazo la rais mteule wa DRC from 2019-01-11T02:53:51

Opposition leader Felix Tshisekedi has been named the winner of the Democratic Republic of Congo's presidential election, in a result that has surprised many and led others to question whether t...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Government cancels hundreds of visas for convicted criminals - Serikali ya futa viza zamamia yawahalifu walio hukumiwa from 2019-01-08T08:37:24

More than 800 criminals were stripped of Australian visas in 2018, with just over 12 per cent involved in child sex offences or child exploitation.

-

Viza za idadi ya wahalifu zaidi ya ta...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
New year brings new laws - Mwaka mpya waja na sheria mpya from 2019-01-06T09:02:50

A new year means new rules and regulations.

-

Mwaka mpya huja na sheria na kanuni mpya.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Settlement Guide: What is holiday care and how to find free activities for children? - Je huduma ya likizo ni nini na, watoto wako wanawezaje shiriki katika michezo bila malipo? from 2019-01-02T02:05:02

School holidays are a challenge for many parents.

-

Likizo ya shule huzua changamoto kwa wazazi wengi.

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
2019 ushered in with prayers for safety and blessings - Waumini waombea ulinzi na baraka katika mwaka wa 2019 from 2019-01-01T09:20:59

SBS Swahili joined worshipers at a new years eve service in Auburn, NSW. Here's what they told us as the clock struck midnight.

-

SBS Swahili ilijumuika na waumini katika ibada yakufunga ...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
KISWA marks one year anniversary of serving the community - KISWA ya adhimisha mwaka mmoja wakuhudumia jamii from 2018-12-31T01:21:11

The Kenyans in Sydney Welfare Association (KISWA) which is based in NSW, recently marked it's one year anniversary of service to the community. Members of the KISWA committee told SBS Swahili ab...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
African families bid 2018 farewell - Familia zawa Afrika za aga mwaka wa 2018 from 2018-12-30T04:29:35

2018 brought a mixture of experiences for various migrant communities in Australia, SBS Swahili spoke with the chairman of the African Families christmas dinner, about some of the projects and e...

Listen
SBS Swahili - SBS Swahili
Hard sell for budget 2018 already underway - Kasi yaku uza bajeti ya 2018 yaongezwa from 2018-05-08T02:20:14

Prime minister Malcolm Turnbull says families will get help with the cost of living, essential services will be guaranteed and road and rail projects will be rolled out in the budget.

-

W...

Listen